Muasisi awashukia 'wabaya' wa CHADEMA

Muasisi awashukia 'wabaya' wa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Mwasisi wa CHADEMA Edwin Mtei amesema CCM wanakesha usiku na mchana kuhakikisha wanaivuruga CHADEMA ili isishike dola lakini ameapa kamwe hawatafanikiwa.

Amesema kuna watu kutoka chama tawala cha CCM wanahakikisha wanatengeneza mifarakano kila kukicha ili kukivuruga CHADEMA.

Mwasisi huyo mwenye heshima na ushawishi mkubwa ndani ya chama chake amesema kitendo cha kusimamishwa na hata kufukuzwa baadhi ya makada wa CHADEMA kimetokana na usaliti ndani ya chama hicho huku wengine wakikubali kutumiwa na CCM.

Source:Mwananchi.

Mzee you are right! Mtandao wao uliopenyezwa unafahamika .Vikao vya wasaliti waliofukuzwa na wengine vinaendelea kufanyika pamoja na mawasiliano ya mara kwa mara.Wajiandae kwa rude shock !

Kwa bahati mbaya wameshindwa kufanya radical departure kutoka mbinu walizotumia awali.Usaliti miongoni mwao unashika kasi.Tuvute subira
 
Mzee you are right! Mtandao wao uliopenyezwa unafahamika .Vikao vya wasaliti waliofukuzwa na wengine vinaendelea kufanyika pamoja na mawasiliano ya mara kwa mara.Wajiandae kwa rude shock !

Kwa bahati mbaya wameshindwa kufanya radical departure kutoka mbinu walizotumia awali.Usaliti miongoni mwao unashika kasi.Tuvute subira

Ushahidi uwekwe mezanani watu wajiridhishe na waondoke waende wakaanze vyama vyao au warudi CCM waendelee kupeta kama wanadhani wakisha ingia CCM watasikika tena .We are tired na migogoro kila mara waache Chadema ikue upinzani pia ni watu na ni watanzania wana haki ya kuongozi Nchi .
 
Siyo wasalituti tu kuna wanaopika majungu nao wanakizoofisha chama utafikiri wanalipwa mfano Chris Lukosi anapiga majungu chama kwa ajili CCM imekubali kumlipia kodi ya pango katika ofisi zao Uingereza teyari aliisha fulia amekubali kukisaliti chama cha CHADEMA kwa huo ujira wa kulipiwa kodi ya pango

Mpika majungu mwingine ni William Malecela the MUTUZ baharia yeye ndio mhusika mkuu wa kufanya Graphing zile video clips zinazomchafua Mhe. Godbless Lema huyu ni mzoefu kwa mchezo huo ikumbukwe ndio wao na ndugu yake mtoto wa Balozi Job Lusinde aliyekuwa anaishi china ndio wahusika wakuu wa blog ya the UTAMU iliyokuwa inamchafua mkuu wa kaya. sasa wamehamia kwa Mh LEMA kwa ujira wa kupewa kacheo kwenye chama kwa sababu na yeye amefuria, Jamani Le Mutuz amachemka kabisa ananuka choo.
 
mtei amevurugwa. anawaacha wahuni wa chama chake akina lema, nasari na wengine wanavuruga chama anakurupuka kuilaumu ccm. akili ya kuku hii

Kamwe CCM hamutafanikiwa kuivuruga CHADEMA kama wenyewe mumeshindwa kuyavua magamba ambayo munakula nayo meza moja mutaiwezeya wapi CHADEMA?.
 
Tatizo la hawa wanaojiita viongozi vijana wa chadema (nassary na lema) hwana hata muda wa kuwasikiliza watu kama akina mtei.

Hiki chama kw sasa kinaongozwa kwa nguvu na sio kwa fikra pevu.
 
Tatizo la hawa wanaojiita viongozi vijana wa chadema (nassary na lema) hwana hata muda wa kuwasikiliza watu kama akina mtei.

Hiki chama kw sasa kinaongozwa kwa nguvu na sio kwa fikra pevu.

Umemwelewa Mzee Mtei kweli wewe?

Unaweza kunitajia vibaraka na wasaliti walioko Chadema?
 
Umemwelewa Mzee Mtei kweli wewe?

Unaweza kunitajia vibaraka na wasaliti walioko Chadema?

Sijui, nachojua chadema ina vijana wahuni badala ya kushindana kw hoja wanachafua wenzao. Ujinga.
 
Sijui, nachojua chadema ina vijana wahuni badala ya kushindana kw hoja wanachafua wenzao. Ujinga.

Una ushahidi gani kwamba wanachafua wenzao?

Mahakama pekee ndiyo yenye uwezo wa kuthibitisha ama kukataa unachoita kuchafuliwa...

Mbona umejitwalia nafasi ya Mahakama?
 
NAPATA SHIDA KUAMINI HAYA YA MWASISI ! Kwa nini hisia ndio iwe suluhisho la kudhania na kuamua? Hivi mchawi au wachawi lazima watokee kwenye kambi inayopingana nanyi kisiasa? Tuangalie pia hulka za wanachama wetu wenyewe ndani ya chama,tabia zao na kadhalika. Migogoro yetu inatokana na nini? Na je tunasuluhishaje? Je kuna aina ya ubaguzi katika utatuzi wa matatizo yetu wenyewe? Na je uhuru wa kukosoana na kukemeana ndani ya mfumo wa kidemokrasia ndani ya chama husika ni wa ukweli? Uhuru wa kugombea nyadhifa ndani ya chama husika upo na je ni wa kweli?

Binafsi nadhani haya Mheshimiwa Mtei ayaangalie kwa umakini mkubwa;la sivyo itakuwa ni kudanganyana na kujenga hata makundi ndani ya chama. Ni kweli chama pinzani kinaweza kuingia ndani na kuvuruga,lakini hili halitowezekana kirahisi kama chama chenyewe kinatoa uhuru wa kweli ndani yake,madhaifu fulani fulani ndani ya chama yanaweza kutoa mwanya kwa chama fulani chenye intelejensia nzuri kuingia kwa kutumia udhaifu huo na kuleta madhara. Hapa ni chama husika kuangalia sababu ya matatizo,namna ya kuyatatua na kufikia suluhisho lililo bora. Ushindani wa wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama ukihusisha jamii ya nje ni hatari kwa mustakabali wa chama.

SAFARI BADO NI NDEFU;KUBWETEKA SABABU YA KUANGALIA UMATI WA UMMA ULIO NJE SIO SABABU YA KUFIKA KILELENI !
 
Chadema ndio taifa kubwa watu wanaendelea na kujenga misingi hakuna shida wala matata watangoja jua litazama ,wasaliti, wote wanabebwa tuu kwani wanajulikana , ni kula nao sahani moja
 
mtei amevurugwa. anawaacha wahuni wa chama chake akina lema, nasari na wengine wanavuruga chama anakurupuka kuilaumu ccm. akili ya kuku hii
Mkuu wanaovuruga chama cha CDM hawa hapa:- @ LE MUTUZSTRAIGHT TALK!!:
Leo kuna habari njema sana kwetu CCM, kwamba Mwenyekiti wa Chadema ameamuakujitoa kugombea Urais 2015, so I told you OUR OPERATION CHAOS isworking kwani our never ending online attacks zimemfanya ajipime, ok now onemore to go, next on line ni Dr. Slaa, naye ni lazima ajitoe kugombea ili ourbest interest Zitto ndiye awe mgombea wao 2015!

- NILIWAAMBIENI HAWA HAWANA MGOMBEA URAIS 2015, SO SASA WALE WOTETUNAOSHIRIKIANA KUWADHOOFISHA KWA KUTUMIA MITANDAO TUZIDISHE MASHAMBULIZI KAMAILIVYO SASA, NINALO BOMU MOJA LA KIONGOZI WAO MMOJA MAARUFU KUTAKA KUMBAKA DEMUMMOJA MAJUU NA KESI IPO MAHAKAMANI NA DOCUMENTS ZIPO, INA MAANA HUYU AKIPEWAKUGOMBEA CHADEMA AKAPATA URAIS HATARUHUSIWA KWENDA HIYO NCHI, SASA TUTAKUWAJENA RAIS AMBAYE NI LIMITED KWENYE INTERNATINIONAL COMMUNITY? SAAFI SANAMHESHIMIWA MBOWE KWA KUJIPIMA NA KUACHIA NGAZI SASA MSHAURI NA MWENZAKO SLAAAJIPIME!!

KIDUMU CCM!

KIDUMU CHAMA TAWALA!!

HA! HA! HA! HA!

- LE MUTUZ!!

 
Siyo wasalituti tu kuna wanaopika majungu nao wanakizoofisha chama utafikiri wanalipwa mfano Chris Lukosi anapiga majungu chama kwa ajili CCM imekubali kumlipia kodi ya pango katika ofisi zao Uingereza teyari aliisha fulia amekubali kukisaliti chama cha CHADEMA kwa huo ujira wa kulipiwa kodi ya pango

Mpika majungu mwingine ni William Malecela the MUTUZ baharia yeye ndio mhusika mkuu wa kufanya Graphing zile video clips zinazomchafua Mhe. Godbless Lema huyu ni mzoefu kwa mchezo huo ikumbukwe ndio wao na ndugu yake mtoto wa Balozi Job Lusinde aliyekuwa anaishi china ndio wahusika wakuu wa blog ya the UTAMU iliyokuwa inamchafua mkuu wa kaya. sasa wamehamia kwa Mh LEMA kwa ujira wa kupewa kacheo kwenye chama kwa sababu na yeye amefuria, Jamani Le Mutuz amachemka kabisa ananuka choo.

Le mutuz na kina tumtemeke Ritz na wengine hamtafanikiwa Ouija CDM.
 
ONYO - CHADEMA AIHUJUMIKI ! kama UMECHUKUA HELA YA WATU RUDISHA , VINGINEVYO UTAADHIRIKA VIBAYA SANA !
 
Mzee you are right! Mtandao wao uliopenyezwa unafahamika .Vikao vya wasaliti waliofukuzwa na wengine vinaendelea kufanyika pamoja na mawasiliano ya mara kwa mara.Wajiandae kwa rude shock !

Kwa bahati mbaya wameshindwa kufanya radical departure kutoka mbinu walizotumia awali.Usaliti miongoni mwao unashika kasi.Tuvute subira


attachment.php


attachment.php
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom