KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 964
ah ah, tunawaachia vijana wa lumumba ii mada muendelee kucheka baada ya kujitekenya kwa ulofa wenu,
kumbukeni vijana walio ktk kanda za chadema wanakula bonus kwa kazi kubwa wanazofanya, mfano tu mmesikia yalifanywa kitendagulo uko bukoba, tmevuna wanaCCM km 2,000 uku wanalumumba wakijitekenya mitandaoni na kucheka
kumbukeni vijana walio ktk kanda za chadema wanakula bonus kwa kazi kubwa wanazofanya, mfano tu mmesikia yalifanywa kitendagulo uko bukoba, tmevuna wanaCCM km 2,000 uku wanalumumba wakijitekenya mitandaoni na kucheka