Muasisi awashukia 'wabaya' wa CHADEMA

Muasisi awashukia 'wabaya' wa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Ni ukweli usiopingika kuwa kuna baadhi ya watu kutoka chama cha kijani wakishirikuana na washirika wao ndani ya chadema, kuvuruga mipango yote iliyowekwa, na kingine wati fulani wanatoa matamko kwenye vyombo vya habari halafu wanataka chadema itoe maelezo,
Chadema hakuna mvurugano bali uko kwa wasaliti ndio maana ripoti iliyotolewa ilikua ya personal issue sio chadema.
Wakajipange na MP7.
 
vijana wa L 7 WAKO SHARP KAMA GOOGLE ENGINE kwa habari zote zinazohusu chadema mkanganyiko uliopo ndani cha chama hii huwapa AFYA njema,VIONGOZI WA CDM WENYE HEKIMA WAMESHALIONA HILI NA KWA HEKMA WAKO "KIMYA"wana muangalia CHIRIKU akijiimbia ng'onjera mpaka pale atakapodondokea,TUNAKUOMBA CHIRIKU WEE tulia sasa wenzako wote wametulia,IDUMU CDM
 
CHADEMA itambue mamlukuki walojifanya wanaikimbia CCM na kuhamia CHADEMA hasa waliokuwa na nyadhifa za juu ndani ya CCM wengi sio kwa nia njema bali ni kwa kazi moja tu kuiba siri za chama na kukivuruga KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2015. Kuweni macho viongozi na makamanda wote.

Uko sawa mkuu! CDM kama kweli mkomakini muangalieni sana Dk Slaa, hilo ni pandikizi la ccm.
 
lema anapata kiburi cha kuropoka mitandaoni kwa sababu yeye ni kijana wa mtei.

Mtei alikataa kushiriki kupigania uhuru, akakata kujitolea kuitumikia nchi katika kipindi kigumu na sasa anataka kuivuruga nchi kwa kupitia chadema!!!

Ubinafsi mbaya sana...

ndio nyie magamba ambao mzee Mtei amewashukia hapo? Kila uchwao nyie CHADEMA tu tena mnakuwa kwenye upande wa wasaliti!
 
Lema anapata kiburi cha kuropoka mitandaoni kwa sababu yeye ni kijana wa Mtei.

Mtei alikataa kushiriki kupigania uhuru, akakata kujitolea kuitumikia nchi katika kipindi kigumu na sasa anataka kuivuruga nchi kwa kupitia Chadema!!!

Ubinafsi mbaya sana...
mkuu ukichunguza kwa makini, upata harufu ya udini, uzushi,uzandiki,uwongo na majungu matupu! Nchi haijengwi kwa mambo hayo...
 
MziziMkavu Maneno mazima, nawaomba wanaCHADEMA wote huo ndio msimamo wa chama na kauli kuu ya chama kwamba lolote baya linalotokea ndani ya chama tujue ni mipango ya CCM hivyo tulipuuze na wala tusilitilie maanani. mpaka 2015 tuingoe kwanza CCM
 
Last edited by a moderator:
Lema anapata kiburi cha kuropoka mitandaoni kwa sababu yeye ni kijana wa Mtei.

Mtei alikataa kushiriki kupigania uhuru, akakata kujitolea kuitumikia nchi katika kipindi kigumu na sasa anataka kuivuruga nchi kwa kupitia Chadema!!!

Ubinafsi mbaya sana...
Wacha uongo shetani wewe!
 
Kuprove nini?

Mnyukano wa Lowassa;JK team VS Samaye;Mkapa team ni mkubwa kuliko huu wa CHADEMA lkn nyie mnaleta tu u p u u z i hapa!

Kizuri zaidi wa TZ sasa wanajua kipi ni chama makini na kipi ni chama cha waua tembo wetu
 
Mtei hata uzima wake hauna tija kwa chama huwezi kumwacha lema anapiga watu matofari kwenye vikao wala haambiwi kitu halafu anasema ndani ya chadema kunawasaliti huu ni uhuni na kuwabeba baadhi ya watu ndani ya chama mfano lema.

Jiandaeni kisaikolojia 2015 au unapingana na kauli ya Mwenyekiti wako wa Taifa!

CCM sasa kama tu Sodoma na Gomora hakuna wa afadhali;Kule Chato Waziri Magufuli kaipangishia halmashauri jengo lake kwa bei above market price!

Huku Kyela ndugu yenu Dr Mwakyembe likely akatangaza kutogombea 2015 maana hali ni ngumu kwake!

Lowassa team VS Sumaye team ugomvi wao ni mkubwa zaidi ya huu wa CHADEMA
 
Mtei hata uzima wake hauna tija kwa chama huwezi kumwacha lema anapiga watu matofari kwenye vikao wala haambiwi kitu halafu anasema ndani ya chadema kunawasaliti huu ni uhuni na kuwabeba baadhi ya watu ndani ya chama mfano lema.

Inaonekana mmeumizwa sana Kada wenu Arusha kufukuzwa Chadema na bado mtaendelea kuumia zaidi
 
mtei+px.jpg


Mwasisi wa Chadema,Edwin Mtei. PICHA|MAKTABA



KWA UFUPI
Akihojiwa na gazeti hili, Mtei alisema kuna baadhi ya watu kutoka Chama Tawala cha CCM

wanahakikisha wanatengeneza mifarakano kila kukicha ili kukivuruga Chadema.



Mwasisi wa Chadema,Edwin Mtei amesema kuna baadhi ya watu nchini wanakesha usiku na mchana kuhakikisha wanafanya njama za kukidhoofisha na hata kukipoteza kabisa chama hicho kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Mtei,alitoa kauli hiyo wakati chama hicho kikiwa katika wakati mgumu baada ya baadhi ya viongozi wake kushambuliana kupitia mitandao ya kijamii, huku aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoani Arusha,Samson Mwigamba akisimamishwa kwa madai ya kukiuka kanuni za chama hicho.

Akihojiwa na gazeti hili, Mtei alisema kuna baadhi ya watu kutoka Chama Tawala cha CCM wanahakikisha wanatengeneza mifarakano kila kukicha ili kukivuruga Chadema.

Alisema mara baada ya Rais Jakaya Kikwete kutoa kauli kuwa huenda CCM ikang”oka mwaka 2015, baadhi ya makada na viongozi wameanza kukesha wakifanya mbinu ya kukivuruga ili Chadema kisishike dola.

“Kuna watu wa CCM wanakesha usiku na mchana kuhakikisha wanatuvuruga, ili tusishike dola mimi nasema hawatuwezi”alisema Mtei

Hatahivyo,alisema kitendo cha kusimamishwa na hata kufukuzwa baadhi ya makada wa Chadema kimetokana na usaliti ndani ya chama hicho huku wengine wakikubali kutumiwa na CCM.Chanzo.Mwasisi awashukia





Bado kabisa Mzee Mtei ajasema kitu kinachoeleweka maana haya maneno yanayoandikwa mitandaoni angeweza waita Zito na Lema nakuwaonya yeye anabaki kusema ccm ccm kumbe hakuna cha ccm,ukiangalia jinsi Lema anavyofanya kweli ni haki?? Lema hana heshima,adabu hata utuu.lakini wanakaa kimya badala yakumuonya Lema bado ni kijana mdogo anaujasiri wakuongea lakini sio mtekelezaji.Mzee Mtei saidia chama hiki chama sasa ni Mali ya wananchi wote wapenda amani kazi uliyofanya itakufa mbele yako hii ni aibu.
 
Lema anapata kiburi cha kuropoka mitandaoni kwa sababu yeye ni kijana wa Mtei.

Mtei alikataa kushiriki kupigania uhuru, akakata kujitolea kuitumikia nchi katika kipindi kigumu na sasa anataka kuivuruga nchi kwa kupitia Chadema!!!

Ubinafsi mbaya sana...


kumbe wewe nawe pimbi hivi...kwani kupigania uhuru ilikuwa mandatory?
 
Huyu mzee na siasa ni mbali mbali sijawahi hata siku moja kumsikia akiongea la maana kuhusiana na siasa.

kwani wewe mama mingoi ulishawahi kuzungumza la maana huku jukwaani zaidi ya mipasho yako ya kila siku?before pointing fingers to others make sure your hands are clean.najiuliza huwa unalipwa shilingi ngapi wewe na wenzio kwa hizi pumba mnazoandika humu kila na siku na kila dakika.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom