J.J Mnyika,
Mkuu hapa bado unanichanganya kabisa.. mara unakubaliana nami kuwa hili swala sio la CCM na CUF pekee kisha ktk maelezo yako yaonyesha unakubali CCM na CUF kufikia Muafaka ambao unaweza badilisha katiba yetu bila ridhaa ya wananchi. Kile kilichokubaliwa na vyama hivi viwili ni muhimu wananchi wakifahamu KABLA! - kama tunavyolia na Bunge letu lipate kujua mikataba yote ya Kitaifa inayopitishwa.. Lilikuwa kosa kwa taratibu za Richmond, Buzwagi na kadhalika, pengine CCM wameona hili swala litakuja warudia na pengine kukosa kabisa imani za wanachama wake na wananchi kwa ujumla..
Nitapenda sana kama utaweza kuweka point muhimu hapa hasa ukizingatia kuwa kamati kuu ya CCM wamekataa muafaka, pengine kipengele hiki ndicho chenye matatizo..
Sasa tutazame upande wa pili ambao mwanzilishi wa mada hii hakuutaka uwe shina la mjadala huu.
Lets say CCM na CUF wangeweka muafaka wakazimwaga sahihi zao kisha ikaja gundulika kuwa taifa zima limebebeshwa mzigo wa kanya boya kama ule wa Buzwagi, tungefanya nini?...
Wewe kama mwanachama na kiongozi wa Chadema ungekuja gundua mapungufu kibao baada yaaa, ambayo yanawabana wananchi na vyama vingine ungefanya nini kubatilisha mikataba iliyokwisha wekwa sahihi?.. Je, sio haya makubaliano ya vyumbani na mahotelini yanayotuumiza vichwa leo -k mikataba ya Tanesco na Buzwagi ambayo kwa usiri wake yamekuwa mzigo kwetu!..
Aaaah ama ulitaka waweke sahihi kisha mpate ku raise question kisiasa kama vile vagi la Richmond!... duh mkuu, samahani sikuona upande huo wa shilingi! kwii kwii kwii!.
Mkuu hapa bado unanichanganya kabisa.. mara unakubaliana nami kuwa hili swala sio la CCM na CUF pekee kisha ktk maelezo yako yaonyesha unakubali CCM na CUF kufikia Muafaka ambao unaweza badilisha katiba yetu bila ridhaa ya wananchi. Kile kilichokubaliwa na vyama hivi viwili ni muhimu wananchi wakifahamu KABLA! - kama tunavyolia na Bunge letu lipate kujua mikataba yote ya Kitaifa inayopitishwa.. Lilikuwa kosa kwa taratibu za Richmond, Buzwagi na kadhalika, pengine CCM wameona hili swala litakuja warudia na pengine kukosa kabisa imani za wanachama wake na wananchi kwa ujumla..
Nitapenda sana kama utaweza kuweka point muhimu hapa hasa ukizingatia kuwa kamati kuu ya CCM wamekataa muafaka, pengine kipengele hiki ndicho chenye matatizo..
Sasa tutazame upande wa pili ambao mwanzilishi wa mada hii hakuutaka uwe shina la mjadala huu.
Lets say CCM na CUF wangeweka muafaka wakazimwaga sahihi zao kisha ikaja gundulika kuwa taifa zima limebebeshwa mzigo wa kanya boya kama ule wa Buzwagi, tungefanya nini?...
Wewe kama mwanachama na kiongozi wa Chadema ungekuja gundua mapungufu kibao baada yaaa, ambayo yanawabana wananchi na vyama vingine ungefanya nini kubatilisha mikataba iliyokwisha wekwa sahihi?.. Je, sio haya makubaliano ya vyumbani na mahotelini yanayotuumiza vichwa leo -k mikataba ya Tanesco na Buzwagi ambayo kwa usiri wake yamekuwa mzigo kwetu!..
Aaaah ama ulitaka waweke sahihi kisha mpate ku raise question kisiasa kama vile vagi la Richmond!... duh mkuu, samahani sikuona upande huo wa shilingi! kwii kwii kwii!.