Mwafaka na CCM?
Hiyo ni ndoto .... CCM wataendelea ku-buy time mpaka 2010 ifike waingie tena kwenye uchaguzi wakati mpasuko uko pale pale. Maneno ya Makamba na Kingunge yalikuwa na msg nzito sana, na leo JK ameongezea kwamba hakuna haja ya kuweka deadline. So kinachofanywa na CCM ni kuendelea kuvuta muda maana nina uhakika CUF walitoa conditions ngumu ambazo CCM Zenji hawawezi kuzikubali na ndiyo maana mpaka leo hii hakuna kinachoendelea.