Mtwara: Ujenzi wa Soko la Kisasa - Chuno kwa kutumia Fedha za Ndani

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,207
4,703
Ujenzi wa Soko La Kisasa Lililopo Chuno Halmashauri Ya Mtwara Kwa Kutumia Fedha Za Ndani

Wakazi wa Mtwara wanazidi kuona matokeo chanya yatokanayo na kuichagua Serikali ya CCM

Matumizi sahihi ya Rasilimali zetu huleta matokeo Chanya Kwetu Sote

Tuliahidi
Tumetekeleza

FB_IMG_16078573112702387.jpg
FB_IMG_16078573040428797.jpg
FB_IMG_16078572916933308.jpg
 
Nyumbxxxxx wa CDM watakuambia wananchi hawahitaji soko bora wala miundombinu bora ila wanataka haki ya kuropoka chochote, hicho ndio kipaumbele cha CDM.
 
Ujenzi wa Soko La Kisasa Lililopo Chuno Halmashauri Ya Mtwara Kwa Kutumia Fedha Za Ndani

Wakazi wa Mtwara wanazidi kuona matokeo chanya yatokanayo na kuichagua Serikali ya CCM

Matumizi sahihi ya Rasilimali zetu huleta matokeo Chanya Kwetu Sote

Tuliahidi
Tumetekeleza

View attachment 1648894View attachment 1648895View attachment 1648896
Kuna wabaya wakiona haya mafanikio wanaweweseka na kuandaa mwanakikundi mwenzao atengeneze kiki ya kusema anatishiwa na simbilisi wasiojulikana ili apate kwenda kukaa kwa mabeberu kukwepa kushuhudia kazi nzurii inayofanywa na awamu hii
 
Ujenzi wa Soko La Kisasa Lililopo Chuno Halmashauri Ya Mtwara Kwa Kutumia Fedha Za Ndani

Wakazi wa Mtwara wanazidi kuona matokeo chanya yatokanayo na kuichagua Serikali ya CCM

Matumizi sahihi ya Rasilimali zetu huleta matokeo Chanya Kwetu Sote

Tuliahidi
Tumetekeleza

View attachment 1648894View attachment 1648895View attachment 1648896
Mradi wa fedha za 'WORLD BANK' huu.
Kwa Mtwara fedha hizi kwenye ujenzi wa stendi ya daladala-Mikindani.
Ujenzi wa sehemu za kupumzikia na ujenzi wa barabara maeneo ya Shangani.
 
Back
Top Bottom