Mtwara: Simbachawene azuiwa njiani!

Mtwara: Simbachawene azuiwa njiani!

Alipita Mtwara mjini kimya kimya kaenda sehemu inaitwa Msimbati akijua kuko shwari, watu wamekata mwembe na kuziba njia pamoja na kupanga mawe, wameapa hatarudi salama bora arudie njiani.

Kazi ipo huku Mtwara
 
Kama Mtwara nao sasa wanaipinga CCM na sera zake basi ujue 2015 haitakuwepo tena madarakani. Tena isipoangalia hata nafasi ya chama kikuu cha upinzani inaweza isipate.

Haya mabadiliko na kuipinga CCM sasa yanakuja kwa kasi ya ajabu na wanaopaswa kumwaga sera za utetezi wa chama chao wao wanazunguka tuu na kutukana wakina Slaa. Ccm itajuta kuwapa hawa vijana ( wa hovyo) madaraka ndani ya chama.
 
Njomba nchumali zimechachamaa. Kinukisheni mpaka kieleweke.
Ujinga ujinga tumechoka wa serikali dhaifu

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Hakika suala hili kama litachukuliwa mzaha, CCM wataleta machafuko nchi nzima.
 
Kama Mtwara nao sasa wanaipinga CCM na sera zake basi ujue 2015 haitakuwepo tena madarakani. Tena isipoangalia hata nafasi ya chama kikuu cha upinzani inaweza isipate.
Haya mabadiliko na kuipinga CCM sasa yanakuja kwa kasi ya ajabu na wanaopaswa kumwaga sera za utetezi wa chama chao wao wanazunguka tuu na kutukana wakina Slaa. Ccm itajuta kuwapa hawa vijana ( wa hovyo) madaraka ndani ya chama.
Jery sla alisema CCM ni kama nyani.
 
Mtwara kazen uzi! Yasije ya kawa km ya huku kwetu kuachiwa mashimo! Hawa viongozi wetu hawana la maana! Wangekuwa na uwezo wangetaka hata wahamishie mlima kilimanjaro Dar wajinga sana hawa!
Wazir simbachawene amezuiwa njiani na wananch hapa mtwara kwa kuwekewa mawe njiani na ffu wanakuja hapa
 
Daa hii kali yani nchale kila sehemu, kweli wanamtwara wame hamua kabisa!

Mkuu mtwaragesikwanza tujuze
 
Last edited by a moderator:
mbona kuna watu wanasema lionchawene hajaenda mtwara baada ya kushauriwa na wanaccm wenzake??:confused2::confused2:
 
Hivyohivyo ugali moto mboga moto sahani na bakuli vya bati. watu walishachoka kudanganywa dar kila kitu limekua tumbo la Tanzania linakula kilakitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom