mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
acheni hizo, gesi ni lazima iletwe DAR nyinyi baadaye mbona sisi Mwanza tunakula mapanki samaki wanakula wazungu alafu maendeleo tunashea wote acheni kujipendelea Tanzania ni nchi moja, labda nanyi mjitenge kama zanzibar.