Mtwara Airport (MYW)

Mtwara Airport (MYW)

Tangi Tomofu kibiki

Senior Member
Joined
Mar 31, 2015
Posts
118
Reaction score
74
Wanajamvi naombeni msaada wenu, mm ni trip adviser, nina wageni wangu wa private jet watatoka Addiss Ababa wanataka kuland Mtwara moja kwa moja, wanahitaji namba ya simu ya mtwara airport. Tukitafta directory online hatupati.
Msaada anAyeweza tusaidia kupata namba ya TTCL ya ofisi mojawapo pale airport.
 
Ndo maana hao jamaa wanataka wapate mawasiliano ya moja kwa moja kutoka control tower wenyewe
hiyo ndo bongo.... tupo enzi ya karne ya sayansi na teknolojia lakini utadhani tupo kwenye ujima!!!!! yaani huwezi pata maelezo ya kina kwenye mtandao kwa vitu nyeti kama hivi....
 
hiyo ndo bongo.... tupo enzi ya karne ya sayansi na teknolojia lakini utadhani tupo kwenye ujima!!!!! yaani huwezi pata maelezo ya kina kwenye mtandao kwa vitu nyeti kama hivi....
374aebc5b14fba78934100f3bd3c0a0f.jpg
 
dah, mtwara airport inaniacha hoi run way yake kama ina matuta vile
 
Wanajamvi naombeni msaada wenu, mm ni trip adviser, nina wageni wangu wa private jet watatoka Addiss Ababa wanataka kuland Mtwara moja kwa moja, wanahitaji namba ya simu ya mtwara airport. Tukitafta directory online hatupati.
Msaada anAyeweza tusaidia kupata namba ya TTCL ya ofisi mojawapo pale airport.
Waambie waende ubalozi wa Tz Addis Ababa watapewa tu
 
hiyo ndo bongo.... tupo enzi ya karne ya sayansi na teknolojia lakini utadhani tupo kwenye ujima!!!!! yaani huwezi pata maelezo ya kina kwenye mtandao kwa vitu nyeti kama hivi....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hiyo screenshot ni sehem ya mail nmetumiwa toka UK akiomba assistance
ndo maana nikasema bongo hii bado sana tena sana nashangaa washairi wanaposema tunaweza amka tu na kujitegemea!!! vitu kama hivi ilitakiwa viwepo online kwaajili ya kurahisisha huduma.
 
Nashukuru sana wana jamvi, nishasaidiwa tayari. Nimepata contact details zao na nishawatumia clients wangu.
Shukran za dhati zimwendee #barafu.
 
Back
Top Bottom