Kyenyabasa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2023
- 249
- 711
Wakuu kama nilivyoeleza,,mtumishi wa Umma akipata uhamisho wa muda kwenda kufanya kazi sehemu flani atastahili kupata malipo ya namna gani!?
Ikipendeza niwekee na waraka au sheria inayoongoza malipo hayo.
Ikipendeza niwekee na waraka au sheria inayoongoza malipo hayo.