Mzee wa old school
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 508
- 831
Wakuu, habarini,
Naomba kupata elimu kidogo naamini humu wataalamu wapo.
Je, mtumishi wa umma aliyepewa ruhusa ya kwenda masomoni (mafunzo ya muda mfupi yasiyo zidi mwaka) anaweza kuomba uhamisho kwenda taasisi nyingine ya umma na akahamishwa kwa kipindi ambacho yupo masomoni?
Tafadhali naomba hiyo elimu kutoka kwenu wajuzi, naamini humu wataalamu wapo.
Naomba kupata elimu kidogo naamini humu wataalamu wapo.
Je, mtumishi wa umma aliyepewa ruhusa ya kwenda masomoni (mafunzo ya muda mfupi yasiyo zidi mwaka) anaweza kuomba uhamisho kwenda taasisi nyingine ya umma na akahamishwa kwa kipindi ambacho yupo masomoni?
Tafadhali naomba hiyo elimu kutoka kwenu wajuzi, naamini humu wataalamu wapo.