Mtukufu Rais bora tu angeandika R.I.P

Mtukufu Rais bora tu angeandika R.I.P

”VIONGOZI WA AFRIKA NI MIZIGO".........true
Naona umeangalia signature yangu. Hiyo haipingiki mkuu.
Unajua ss wafrika tunachagua viongozi wetu kwa mihemko.
Ndiyo maana aibu km hizi zinatukumba.

Tunatakiwa iwepo taasisi inayoshughulikia masuala ya uraisi ili mambo yaende murua. Kwann mtafisiri wake asimpe hiyo account ya twitter akawa anaandika?
Baba kaandika broken english, mtoto kadisco yaani full stress. Patamu sana hapa.

UZURI SHERIA INASEMA KM UMEDISCO UNAANZA UPYA MASOMO YAKO TENA FISRT YEAR. PATAMU HAPO
HIV BABA HATAKI MCHEZO, HAKUNA KUBEBANA.
 
Aibu aibu aibu imetufika[emoji86] [emoji86] [emoji87] [emoji87]
 
Tanzania tunaanza kujifunza kiingereza darasa la 3. Sekondari hadi chuo kikuu masomo yanafundishwa kwa kiingereza. Kiingereza kwa Tanzania ni lugha muhimu. Kujua lugha za kimataifa ni muhimu sana. Kuna watu wanataja China kuwa wanatumia lugha yao, ni kweli. Ni kweli pia kwamba taifa la China linawafundisha raia wake lugha nyingine za kimataifa kama kifaransa, kiingereza, kijerumani nk. Hii inasaidia katika mahusiano ya kisiasa, kiteknologia na kiuchumi.
Tutakuwa tunajidanganya kama tutaamini hakuna haja ya kujua lugha za kimataifa. Tena tuzijue vizuri.
Tukumbuke pia kuna mataifa yanajifunza kiswahili. Tujiulize kwanini. Wanajua umhimu wa kujifunza. Mbona hawang'ang'anii lugha zako tu.
Eti sisi hatutaki kujifunza lugha za kimataifa!!!
 
Tanzania tunaanza kujifunza kiingereza darasa la 3. Sekondari hadi chuo kikuu masomo yanafundishwa kwa kiingereza. Kiingereza kwa Tanzania ni lugha muhimu. Kujua lugha za kimataifa ni muhimu sana. Kuna watu wanataja China kuwa wanatumia lugha yao, ni kweli. Ni kweli pia kwamba taifa la China linawafundisha raia wake lugha nyingine za kumataifa kama kifaransa, kiingereza, kijerumani nk. Hii inasaidia katika mahusiano ya kisiasa, kiteknologia na kiuchumi.
Tutakuwa tunajidanganya kama tutaamini hakuna haja ya kujua lugha za kimataifa. Tena tuzijue vizuri.
Tukumbuke pia kuna mataifa yanajifunza kiswahili. Tujiulize kwanini. Wanajua umhimu wa kujifunza. Mbona hawang'ang'anii lugha zako tu.
Eti sisi hatutaki kujifunza lugha za kimataifa!!!
Well said mkuu.
Bravo
 
Nahisi hii c account rasm ya mheshimiwa naombeni tuupuze hiyo account na tusubili maelekezo kutoka kwa Msigwa
 
Halafu watu tukipeleka wanetu private schools toka primary waka-improve walau language skills wanawanyima mikopo vyuo vikuu.

Hivi lengo la serikali ni kuwa na wasomi WA sampuli hii?

Kuongea shida,kuandika shida,kusoma shida na kusikiliza shida and he's a Ph.D holder kutoka Chuo kikuu "bora" Tanzania.
 
Bwana Yule wa kuita watu v.i.l.a.z.a kazi anayo, kweli hii mitandao inabidi malaika waifunge.
 
Magufuli hajui Kiingereza na hilo halina ubishi ila nina wasiwasi kama hii akaunti ya Twitter huwa yeye ndiye mwandishi. Hii itakuwa inaandikwa na Msigwa au mtu mwingine sababu simuoni Magufuli akikaa na kuanza kutupia mambo humo kwa sababu ya wingi wa hekaheka za kazi yake.
Lakini vyovyote vile iwavyo ni kweli kuna ushamba mwingi sana
"unaishi nchini au ughaibuni mkuu?....tu nataka tuone kama tunaweza kuja kukumata ili tukufungulie mashtaka ya udhalilishaji maana umetutukana sana sisi wafanyakazi wa ikulu". kwa sauti ya mfanyakazi wa ikulu.
 
unakosoa halafu huweki wazi ingekuwaje sababu unajua kwa wengi hiyo sentensi inakwenda na inakubalika na amejiweka yeye pia kuonyesha uzito wake etc

Sasa naona mnatafuta tu kitu cha kupupua akili zenu, wewe unajua english iliyo vipande pande kabisa hata ukisoma haupati kujua mtu alitaka ongelea nini.

Naweza kubet na wewe ktk english haupo kivileeeeeeeeeee.

uatfikiri mnapata pesa, wavivu wakubwa, eti unakosoa lugha kabisaaaaaaa kama vile alizaliwa nayo hata kama hakuzaliwa nayo yupo vizuri. Msipende mtu aandike kufata mnayotaka, hajui kimondo ok SO!!!!?????

mtanyooka tu
 
Back
Top Bottom