BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 5,487
- 14,064
Ni wiki ya pili imeisha sasa na mtuhumiwa hajafikiswa mahakamani kulikoni?
Nisema mtu wa kwanza kukamwata ambaye alikuwa ni mfanyakazi wa pale pale Centre ilikiwa ni Move kama za India. Pale ilikuwa baasae abanwe asema alikuwa na ugomvu binafisi na Padri Kitima.
Move imekuja kuharibika kupitia ile Statment ya TEC ambapo walisema hawataki kuona upotosjaji kwenye lile tukio. Hapo Ile move ikawa imekufa.
Nisema mtu wa kwanza kukamwata ambaye alikuwa ni mfanyakazi wa pale pale Centre ilikiwa ni Move kama za India. Pale ilikuwa baasae abanwe asema alikuwa na ugomvu binafisi na Padri Kitima.
Move imekuja kuharibika kupitia ile Statment ya TEC ambapo walisema hawataki kuona upotosjaji kwenye lile tukio. Hapo Ile move ikawa imekufa.