mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,710
- 9,839
Sasa naona pamoja na upimbi ulionao sasa kwa mbali umeanza kunielewa.
Umesema wachina na wahindi kumbe wako smart na wana uwezo wa kujifunza lugha muda wowote wanapofika kwenye nchi husika hii ndio point yangu niliongea jana halafu wewe na mapimbi wenzako mkanikatalia.
Kama wahindi na wanigeria wanaweza kujifunza lugha immediately anapofika katika nchi husika wewe unashindwaje kujifunza unapofika kwenye nchi husika?Maana yake umekubali kwamba wewe ni kilaza/mjinga na hufundishiki.
Mimi niko na uwezo huo wa kutua kwenye nchi yoyote na nikajifunza fasta lugha yao kwa kuzungumza nao mitaani.
Umesema wachina na wahindi kumbe wako smart na wana uwezo wa kujifunza lugha muda wowote wanapofika kwenye nchi husika hii ndio point yangu niliongea jana halafu wewe na mapimbi wenzako mkanikatalia.
Kama wahindi na wanigeria wanaweza kujifunza lugha immediately anapofika katika nchi husika wewe unashindwaje kujifunza unapofika kwenye nchi husika?Maana yake umekubali kwamba wewe ni kilaza/mjinga na hufundishiki.
Mimi niko na uwezo huo wa kutua kwenye nchi yoyote na nikajifunza fasta lugha yao kwa kuzungumza nao mitaani.
Ndio maana nimekwambia kichwa chako ni kigumu sana kuelewa maisha ya karne ya 21, kimeganda karne ya 18.
Wahindi wametawaliwa na waingereza karibu karne moja, na wanajulikana kwa kufanya kazi duniani kote. Labda hujui historia yao au una chuki binafsi nao. Na hao wachina vile vile wanafahamu kiingereza na ni wasafiri wa miaka sana kabla afrika haijagawanywa Berlin.
Pia, unaweza kusoma lugha yoyote kama hufahamu kama nilivyojifunza Kijapani nilivyowasili Tokyo. Hao wachina wanaweza kujifunza lugha yoyote kwa sababu ni smart kama wanigeria. Wapo flexible kama wafilipino, hawana akili mgando ya karne ya 18 kama wewe.
Unadharau lugha za kigeni kama sio kigezo muhimu kujua kuliko competency ya fani yako. Lakini utafanya mawasiliano vipi na dunia kama wewe ni Msukuma na unataka kuuza nyama nchi za nje kama wanavyofanya Australia au Brazil?
Sasa utataka kusema lugha ya kuwasiliana na wateja sio muhimu hapo? Wataelewa Kisukuma wateja wako nje?
Acha chuki za kike bana.
Wewe kama umeridhika na maisha yako Tanzania, kaa tu, lakini usijifanye unaijua dunia na kuwahoji watu kwa nini wanaishi nje au kwa nini mzungu anakuja afrika, sijui mchina. Huijui dunia ya leo na ndio maana fikra zako ni za kizamani.
Nina uhakika wa asilimia 150, katika soko la ajira nje, pamoja na kutojua fani yako, lakini kwa kusoma mawazo yako tu hapa, najua mwajiri yoyote hawezi kukuajiri. Your mindset is a liability.
You are out of touch with the real world.