dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,956
- 9,483
Ujinga umewafanya muwe wapuuzi kabisa unasema kujieleza kwa kiingereza sio kigezo daahLione hili nalo bichwa kama Lisu.
Kujieleza kwa kiingereza siyo kigezo cha kuelimika .
Kiingereza ni lugha tu kama kisukuma
halafu nyie ndio mnatawala hii Nch