Mtu ukiwa na pesa, somesha mwanao international schools, achana na hizi exam based schools or education

Kumbe wewe ni mjinga wa mwisho nani alikwambia kuongea kiingereza ni kipaji?
Ina maana huko uingereza hakuna wehu wanaozungumza kiingereza?hakuna vichaa wanaozungumza kiingereza?Hakuna mataahira wanaozungumza kiingereza?hakuna vilaza kama wewe wanaozungumza kiingereza?
Katika pumba zote ulizoongea hii imevuka viwango SGR
Wewe ni kichwa ngumu kuelewa sana.
Nakuelewesha mara ya mwisho.

Kujua lugha yoyote ni kipaji. Si Kiingereza tu, lugha yoyote. Kujua lugha nyingi inakupa points zaidi katika CV yako.

Sasa nikienda sijui Ufaransa au Msumbiji, inahusika nini na sababu ya kutojua Kiingereza fasihi kwa Watanzania wengi japo ni "lugha rasmi" ya pili ya nchi?????

Pia umekwepa kujibu swali langu, nani atapata ajira kama tukienda kuomba kazi huku wewe unajua Kiswahili tu na mimi najua Kiingereza na Kiswahili?
 
Kuliko serikali iwe na international school zake kwanini isiwekeze nguvu kuboresha shule zake zilizopo?
Good point.
Nchi nyingi sasa zina elimu bora kama za ulaya.
Kwa mfano, wanafunzi wengi wanakwenda kusoma Singapore, Malaysia na India. Hata Japan na Korea wameanza kufundisha kwa Kiingereza ili wapate wateja wa nje zaidi.

Sio tu wananchi wanafaidika na elimu bora bali nchi inafaidika na biashara ya elimu kwa wageni.
 
Alafu wewe mbu wa dengue u have proven urself stupid kwenye huu uzi. Sasa hao maproPESA wetu wa NECTA wote wamekimbila siasa hamna kitu kichwani asikuambie mtu huwez soma International ukafanya siasa kwa nchi kama TZ ni kujishusha elimu na pia kupoteza muda na pia salary offered kwa skills zako siasa utaona upuuzi , elimu yetu inatufanya tuwe na njaa hata kama tuna PHD , imetujenga kuwa maskini wa kutupa na ndio maana hatuprogress
mbona mnaongea sana kwa kuzunguka zunguka tu.
Ila mkiulizwa hao waliosoma International wako wapi na wamefanya nini hamsemi mnaishia kuassume tu ooh wanakimbilia nje ya nchi.
Hivi kuelimika ni kukimbia nchi yako kwa kisingizio cha maisha magumu?Au ukimbie kwenu kwa kisingizio eti kuna mishahara midogo,kama wewe umeelimika tuoneshe impact ya elimu yako ili utushawishi tukulipe mshahara mkubwa.
Kwa nini ukimbilie kwenye nchi za wenzako ambazo watu walitumia elimu zao wakasababisha nchi yao ipande kichumi na mishahara kuwa mikubwa halafu wewe unayejiita msomi wa kimataifa unaenda kushobokea bila kujiuliza walifanya nini huko nyuma.
Halafu bila ya aibu unaniita mimi stupid na unasahau kuwa stupid ni relative term na kuna uwezekano mtu stupid kama wewe ukamuona mtu mwerevu ni stupid kwa sababu yuko tofauti na wewe.
 
Kumbe wao wanasoma ili wapate salaries za international level? Kumbe elimu zao bado ni mzigo tu!
Ndio hapo nawashangaa.
Kama hawana uwezo wa kucreate their own things zikawapatia pesa na matokeo yake wanavizia mishahara kwa wanaume huko ulaya elimu yao ni utopolo mtupu.
Kuongea kama chiriku tu wakati kichwani ni zero na hauna ubunifu wowote wewe ni mzigo tu.
 
Hivi inamaana hatuwezi kubadilisha mitaala ya hizi shule zetu ziwe kama za kimataifa. Najiuliza tu. Kwani hatuwezi au ni nini shida
Issue ni walimu wenye qualifications. Kwenye shule zetu za serikali walimu ni mazao ya Kayumba Sasa unategemea nini?

Ili tuwe na elimu bora, kama Taifa inabidi uwekwe mkakati wa miaka kumi hadi ishirini ili kuwapata walimu wenye uwezo wa kuleta changes
 
Niache kula vizuri, niache starehe eti mtoto asome shule nzuri?
Atasoma hizo za baba ake
Umeongea point mno....kuiga iga inatusumbua sana........kama baba ulisoma ukafaulu na kuwa sawa.....unaangalia shule itakayomuweka sawa na mtoto....thats all....elimi ni msingi wa maisha......maisha bora hujengwa bidii yako...
 
Ndio hapo nawashangaa.
Kama hawana uwezo wa kucreate their own things zikawapatia pesa na matokeo yake wanavizia mishahara kwa wanaume huko ulaya elimu yao ni utopolo mtupu.
Kuongea kama chiriku tu wakati kichwani ni zero na hauna ubunifu wowote wewe ni mzigo tu.
Huyu Bavaria kanishangaza sana, eti hakuna mtu wa kuwalipa as wapo ghali sana. Yaani pamoja na elimu bora kuliko hii ya kwetu, wao nao wanakimbilia opportunity za mataifa ambayo tayari yapo mbali sana kiuchumi?

Sasa wao na sisi kuna tofauti gani? Kumbe wamesoma sana, wamepikwa sana kupata privilege za ng'ambo. Upotolo!!
 
Huyu Bavaria kanishangaza sana, eti hakuna mtu wa kuwalipa as wapo ghali sana. Yaani pamoja na elimu bora kuliko hii ya kwetu, wao nao wanakimbilia opportunity za mataifa ambayo tayari yapo mbali sana kiuchumi?

Sasa wao na sisi kuna tofauti gani? Kumbe wamesoma sana, wamepikwa sana kupata privilege za ng'ambo. Upotolo!!
Hao wazungu wenyewe wenye lugha yao waliyozaliwa nao wanakuja huku kuajiriwa ambako wao wanasema hakuna hela.
Ndipo hapo wananishangaza
 
Umetoka nje ya Mada.

Talent ni natural born thing wala hufundishwi na hakihitaji shule. Ukianza kufundishwa hiyo sio Talent bali unaweza kugundua Talent yako kupitia elimu na shule.

it is something you have never been taught. It comes out of the blue na ukiulizwa how did you know that , the honesty answer would be I don’t Know.
kazi ya mwalimu mzuri ni kugundua talents za wanafunzi wake na kuwaendelezea huko ndiyo maana tunafundishwa masomo ktik field nyingi. Inter. School wametoa vipaji vipi? Nilikuwa Wellington kwenye semina ya Madaktari wa Covid na st Kayumbas wengi tu kutoka Tz, kusoma ni juhudi ya mtoto mwenyewe na Allah, Zanga Mobutu kasoma shule nzuri yuko wapi?
 
kazi ya mwalimu mzuri ni kugundua talents za wanafunzi wake na kuwaendelezea huko ndiyo maana tunafundishwa masomo ktik field nyingi. Inter. School wametoa vipaji vipi? Nilikuwa Wellington kwenye semina ya Madaktari wa Covid na st Kayumbas wengi tu kutoka Tz, kusoma ni juhudi ya mtoto mwenyewe na Allah, Zanga Mobutu kasoma shule nzuri yuko wapi?
umeongea bonge la point.
 
Hao wazungu wenyewe wenye lugha yao waliyozaliwa nao wanakuja huku kuajiriwa ambako wao wanasema hakuna hela.
Ndipo hapo wananishangaza
Wewe umepitwa sana na dunia ya leo.
Binadamu wa kila rangi anazunguka dunia kwa sababu tofauti. Wengine wanakimbia vita, familia, udikteta au wanapenda tu adventure ya kuishi sehemu mbali mbali. Huna haki ya kumpangia mti aishi wapi kwa sababu wewe ndio unafikiri hivyo. Sio kila mtu ana mawazo ya mgando kama wewe.


Una point za kipumbavu sana. Nimejaribu kuku ignore nikashindwa. Eti wandazimu wanajua pia kiingereza kwao, sasa unataka waongee Kisukuma wakati Kiingereza ni lugha yao mama? Hata wandaazimu wa TZ wanaongea Kiswahili sio Kichina au Kifaransa. Na wa Ureno wanaongea Kireno. So your point ni kuwa lugha si muhimu kwa sababu wandawazimu wanazifahamu pia? Really? Halafu bado watu wanabisha hatuhitaji kubadilisha mfumo wa elimu. You are absolutely illogical and talking rubbish!

Na mpaka sasa umekimbia kujibu swali langu. Kati yako na mimi, nani atapewa ajira ukija na kiswahili tu na mimi nakuja na kiingereza na kiswahili katika interview.
Ni mara ya tatu nakuuliza kwa sababu najua huna jibu. Hutachaguliwa kwa kuwa fikra zako ni hasara kwa makampuni ya kisasa yanayotaka wafanyakazi wawe flexible na wajue lugha na utamaduni wa mshindani wao. Na hata ukijiajiri, utahitaji kujua jinsi gani mshindani alivyo na kujua lugha yake inasaidia kujua utamaduni wake. Hii ni somo la kwanza nimesoma chuoni.

Huhitaji kujua haya yote kama maisha yako umeridhika kuuza makaa au soda kibandani kwako, lakini kama unataka kuwa SAMSUNG, Yamaha au Google, inabidi uwe na elimu ya ziada pamoja na kufahamu lugha za kigeni.
Kama unabisha, njoo Tokyo utuuzie Kahawa kwa Kiswahili au nenda Berlin kuuza package za utalii kwa Kisukuma.

Hii ni karne ya 21, lakini fikra zako ni za karne ya 18. Watu wanasafiri kwa sababu zao binafsi, wewe ukitaka kukaa kijijini kwenu kaa tu, usiingilie maisha ya watu usiowajua kwa sababu huna walichonacho. Jaribu kufikiri nje ya boxi.
 
Wewe umepitwa sana na dunia ya leo.
Binadamu wa kila rangi anazunguka dunia kwa sababu tofauti. Wengine wanakimbia vita, familia, udikteta au wanapenda tu adventure ya kuishi sehemu mbali mbali. Huna haki ya kumpangia mti aishi wapi kwa sababu wewe ndio unafikiri hivyo. Sio kila mtu ana mawazo ya mgando kama wewe.


Una point za kipumbavu sana. Nimejaribu kuku ignore nikashindwa. Eti wandazimu wanajua pia kiingereza kwao, sasa unataka waongee Kisukuma wakati Kiingereza ni lugha yao mama? Hata wandaazimu wa TZ wanaongea Kiswahili sio Kichina au Kifaransa. Na wa Ureno wanaongea Kireno. So your point ni kuwa lugha si muhimu kwa sababu wandawazimu wanazifahamu pia? Really? Halafu bado watu wanabisha hatuhitaji kubadilisha mfumo wa elimu. You are absolutely illogical and talking rubbish!

Na mpaka sasa umekimbia kujibu swali langu. Kati yako na mimi, nani atapewa ajira ukija na kiswahili tu na mimi nakuja na kiingereza na kiswahili katika interview.
Ni mara ya tatu nakuuliza kwa sababu najua huna jibu. Hutachaguliwa kwa kuwa fikra zako ni hasara kwa makampuni ya kisasa yanayotaka wafanyakazi wawe flexible na wajue lugha na utamaduni wa mshindani wao. Na hata ukijiajiri, utahitaji kujua jinsi gani mshindani alivyo na kujua lugha yake inasaidia kujua utamaduni wake. Hii ni somo la kwanza nimesoma chuoni.

Huhitaji kujua haya yote kama maisha yako umeridhika kuuza makaa au soda kibandani kwako, lakini kama unataka kuwa SAMSUNG, Yamaha au Google, inabidi uwe na elimu ya ziada pamoja na kufahamu lugha za kigeni.
Kama unabisha, njoo Tokyo utuuzie Kahawa kwa Kiswahili au nenda Berlin kuuza package za utalii kwa Kisukuma.

Hii ni karne ya 21, lakini fikra zako ni za karne ya 18. Watu wanasafiri kwa sababu zao binafsi, wewe ukitaka kukaa kijijini kwenu kaa tu, usiingilie maisha ya watu usiowajua kwa sababu huna walichonacho. Jaribu kufikiri nje ya boxi.
mbona hoja zako ni za kijuha sana.
Hapa kuna mtu nimemlazimisha kwenda kuishi sehemu fulani?nimeongea kulingana na utumbo wenu mnaojaribu kuwaaminisha watu.
Yaani wewe katika malimbukeni wewe ni babalao.
Halafu kuna kiswali cha kipumbavu ulikiuliza sikukujibu kwa sababu niliona ni swali la kuuliza mtoto wa chekechea eti unasema kwa mfano tumeomba kazi sehemu mimi na wewe halaf wewe unajua kiswahili na english na mimi najua kiswahili tu eti ataitwa nani kwenye kazi?jibu langu ni hivi kwanza inategemea hiyo kazi ni ya proffession gani,watakachoconsider hapo ni competency level ya kazi husika hiyo lugha yako ni kigezo cha mwisho kabisa.
Chukulia mfano hiyo kazi inahusu engineering au IT halafu ikatokea unajua lugha lakini competency yako ni poor hautapewa kazi kwa sababu hiyo lugha yako haikufanyi kuijua IT/Engineering kwa vitendo.
Hata bubu au kiziwi anaweza kuitwa kwenye hiyo kazi kama ana competence ya juu ya hiyo kazi husika.
Language na competence ya kazi ni vitu viwili tofauti.
Na wewe nakuuliza swali,kuna wahindi na wachina wanakuja huku kufanya kazi na hawajui kiingereza wala kiswahili wanafanyaje kazi?
usiponielewa hapa nitakuona pimbi wa mwisho na inawezekana hata huko nje unapojisifu umeenda wanakuona mwanasesere tu bila mwenyewe kujijua.
 
Lakini mbona kibongo talent nyingi zinatoka kwa watu ambao ni masikini na wasio na elimu kubwa
Mbona hatuoni hao international wakiongoza kwenye fani nyingi zinazotumia vipaji sana
Kiongozi hawa watu huwezi waona kirahisi ukacompete nao kwasababu hawafanyi kazi hapa hawez mzazi akasomesha mtoto wake kwa ada ya milioni 70 aje alipwe milion 2 kwa mwezi. na ukiangalia mfumo wa zile shule kwa Tanzania nyingi zinafundisha mpaka diploma kwahiyo degree ni mbele tu. Kingine hawa watu wengi watoto wa vigogo kupata connection za kazi kimataifa huko. Wakifika kule wanakutana na watoto wa havard ko wanakuwa nao was kawaida tu. Ila usisahau tajiri namba moja Tanzania kasoma hapo bwana mo dewji
 
Mtu ukiwa na hela ya kueleweka ama kama unataka kuwekeza kweli kwa watoto wako, wasomeshe international schools au shule zenye mitaala ya kimataifa.

Hizi shule zenye mitaala ya kimataifa zinawajenga watoto kwenye analytical skills, reasoning, logic, creativity, competence na mambo kama hayo.

Ukikutana na mtoto wa darasa la 6 wa hizi shule, reasoning yake ama analytical skills zake ni sawa na kijana wa form six wa necta schools.

Shule hizi hazilengi kuona mtoto anapata nini au maksi gani darasani bali kuibua talents nyingine alizonazo mtoto sio hizi za necta ambazo zimejikita kwenye ufaulu tu wa mwanafunzi.

Ukitaka kuwekeza kwenye elimu ya kweli kwa mwanao na kama uwezo upo peleka mwanao shule zenye mitaala ya kimataifa.
Kusoma ndio kila kitu. Tuliosoma kufaulu mitihani kama waganga wa kienyeji vile. Tunapenda kuendesha mambo kama tunapiga ramli chonganishi...Elimu yetu ilianza kuvurugika late 80's and 90's. Sasa hivi mtoto wa vidudu anasoma muda mrefu kuliko mwanachuo. Sijui wanachosoma ni nini
 
mbona hoja zako ni za kijuha sana.
Hapa kuna mtu nimemlazimisha kwenda kuishi sehemu fulani?nimeongea kulingana na utumbo wenu mnaojaribu kuwaaminisha watu.
Yaani wewe katika malimbukeni wewe ni babalao.
Halafu kuna kiswali cha kipumbavu ulikiuliza sikukujibu kwa sababu niliona ni swali la kuuliza mtoto wa chekechea eti unasema kwa mfano tumeomba kazi sehemu mimi na wewe halaf wewe unajua kiswahili na english na mimi najua kiswahili tu eti ataitwa nani kwenye kazi?jibu langu ni hivi kwanza inategemea hiyo kazi ni ya proffession gani,watakachoconsider hapo ni competency level ya kazi husika hiyo lugha yako ni kigezo cha mwisho kabisa.
Chukulia mfano hiyo kazi inahusu engineering au IT halafu ikatokea unajua lugha lakini competency yako ni poor hautapewa kazi kwa sababu hiyo lugha yako haikufanyi kuijua IT/Engineering kwa vitendo.
Hata bubu au kiziwi anaweza kuitwa kwenye hiyo kazi kama ana competence ya juu ya hiyo kazi husika.
Language na competence ya kazi ni vitu viwili tofauti.
Na wewe nakuuliza swali,kuna wahindi na wachina wanakuja huku kufanya kazi na hawajui kiingereza wala kiswahili wanafanyaje kazi?
usiponielewa hapa nitakuona pimbi wa mwisho na inawezekana hata huko nje unapojisifu umeenda wanakuona mwanasesere tu bila mwenyewe kujijua.
Ndio maana nimekwambia kichwa chako ni kigumu sana kuelewa maisha ya karne ya 21, kimeganda karne ya 18.

Wahindi wametawaliwa na waingereza karibu karne moja, na wanajulikana kwa kufanya kazi duniani kote. Labda hujui historia yao au una chuki binafsi nao. Na hao wachina vile vile wanafahamu kiingereza na ni wasafiri wa miaka sana kabla afrika haijagawanywa Berlin.

Pia, unaweza kusoma lugha yoyote kama hufahamu kama nilivyojifunza Kijapani nilivyowasili Tokyo. Hao wachina wanaweza kujifunza lugha yoyote kwa sababu ni smart kama wanigeria. Wapo flexible kama wafilipino, hawana akili mgando ya karne ya 18 kama wewe.

Unadharau lugha za kigeni kama sio kigezo muhimu kujua kuliko competency ya fani yako. Lakini utafanya mawasiliano vipi na dunia kama wewe ni Msukuma na unataka kuuza nyama nchi za nje kama wanavyofanya Australia au Brazil?
Sasa utataka kusema lugha ya kuwasiliana na wateja sio muhimu hapo? Wataelewa Kisukuma wateja wako nje?

Acha chuki za kike bana.

Wewe kama umeridhika na maisha yako Tanzania, kaa tu, lakini usijifanye unaijua dunia na kuwahoji watu kwa nini wanaishi nje au kwa nini mzungu anakuja afrika, sijui mchina. Huijui dunia ya leo na ndio maana fikra zako ni za kizamani.

Nina uhakika wa asilimia 150, katika soko la ajira nje, pamoja na kutojua fani yako, lakini kwa kusoma mawazo yako tu hapa, najua mwajiri yoyote hawezi kukuajiri. Your mindset is a liability.
You are out of touch with the real world.
 
Unahangaika naye wa nini? Alianzia kwangu, nilipogundua kuwa na-deal na mjinga, nikaamua kum-ignore.
Ndio maana nimekwambia kichwa chako ni kigumu sana kuelewa maisha ya karne ya 21, kimeganda karne ya 18.

Wahindi wametawaliwa na waingereza karibu karne moja, na wanajulikana kwa kufanya kazi duniani kote. Labda hujui historia yao au una chuki binafsi nao. Na hao wachina vile vile wanafahamu kiingereza na ni wasafiri wa miaka sana kabla afrika haijagawanywa Berlin.

Pia, unaweza kusoma lugha yoyote kama hufahamu kama nilivyojifunza Kijapani nilivyowasili Tokyo. Hao wachina wanaweza kujifunza lugha yoyote kwa sababu ni smart kama wanigeria. Wapo flexible kama wafilipino, hawana akili mgando ya karne ya 18 kama wewe.

Unadharau lugha za kigeni kama sio kigezo muhimu kujua kuliko competency ya fani yako. Lakini utafanya mawasiliano vipi na dunia kama wewe ni Msukuma na unataka kuuza nyama nchi za nje kama wanavyofanya Australia au Brazil?
Sasa utataka kusema lugha ya kuwasiliana na wateja sio muhimu hapo? Wataelewa Kisukuma wateja wako nje?

Acha chuki za kike bana.

Wewe kama umeridhika na maisha yako Tanzania, kaa tu, lakini usijifanye unaijua dunia na kuwahoji watu kwa nini wanaishi nje au kwa nini mzungu anakuja afrika, sijui mchina. Huijui dunia ya leo na ndio maana fikra zako ni za kizamani.

Nina uhakika wa asilimia 150, katika soko la ajira nje, pamoja na kutojua fani yako, lakini kwa kusoma mawazo yako tu hapa, najua mwajiri yoyote hawezi kukuajiri. Your mindset is a liability.
You are out of touch with the real world.
 
Ila msisahau kwa Sasa Elimu ni haki ya msingi ya mtoto na si URITHI km mtazamo wa zamani ulivyo.nyakati zimebadilika dunia inaenda kasi sana. URITHI kwa mtoto kwa sasa ni majumba,mashamba,viwanja,magari na biashara mbalimbali. SOMA Rich Dady Poor Dady utaanza kufikiri tofauti.
 
Back
Top Bottom