Mwenye app ya NALA ana jina kubwa kuliko app, kafanikiwa kwa sababu kasoma International schools sio kwa app, wewe mara ya mwisho umetumia Nala lini?

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,080
utasiki Nala imepata tuzo flani, Nala imepata sponsors, Nala imealikwa Marekani ama Ulaya kwenye kikao cha Tech.

Ajabu ni kwambai hata wewe ukijiuliza ni lini mara ya mwisho umetumia Nala unaweza ukasugua sana kichwa.

Kwangu nachoona ni kwamba kijana Fernandez alisomea shule hizi International schools za mitaala international (achana na hizi international za mchongo zinapiga pepa za Necta), wanafunzi kibao ni watoto wa mabalozi wa nchi, watoto wa ma ceo wa makampuni makubwa, watoto wa matajiri wanaojua kwamba kuna shule nzuri kuzidi hizi saint francis na Feza zenye elimu ya kikoloni mpaka leo.

Kwa shule hizo naona zilimsaidia zaidi kujenga mazingira ya mafanikio yake ya sasa kuanzia kupata wafadhili, kupata connections, exposure, n.k. class mates waliochagua waajiriwe ni kawaida sana kuwakuta Inernational corporations kama WHO, UN, Google, Microsoft, n.k. hivyo pana connections nzito sana na information kupeana info muhimu ambazo hata ugoogle vp ni ngumu kuzipata, Hizi mambo za ufadhili ama kupewa tuzo za pesa ukiwa umesomea huko ni greese kwenye vyuma, n.k.

Huwezi kulinganisha na hawa IT waliosomea shule zenye exposure ndogo za kuweza kujimix na mataifa mengine, connections chache za kimataifa, uwezekano wa asilimia 0.01 kusoma nje, n.k.
 
Ni university aliyosoma na mazingira ya kule kwa upande wa tech na uwezekano wa kupata investors "VC", na riba rahisi kwa kipindi kile, Marekani benki zilikuwa zinatoa hela riba karibia 0% so investors walikuwa wengi sana.

Startup mbili kubwa za Bongo zote walioanzisha wamesoma huko.

Hii sio kusema kwamba hakuna juhudi au skill ilikuwa inahitajika kufanikisha haya yote hasa ukizingatia ni Startup ya Africa.

NALA kama startup hatujui itaishia wapi iko kwenye growth stage, na watanzania kutotumia sidhani kama ni issue kubwa inaonekana wamehamia nchi zengine kwa kiasi kikubwa.
 
Mimi nikisemaga naambiwa ohh, una wivu. Hapa hatuongelei wivu. Nala haina creativity, that's it. Huwezi kunambia niite white nyeusi na black nyeupe.

little creativity, too much words. Na unajua nn, talking is always cheap. Jamaa anataka kuwa celebrity kama elon musk lkn hana technical edge.

Fintech apps kwa africa zilikua ni hype tu, na nyingi zimeshafunga ofisi.
 
Mi nadhani "creativity" iko overhyped katika biashara, sio lazima kuwa creative kupata mafanikio cha muhimu ni execution ya hiyo business.

Hizi payment platform haziko technically complex kihivyo ila zinahitaji kazi kubwa kwa sababu ya regulation/compliance/sheria katika masuala ya kuhamisha pesa hasa kimataifa.
 
Mi nadhani "creativity" iko overhyped katika biashara, sio lazima kuwa creative kupata mafanikio cha muhimu ni execution ya hiyo business.

Hizi payment platform haziko technically complex kihivyo ila zinahitaji kazi kubwa kwa sababu ya regulation/compliance/sheria katika masuala ya kuhamisha pesa hasa kimataifa.
Unajua kwa nn payment App nyingi Africa zimefunga japo kuna ambazo zilishapata 20x times funds alizopata benj?

Ni kwa sababu hii biashara ni ngumu kutengeneza faida.

Kuna miamala lazima settlement ifanyikie nchi fln, na huko lazima ukatwe fee. Profit ya hizo apps ni hizo fee/charges wanazowala watumiaji wao, ambazo na wao wanakuja kulipia pia kwa hizo third parties, mwisho wa siku hii ni biashara ambayo ni ngumu sana kucontrol profit margin yako.

Jamaa wa nala akiweka creativity akaincorporate tech ya ripple net labda anaweza ongeza profit margin, lkn hata kama upewe mabillion ya funds, biashara kama haitengenezi faida that's a hobby, not a business. Na ndo maana rafiki zake Dash walishafunga ofisi zamani sana na wengine wanaendelea kufunga.

Anyway sio story mpya kwenye Tech, kuna yule mwanamke wa Theranos, Elizabeth Holmes, na wengine wengi huwa wanakuja hivihivi, wanaonekana very smart kumbe yaliomo hayamo. Watu kama sie tunaoishi kwenye tech na kucreate plus kuoptimize products at the same time tuko business aware tunajua kinachoendelea
 
utasiki Nala imepata tuzo flani, Nala imepata sponsors, Nala imealikwa Marekani ama Ulaya kwenye kikao cha Tech.

Ajabu ni kwambai hata wewe ukijiuliza ni lini mara ya mwisho umetumia Nala unaweza ukasugua sana kichwa.

Kwangu nachoona ni kwamba kijana Fernandez alisomea shule hizi International schools za mitaala international (achana na hizi international za mchongo zinapiga pepa za Necta), wanafunzi kibao ni watoto wa mabalozi wa nchi, watoto wa ma ceo wa makampuni makubwa, watoto wa matajiri wanaojua kwamba kuna shule nzuri kuzidi hizi saint francis na Feza zenye elimu ya kikoloni mpaka leo.

Kwa shule hizo naona zilimsaidia zaidi kujenga mazingira ya mafanikio yake ya sasa kuanzia kupata wafadhili, kupata connections, exposure, n.k. class mates waliochagua waajiriwe ni kawaida sana kuwakuta Inernational corporations kama WHO, UN, Google, Microsoft, n.k. hivyo pana connections nzito sana na information kupeana info muhimu ambazo hata ugoogle vp ni ngumu kuzipata, Hizi mambo za ufadhili ama kupewa tuzo za pesa ukiwa umesomea huko ni greese kwenye vyuma, n.k.

Huwezi kulinganisha na hawa IT waliosomea shule zenye exposure ndogo za kuweza kujimix na mataifa mengine, connections chache za kimataifa, uwezekano wa asilimia 0.01 kusoma nje, n.k.
Mafanikio kwenye haya mambo si kujua coding tu.

Kuna suala zima la networking, management, marketing, grit.Kupambana kuangalia mambo ya kodi imekaa vizuri wapi, governance, compliance, encryption for data at rest and in motion, PCI complince / retention, ransomware threats, breaches, talent iko wapi. Mwanzo mgumu.

Na hapo unaweza kumuonea Benjamin, kwa sababu ingawa inawezekana kasoma hizo shule na kupata networks fulani, ila na yeye kasota kufanyia kazi mafanikio anayopata. Na ana njaa ya kupata mafanikio zaidi. Naona team yake wanavyohangaika kuwa visible, kufanya outreach, kujimix na communities.

NALA nafikiri imekaa zaidi kwenye money transfers za kimataifa, na inashindana na makampuni makubwa ya kimataifa kama World Remit na Sendwave. Watanzania wa nje wana nafasi kubwa ya kuikubali na kuifanya ifanikiwe au kuipotezea tu.
 
utasiki Nala imepata tuzo flani, Nala imepata sponsors, Nala imealikwa Marekani ama Ulaya kwenye kikao cha Tech.

Ajabu ni kwambai hata wewe ukijiuliza ni lini mara ya mwisho umetumia Nala unaweza ukasugua sana kichwa.

Kwangu nachoona ni kwamba kijana Fernandez alisomea shule hizi International schools za mitaala international (achana na hizi international za mchongo zinapiga pepa za Necta), wanafunzi kibao ni watoto wa mabalozi wa nchi, watoto wa ma ceo wa makampuni makubwa, watoto wa matajiri wanaojua kwamba kuna shule nzuri kuzidi hizi saint francis na Feza zenye elimu ya kikoloni mpaka leo.

Kwa shule hizo naona zilimsaidia zaidi kujenga mazingira ya mafanikio yake ya sasa kuanzia kupata wafadhili, kupata connections, exposure, n.k. class mates waliochagua waajiriwe ni kawaida sana kuwakuta Inernational corporations kama WHO, UN, Google, Microsoft, n.k. hivyo pana connections nzito sana na information kupeana info muhimu ambazo hata ugoogle vp ni ngumu kuzipata, Hizi mambo za ufadhili ama kupewa tuzo za pesa ukiwa umesomea huko ni greese kwenye vyuma, n.k.

Huwezi kulinganisha na hawa IT waliosomea shule zenye exposure ndogo za kuweza kujimix na mataifa mengine, connections chache za kimataifa, uwezekano wa asilimia 0.01 kusoma nje, n.k.


Argument ya kipumbavu sama hii. Kwa hiyo mimi kama nauza mbao Iringa na sina mtu wa kumtumia au kupokea hela kwa njia hiyo ni kipimo cha ufanisi wa nala?

Kwa ni mnachuki na watoto wa watu waliosoma international School?
 
Natumia NALA oftentimes a week. Whatchu talking about? It's a better UI, reliable, and most importantly competitive rates.
We kwani hutujui tunavyopenda kupigana madongo wenyewe kwa wenyewe?

Unakuta mtu hana hata ki website cha ku process credit card payments za watalii watatu kwa mwezi, anakuja kuponda NALA ambayo hata hajui blood, sweat and tears zilizotumika kuisimamisha.

Wabongo hatupendani, na hii ni moja ya sababu hatuendelei.
 
Argument ya kipumbavu sama hii. Kwa hiyo mimi kama nauza mbao Iringa na sina mtu wa kumtumia au kupokea hela kwa njia hiyo ni kipimo cha ufanisi wa nala?

Kwa ni mnachuki na watoto wa watu waliosoma international School?
Njia nzuri kabisa ya ku prove NALA si chochote ni mtu anayeiponda kutengeneza yake ambayo ni nzuri zaidi.

Kitu ambacho hakijafanyika Tanzania.

Kwa kila anayesema Benja ana connections kubwa, connections hizo hazijamsaidia kuweza kuwa na HQ Tanzania alipotaka kufanya awali, licha ya kupigiwa chapuo mpaka na rais.

So much for connections.
 
utasiki Nala imepata tuzo flani, Nala imepata sponsors, Nala imealikwa Marekani ama Ulaya kwenye kikao cha Tech.

Ajabu ni kwambai hata wewe ukijiuliza ni lini mara ya mwisho umetumia Nala unaweza ukasugua sana kichwa.

Kwangu nachoona ni kwamba kijana Fernandez alisomea shule hizi International schools za mitaala international (achana na hizi international za mchongo zinapiga pepa za Necta), wanafunzi kibao ni watoto wa mabalozi wa nchi, watoto wa ma ceo wa makampuni makubwa, watoto wa matajiri wanaojua kwamba kuna shule nzuri kuzidi hizi saint francis na Feza zenye elimu ya kikoloni mpaka leo.

Kwa shule hizo naona zilimsaidia zaidi kujenga mazingira ya mafanikio yake ya sasa kuanzia kupata wafadhili, kupata connections, exposure, n.k. class mates waliochagua waajiriwe ni kawaida sana kuwakuta Inernational corporations kama WHO, UN, Google, Microsoft, n.k. hivyo pana connections nzito sana na information kupeana info muhimu ambazo hata ugoogle vp ni ngumu kuzipata, Hizi mambo za ufadhili ama kupewa tuzo za pesa ukiwa umesomea huko ni greese kwenye vyuma, n.k.

Huwezi kulinganisha na hawa IT waliosomea shule zenye exposure ndogo za kuweza kujimix na mataifa mengine, connections chache za kimataifa, uwezekano wa asilimia 0.01 kusoma nje, n.k.
Watumiaji wa Tigo pesa hebu tuache kuingilia Vitu tusivyovijuwa.

Nala haideal na kutransfer pesa kutoka Tandika kwenda Rufiji.
 
Watumiaji wa Tigo pesa hebu tuache kuingilia Vitu tusivyovijuwa.

Nala haideal na kutransfer pesa kutoka Tandika kwenda Rufiji.
Exactly,

Nimewaambia NALA inashindana na World Remit na Sendwave na Watanzania wa diaspora ndiyo watakaoamua kama itafanikiwa ama la.

Hata Benja mwenyewe ukimuangalia outreachs zake anafanya kwenye Marathon Boston, New York, London etc.

Huko ndiko kwenye wateja wake.
 
Exactly,

Nimewaambia NALA inashindana na World Remit na Sendwave na Watanzania wa diaspora ndiyo watakaoamua kama itafanikiwa ama la.
Kulikuwa na kampuni Bongo inatowa mikopo online inaitwa TALA nadhani ni ya Wakenya, Jamaa walikuwa smart Sana na local society ilinufaika nao Sana, lakini Kwa roho mbaya za Wabongo Jamaa walipingwa Pingu na kufungiwa huduma huku pesa zao nyingi zikiwa nje Kwa wateja na sasa the same name ya kampuni hiyohiyo inatumika kuwatapeli Wabongo wajinga online kwamba udeposit pesa ili upate mkopo mkubwa.

Haya ndio mambo wanayoyaweza Watanzania ndio maana watu wanaogopa kuweka base Tanzania fitna nyingi Sana.
 
Kulikuwa na kampuni Bongo inatowa mikopo online inaitwa TALA nadhani ni ya Wakenya, Jamaa walikuwa smart Sana na local society ilinufaika nao Sana, lakini Kwa roho mbaya za Wabongo Jamaa walipingwa Pingu na kufungiwa huduma huku pesa zao nyingi zikiwa nje Kwa wateja na sasa the same name ya kampuni hiyohiyo inatumika kuwatapeli Wabongo wajinga online kwamba udeposit pesa ili upate mkopo mkubwa.

Haya ndio mambo wanayoyaweza Watanzania ndio maana watu wanaogopa kuweka base Tanzania fitna nyingi Sana.
Benjamon Fernandez wa NALA alipigiwa chapuo sana, mpaka kupiga picha na Samia. Samia akisema tutakupa support yoyote unayotaka.

Kufuatilia issue nikakuta kashindwa kufanya makao makuu Tanzania, kapeleka HQ Kenya. Which has huge tax and governance control implications.

Wabongo kama kawaida wamekuwa tena watu wa ku overpromise na ku under deliver.
 
We kwani hutujui tunavyopenda kupigana madongo wenyewe kwa wenyewe?

Unakuta mtu hana hata ki website cha ku process credit card payments za watalii watatu kwa mwezi, anakuja kuponda NALA ambayo hata hajui blood, sweat and tears zilizotumika kuisimamisha.

Wabongo hatupendani, na hii ni moja ya sababu hatuendelei.

Ni changamoto mkuu.
 
Benjamon Fernandez wa NALA alipigiwa chapuo sana, mpaka kupiga picha na Samia. Samia akisema tutakupa support yoyote unayotaka.

Kufuatilia issue nikakuta kashindwa kufanya makao makuu Tanzania, kapeleka HQ Kenya. Which has huge tax and governance control implications.

Wabongo kama kawaida wamekuwa tena watu wa ku overpromise na ku under deliver.
Tido Mhando pia alidanganywa na Kikwete (CCM) akaacha kazi BBC akarudi nyumbani, alipoanza kuifanyia reform tu TBC vizee vya CCM kina Makamba wakamuona huyu si mwenzentu anatuletea uzungu hapa wakati Bongo ubabaishaji ndio priority.

Nadhani Salim Kikeke haijapata somo Kwa Tido, kuna mtu amemdanganya Salim Kikeke na nadhani baada ya Zuhura Yunus kupewa kazi Ikulu huyu mshkaji kaingizwa chaka kuachia kazi BBC, naweza nisiwe Sahihi lakini I think so.
 
Njia nzuri kabisa ya ku prove NALA si chochote ni mtu anayeiponda kutengeneza yake ambayo ni nzuri zaidi.

Kitu ambacho hakijafanyika Tanzania.

Kwa kila anayesema Benja ana connections kubwa, connections hizo hazijamsaidia kuweza kuwa na HQ Tanzania alipotaka kufanya awali, licha ya kupigiwa chapuo mpaka na rais.

So much for connections.


Jitahidi kutumia kiswahili zaidi utaelewaka
 
Back
Top Bottom