Mtu 'romantic' anakuwaje?

Mtu 'romantic' anakuwaje?

Ukiwa na hela ww ndiyo romantic!Tafuta hela ndugu yangu utafananishwa na kila mwanamme handsome hapa duniani!

Kuna jamaa yangu ni Mhutu mfupii sana na ana pua kuubwa pana tena ana kitambi lkn ana hela ndefu;demu wake mpya alimuambia kafanana sana kwa kila kitu na Christian Ronaldo wa Real Madrid!Akaambiwa eti yupo very sexy!

Mimi nikawa nacheka tu pembeni yao!
Pesa ni muhimu sana sana sana ila pesa si kila kitu, tubadilike. Huo Mfano hauonyeshi uhalisia wa wapendanao
 
Tangu Zamani nimekuwa nikipata vijembe toka kwa mpenzi wangu wa long time kuwa , am not romantic, at the same time anasema am good in bed na ninamfikisha kweli, Sasa hivi juzi nimekutana na just a friend ( a girl) ambaye kwa kuangalia it was realy kuwa alikuwa anafall inlove kwangu,ukizingatia kuwa sikuwa nimedisclose hizo info za kuwa nipo in a very strong relationship. Picha texting za kimahaba, kuongea hadi usiku wa manane kumetawala sana na vitimbwi vyote vya kimahaba. then jana akaniuliza " hivi umeshawahi kuwa romantic???" akili ikaruka hadi ikakumbuka vijembe vya my lovee vya kila siku tukiwa na ugomvi. nimejaribu kumdadis nimeambulia patupu.

sasa najiuliza uwenda ni kweli, am not romantic, but hivi mtu kuwa romantic ndo ipoje hyoooo???? ..

MSAADA TAFADHALI!!!!
Ha ha ha umenikumbusha mtu flani ilikuwa hata nikimkumbatia kama nimekumbatia mlingoti,mpaka nikamtolea nishai nikwambia When i hold you you have to hold me back and dont let go ....na jinsi nilivyokuwa nae nikagundua kwamba si mtu wa kuonesha hisia za mapenzi!!
Ok mi nitakwambia ukweli since nishakutana na mtu dizain yako wewe.Kuwa romantic kunahusiana na HISIA,Kuonesha hisia zako za kimapenzi juu ya yule umpendae.Hii inaweza kuonekana kwa jinsi unavyomtazama,unavyomjali na kumwambia jinsi gani unampenda n.k
Watu wanaweza wadefine romantic kwa namna tofauti,holding hands while walking at the beach might be romantic to some people,While others might prefer cuddling(kubambiana),or some other might prefer romantic dinner or locations...Or a bunch of red roses with romantic poem on a card expressing your love for the person....
 
Inabidi uwe mtu wa kuangalia sana bongo movies na udiscuss kila mnapo ongea, ndiyo maana yake. Mambo ya dotcom hayo.
umenena mkuu mi demu wangu nimempiga marufuku kuangalia bongo movies ,maana anataka kunipeleka peleka kwa vitendo vyao,angalia movies za bongo ndo utajua maana ya romantic.
 
Funny-A-Nice-Way-To-Ruin-A-Romantic-Text.jpg
hahahahha inye
 
Nadhani u mzima: kuwa romantiki ni:-

kuwa na mapenzi ya dhati kwa maneno na vitendo pia,

kujali kwa vitendo na matendo

kuwa karibu na mpenzi wako kila unapokuwa na muda au kupata nafasi mfano (unaweza kukaa naye jikoni wakati anapika na kunsika kiuno, kum kiss au kupga stor yoyote ya mahaba au kumchekesha kimaha)

kumkumbatia unapokutana nae na ku mkiss hata kama mliachana masaa 2 yaliyopita,

kumtengenezea mazingira mazuri ya kwenda 6*6 hata masaa 5 kabla mfano (unaweza kumtumia sms ukiwa kazini au sehemu yoyote mbali na yeye majira ya mchana kumweleza kuwa unemiss sana kiuno au chuchu zake, ama kuzungumzia moja ya staili mnayotumiaga N.K)

kumtoa outing sehemu ambayo hajawahi kwenda au anayoipendelea saana

kumpatia / nunulia zawadi hata kama ndogo saana

kuwasiliana naye mara kwa mara (mfano unaweza kuwa umesingikiza wageni ukiwa unarudi ukampigia simu aje kukupokea au akufungulie mlango)

na mengineyo meeeeeeeeeeenge sanaaaaaaaaaaa

we mkalee...inapendeza kwakweli..
 
Tangu Zamani nimekuwa nikipata vijembe toka kwa mpenzi wangu wa long time kuwa , am not romantic, at the same time anasema am good in bed na ninamfikisha kweli, Sasa hivi juzi nimekutana na just a friend ( a girl) ambaye kwa kuangalia it was realy kuwa alikuwa anafall inlove kwangu,ukizingatia kuwa sikuwa nimedisclose hizo info za kuwa nipo in a very strong relationship. Picha texting za kimahaba, kuongea hadi usiku wa manane kumetawala sana na vitimbwi vyote vya kimahaba. then jana akaniuliza " hivi umeshawahi kuwa romantic???" akili ikaruka hadi ikakumbuka vijembe vya my lovee vya kila siku tukiwa na ugomvi. nimejaribu kumdadis nimeambulia patupu.

sasa najiuliza uwenda ni kweli, am not romantic, but hivi mtu kuwa romantic ndo ipoje hyoooo???? ..

MSAADA TAFADHALI!!!!

Haujijali;
Unavaa manguo ili mradi umevaa tu;
Unatembea utafikiri unaenda kutoa taarifa ya msiba;
Unaongea kwa rafudhi ya lugha ya mama yako; hautaki mabadiliko kulingana na dunia ya sasa;
Maviatu unayoyafaa utafikiri Muha;
Hadi leo unavaa masuruali yenye selebration (mikunjo ya mbele)
Kama kuna mambo mengi bro! Hayo ni baadhi
 
Pinno, but hilo tatizo wanalo wanaume wengi wa Africa. Kuwa romantic ni kupunguza ugumu, kuwa na maneno matamu matamu, kumsifia sifia mkeo, kumshika shika kumfanya ajisikie kupendwa na kujaliwa. Ni kitu unajifunza polepole. Mwambie, nakupenda, macho yako mazuri, ngozi yako inateleza, umbo loooooooooote, tabia yake.

Kumbuka
si kitu cha siku moja, fanya consistently, na usisahau.
 
Chezeya kupenda weye ladyfurahia....Dume zima linaweza kububujikwa na machozi pale linapotakwa kuachwa.

yaani mwana umenigusa sana kwa wimbo huu
sijui nikwambie ..........au niache.........?
hebu soma topic hapo juu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mbona fumbo tena?
haujijali;
unavaa manguo ili mradi umevaa tu;
unatembea utafikiri unaenda kutoa taarifa ya msiba;
unaongea kwa rafudhi ya lugha ya mama yako; hautaki mabadiliko kulingana na dunia ya sasa;
maviatu unayoyafaa utafikiri muha;
hadi leo unavaa masuruali yenye selebration (mikunjo ya mbele)
kama kuna mambo mengi bro! Hayo ni baadhi
 
umenena mkuu mi demu wangu nimempiga marufuku kuangalia bongo movies ,maana anataka kunipeleka peleka kwa vitendo vyao,angalia movies za bongo ndo utajua maana ya romantic.


Huwaga najiuliza sana bila kupata jibu. Kwanini mademu wa kibongo na ------- wanapenda sana sinema za kibongo ambazo fake? Hivi kuna msanii gani wa bongo movie ambaye ni role model....Uwoya ama Wema?
 
Pinno, but hilo tatizo wanalo wanaume wengi wa Africa. Kuwa romantic ni kupunguza ugumu, kuwa na maneno matamu matamu, kumsifia sifia mkeo, kumshika shika kumfanya ajisikie kupendwa na kujaliwa. Ni kitu unajifunza polepole. Mwambie, nakupenda, macho yako mazuri, ngozi yako inateleza, umbo loooooooooote, tabia yake.

Kumbuka
si kitu cha siku moja, fanya consistently, na usisahau.

nikioa ntakua nayafanza haya
 
Ha ha ha umenikumbusha mtu flani ilikuwa hata nikimkumbatia kama nimekumbatia mlingoti,mpaka nikamtolea nishai nikwambia When i hold you you have to hold me back and dont let go ....na jinsi nilivyokuwa nae nikagundua kwamba si mtu wa kuonesha hisia za mapenzi!!
Ok mi nitakwambia ukweli since nishakutana na mtu dizain yako wewe.Kuwa romantic kunahusiana na HISIA,Kuonesha hisia zako za kimapenzi juu ya yule umpendae.Hii inaweza kuonekana kwa jinsi unavyomtazama,unavyomjali na kumwambia jinsi gani unampenda n.k
Watu wanaweza wadefine romantic kwa namna tofauti,holding hands while walking at the beach might be romantic to some people,While others might prefer cuddling(kubambiana),or some other might prefer romantic dinner or locations...Or a bunch of red roses with romantic poem on a card expressing your love for the person....

even kumwandikia maneno ya mahaba kwa mwandiko wako?????
 
Unamaanisha nini sijakuelewa?

kuna watu huwatumia wapenz wao kadi,,,,zenye ujumbe wa mapenz,ila nahis muhusika ukiandika maneno yale kwa mwandiko wako,it sound more,
mfano hata kumwambia 'I MIsS U',
haya unaweza kuyaandika kwenye kipande cha karatas tu
 
Back
Top Bottom