Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,167
- 10,226
hahaa yaani kama na wewe sio mtaalam basi tena..........
hahahaha, najua romantic lazma...... aaagh, kuna conflict of interest ngoja ninyamaze shosti. lol
hahaa yaani kama na wewe sio mtaalam basi tena..........
hahahaha, najua romantic lazma...... aaagh, kuna conflict of interest ngoja ninyamaze shosti. lol
Jinyamazie shosti,,,,,,ngoja tuende kuleee kwenye kumdhibiti mume lol!!!!!
Tangu Zamani nimekuwa nikipata vijembe toka kwa mpenzi wangu wa long time kuwa , am not romantic, at the same time anasema am good in bed na ninamfikisha kweli, Sasa hivi juzi nimekutana na just a friend ( a girl) ambaye kwa kuangalia it was realy kuwa alikuwa anafall inlove kwangu,ukizingatia kuwa sikuwa nimedisclose hizo info za kuwa nipo in a very strong relationship. Picha texting za kimahaba, kuongea hadi usiku wa manane kumetawala sana na vitimbwi vyote vya kimahaba. then jana akaniuliza " hivi umeshawahi kuwa romantic???" akili ikaruka hadi ikakumbuka vijembe vya my lovee vya kila siku tukiwa na ugomvi. nimejaribu kumdadis nimeambulia patupu.
sasa najiuliza uwenda ni kweli, am not romantic, but hivi mtu kuwa romantic ndo ipoje hyoooo???? ..
MSAADA TAFADHALI!!!!
Nadhani u mzima: kuwa romantiki ni:-
kuwa na mapenzi ya dhati kwa maneno na vitendo pia,
kujali kwa vitendo na matendo
kuwa karibu na mpenzi wako kila unapokuwa na muda au kupata nafasi mfano (unaweza kukaa naye jikoni wakati anapika na kunsika kiuno, kum kiss au kupga stor yoyote ya mahaba au kumchekesha kimaha)
kumkumbatia unapokutana nae na ku mkiss hata kama mliachana masaa 2 yaliyopita,
kumtengenezea mazingira mazuri ya kwenda 6*6 hata masaa 5 kabla mfano (unaweza kumtumia sms ukiwa kazini au sehemu yoyote mbali na yeye majira ya mchana kumweleza kuwa unemiss sana kiuno au chuchu zake, ama kuzungumzia moja ya staili mnayotumiaga N.K)
kumtoa outing sehemu ambayo hajawahi kwenda au anayoipendelea saana
kumpatia / nunulia zawadi hata kama ndogo saana
kuwasiliana naye mara kwa mara (mfano unaweza kuwa umesingikiza wageni ukiwa unarudi ukampigia simu aje kukupokea au akufungulie mlango)
na mengineyo meeeeeeeeeeenge sanaaaaaaaaaaa
naipenda jf
Wewe siyo mtalaamu Husninyo??? Nahis hapa kila mwanamke ana cha kusema.
Tangu Zamani nimekuwa nikipata vijembe toka kwa mpenzi wangu wa long time kuwa , am not romantic, at the same time anasema am good in bed na ninamfikisha kweli, Sasa hivi juzi nimekutana na just a friend ( a girl) ambaye kwa kuangalia it was realy kuwa alikuwa anafall inlove kwangu,ukizingatia kuwa sikuwa nimedisclose hizo info za kuwa nipo in a very strong relationship. Picha texting za kimahaba, kuongea hadi usiku wa manane kumetawala sana na vitimbwi vyote vya kimahaba. then jana akaniuliza " hivi umeshawahi kuwa romantic???" akili ikaruka hadi ikakumbuka vijembe vya my lovee vya kila siku tukiwa na ugomvi. nimejaribu kumdadis nimeambulia patupu.
sasa najiuliza uwenda ni kweli, am not romantic, but hivi mtu kuwa romantic ndo ipoje hyoooo???? ..
MSAADA TAFADHALI!!!!
Ukiwa na hela ww ndiyo romantic!Tafuta hela ndugu yangu utafananishwa na kila mwanamme handsome hapa duniani!
Kuna jamaa yangu ni Mhutu mfupii sana na ana pua kuubwa pana tena ana kitambi lkn ana hela ndefu;demu wake mpya alimuambia kafanana sana kwa kila kitu na Christian Ronaldo wa Real Madrid!Akaambiwa eti yupo very sexy!
Mimi nikawa nacheka tu pembeni yao!
Hunishindi mimi