Tangu Zamani nimekuwa nikipata vijembe toka kwa mpenzi wangu wa long time kuwa , am not romantic, at the same time anasema am good in bed na ninamfikisha kweli, Sasa hivi juzi nimekutana na just a friend ( a girl) ambaye kwa kuangalia it was realy kuwa alikuwa anafall inlove kwangu,ukizingatia kuwa sikuwa nimedisclose hizo info za kuwa nipo in a very strong relationship. Picha texting za kimahaba, kuongea hadi usiku wa manane kumetawala sana na vitimbwi vyote vya kimahaba. then jana akaniuliza " hivi umeshawahi kuwa romantic???" akili ikaruka hadi ikakumbuka vijembe vya my lovee vya kila siku tukiwa na ugomvi. nimejaribu kumdadis nimeambulia patupu.
sasa najiuliza uwenda ni kweli, am not romantic, but hivi mtu kuwa romantic ndo ipoje hyoooo???? ..
MSAADA TAFADHALI!!!!
Uko sahihi kabisa. U can perfotm well in bed but kuwa romantic ni ki2 tofauti kabisa. its more of tabia ya m2. Its the way u treat mwanamke mkiwa nje na ndani ya nyimba. Unavyozungumza nae, unavyomjali, unavyomtreat mbele za wa2, ukiwa nae unataka kila m2 ajue ni wako, unavyshika, kumsaidia kazi like kumpikia cku mojamoja si mbaya..etc. Kwa mfano i can say Obama is romantic coz of the way anavyomtreat mkewe mbele za watu.. THOUGH hatujui what he does in bed! I hope nimeeleweka kiasi