Sidhani kama mnajua hali ilipofikia sasa ...... tumesema sana hapa lakini imekuwa mazoea sasa ....... Polisi wameshindwa .....mifumo ya usalama imeparanganyika ..... Ifike sehemu tuache kulalamika tuchukue hatua ngumu .....
Huko Ulanga Magharibhi, eneo moja kuna msitu mkubwa panaitwa BUNDUKI magari mengi HAsa maroli ya yaliyokuwa ya yanaenda kununua mpunga Yakiwa na wafanya BIASHARA yalitekwa na majambazi saa nne ZA usiku wakanyanganywa hela zao magari yalibomolewa vioo ilikuwa saa 4 usiku! TTAREHE 21 MWEZI WA NANE.
pia usiku wa kuamukia Jana majambazi ninasikia yalitumia gari Carina yakaziba Barabara itokayo uwanja wa ndege hapa DAR waliteka na kuwanyanganya mabegi na vitu vingine wengi wa watu waliokuja na ndege za usiku!!!!?
LAKINI SIJASIKIA POPOTE PALE KATIKA TAARIFA YA HABARI JANA, HAWA ASKARI WETU!!!!!!!!!HUUU UONGOZI WETU!!!!