Mtu kapigwa risasi Mlimani City Dar es salaam

Mtu kapigwa risasi Mlimani City Dar es salaam

Hivi polisiCCM wameshatoa kauli yoyote kuhusu kuuawa kwa huyu jamaa na mauaji mengine kule Arusha!?
 
Nilikuwa kwenye daladala
natokea maeneo ya chuo ile nafika karibu na kituo cha apo mlimani city
kwa upande wa ushoto (opposite na mlimani city) kuna iyo restaurant cjui
baa iyo, ndo nikaskia PAA!! ile kutazama dirishani nikamuona mtu KALALA
CHINI damu zinatiririka ndo anahangaika yaani ROHO INAMALIZIA
KUTOKA...ndo nkaskia watu wanasema ni MAJAMBAZI WAMEFANYA YAO.

bomu la ajira linalipuka kwa namna nyingi!
 
Mi nashangaa inakuaje polisi hawalindi maeneo kama haya yenye misongamano ya watu??
 
Wangempiga hata mtama tu wachukue hiyo hela wamwache atafute nyingine.

Kumbe hilo eneo siyo salama kabisa.
 
Hii ni hatari mi naona boda boda zifungiwe kabisa leo asubuh saa kumi nambili wamechomwa boda boda wawili moto njee ya geti yangu baada ya kumkwapua dada kIPOCHI na kukamatwa hapa tabata Liwiti sasa wamezidi mwanangu



Safi sana, wacha wachomwe tu, maana siku hizi boda boda zinatumika vibaya.
 
Duh so sad rest in eternal peace brother,mbele wewe sisi nyuma yako
 
Nyerere alisema watu wajenge taifa kwa madhumuni madhubuti ya nchi kwa vigezo maanani vya utaifa ukabaila, ubepari, ukupe na ukoloni mamboleo ni maadui wa nchi. Ardhi, uongozi bora, nidhamu kazini na malighafi za nchi ndiyo zitaweza kutupeleka mbele kimaendeleo. Nidhamu kazini na malezi mema na msingi bora wa uchumi na maendeleo katika jamii. That, my good fellas, is my two cents as far as this very tragic predicament is concerned.
 
dah so sad MR HANDSOME nimeumia sana umetutoka gafla mno,poleni sana wafiwa,sote ni wa MWENYEZ MUNGU na kwake tutarejea.
 
Sidhani kama mnajua hali ilipofikia sasa ...... tumesema sana hapa lakini imekuwa mazoea sasa ....... Polisi wameshindwa .....mifumo ya usalama imeparanganyika ..... Ifike sehemu tuache kulalamika tuchukue hatua ngumu .....
 
uombe escot ya police kwenda bank wkt kuna police wanasaliti jeshi?unaweza kuhisi uko salama kwa ulinzi kumbe wenzio wanakulia ramani.wanakuwa washawasiliana na wazee wa boxer kitambo.kifupi kwa ss hakuna police Bali kuna wasaliti

Yaani mtu wangu wa karibu alikua askari ameacha
kuna siku wana escort pesa benki na mwenzie akamwambia hv waliporudi"unaonaje tupange dili tukisindikza pesa we nipige risasi ya mkono au mguu,then tunaua dereva na mhasibu
we kimbia na pesa baadae ntakutafta unipe changu"
toka siku hyo akawa anamuogopa km ukoma
 
Yaani mtu wangu wa karibu alikua askari ameacha
kuna siku wana escort pesa benki na mwenzie akamwambia hv waliporudi"unaonaje tupange dili tukisindikza pesa we nipige risasi ya mkono au mguu,then tunaua dereva na mhasibu
we kimbia na pesa baadae ntakutafta unipe changu"
toka siku hyo akawa anamuogopa km ukoma

Mmmh! Hi ni balaaaa aisee
 
Mkuu ujue mm hua naogopa tu kutoa lawama kwa marehemu wanao uwawa kwa kubeba hela kizembe then wanalaumu polisi eti hawafanyi kazi.
Tuwe watu wa kuelewa jamani ingawa kifo kipo tu but wengine tumezidi uzembe. Acheni unafiki watu wengine wanajitakia kufa. Utabebaje 18m kwenye kibahasha dunia ya leo?
Ni mazoea au kujisahau ila vyovyote vile kama mpaka leo hujui ujambazi na hatari ya kubeba hela nyingi ovyo or routinely basi subiri kifo anytime na u silaumu mtu.

acha kuongea bila utafiti, umeshasikia Kazini kwake na Bank ---- umbali gani, pia kina siku ya balaa, je kama alishuka kwenye gari ulitaka ashuke aziaxhe pesa kwenye gari?
 
Na je hiyo ndo picha yake?

Huyo kwenye hiyo picha hapo juu ndio marehemu mwenyewe Bw. Cheyo...

Alikuwa ni bwana mmoja muungwana sana mwenye kumpenda Mungu na familia yake...
 
Pole sna shemeji kwa kuondokewa na boss mbele ya macho yko...R.I.P swahiba wngu..
 
Back
Top Bottom