Mtu anayeweza kutoa ushauri mzuri kwa Watanzania kuhusu mtindo wa maisha (lifestlye) ni Rais Mstaafu Mzee Ali Mwinyi

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,415
Mungu amemjalia maisha marefu mzee wetu huyu, mpaka sasa anaikaribia miaka 100.

Pamoja na kuwa tunasema ni kwa neema na kudra za mwenyezi Mungu lakini nina uhakika kuna mambo huwa anaepuka kuyafanya ama huyafanya kwa kiasi mpaka kuufikia umri huu.

Basi ni muda umefika mzee wetu aulizwe ili atupe mwangaza wa namna yeye anaishi. Atutajie kinagaubaga vitu anavyopendelea kuvifanya, chakula anachopendelea kula, na atuambie ni mambo gani hapendelei kuyafanya.

Badala ya kutegemea mambo ya vitabuni ambayo wakati mwingi huwa hayaendani na uhalisia ni vema tukachota maarifa kutoka kwenye kisima kinachotembea.

Wafuasi wa Prof. Janabi mpo?
 
Mungu amemjalia maisha marefu mzee wetu huyu, mpk sasa anaikaribia miaka 100.

Pamoja na kuwa tunasema ni kwa neema na kudra za mwenyezi Mungu lkn nina uhakika kuna mambo huwa anaepuka kuyafanya ama huyafanya kwa kiasi mpk kuufikia umri huu.

Basi ni muda umefika mzee wetu aulizwe ili atupe mwangaza wa namna yeye anaishi. Atutajie kinagaubaga vitu anavyopendelea kuvifanya, chakula anachopendelea kula, na atuambie ni mambo gani hapendelei kuyafanya.

Badala ya kutegemea mambo ya vitabuni ambayo wakati mwingi huwa hayaendani na uhalisia ni vema tukachota maarifa kutoka kwenye kisima kinachotembea.

Wafuasi wa prof. Janabi mpo?
Kuna Mzee amefariki mwaka Jana na miaka 115 na alifariki ghafla Wala hakuwa na shida yeyote.

Mtindo wa Maisha
 
Dingi kama janabi hacheliwi kuwalisha wageni tango na glass ya maji ya vugu vugu kama lunch.

Hawa ni zao la madingi wa principle za amri kama za kipindi cha ukomunist.

Ninae babu yangu alikua mlinzi wa nyerere ana tabia type ya janab
 
Mungu amemjalia maisha marefu mzee wetu huyu, mpaka sasa anaikaribia miaka 100.

Pamoja na kuwa tunasema ni kwa neema na kudra za mwenyezi Mungu lakini nina uhakika kuna mambo huwa anaepuka kuyafanya ama huyafanya kwa kiasi mpaka kuufikia umri huu.

Basi ni muda umefika mzee wetu aulizwe ili atupe mwangaza wa namna yeye anaishi. Atutajie kinagaubaga vitu anavyopendelea kuvifanya, chakula anachopendelea kula, na atuambie ni mambo gani hapendelei kuyafanya.

Badala ya kutegemea mambo ya vitabuni ambayo wakati mwingi huwa hayaendani na uhalisia ni vema tukachota maarifa kutoka kwenye kisima kinachotembea.

Wafuasi wa Prof. Janabi mpo?
tupooo
 
Pombe na sigara ambavyo udaiwa kuchakaza mapema afya za watu anaweza kuwa alikuwa hatumii tangu ujana wake. Lakini kuhusu totoz.....
 
Nenda Kilimanjaro , Mtwara kuna wazee wapo miaka 120 acha utani ..Huko utajifunza kuishi miaka mingi.
 
Mungu amemjalia maisha marefu mzee wetu huyu, mpaka sasa anaikaribia miaka 100.

Pamoja na kuwa tunasema ni kwa neema na kudra za mwenyezi Mungu lakini nina uhakika kuna mambo huwa anaepuka kuyafanya ama huyafanya kwa kiasi mpaka kuufikia umri huu.

Basi ni muda umefika mzee wetu aulizwe ili atupe mwangaza wa namna yeye anaishi. Atutajie kinagaubaga vitu anavyopendelea kuvifanya, chakula anachopendelea kula, na atuambie ni mambo gani hapendelei kuyafanya.

Badala ya kutegemea mambo ya vitabuni ambayo wakati mwingi huwa hayaendani na uhalisia ni vema tukachota maarifa kutoka kwenye kisima kinachotembea.

Wafuasi wa Prof. Janabi mpo?
Hivi nyinyi mnafikiri kuishi miaka 100 ndio kufanikiwa? yaani binadamu tuna upeo Mdogo sana wa kujidanganya..
hivi mtu Kama Ali Hassan Mwinyi kwa umri huo alionao ana raha gani? chooni hawezi kwenda mwenyewe,nguo anavishwa,Ni maisha ya tabu tu ya kusumbua watu kukulea
mtu timamu na mwenye kujitambua angependa kufa akiwa bado na nguvu kuliko kuishi maisha ya fedheha na udhalili kisa tu umri mrefu!
Tabu gani hii kutawazwa na uliowazaa na matusi juu,huna nguvu ya kufanya mambo yako Ni kuamliwa tu na kufokewa
 
Mungu amemjalia maisha marefu mzee wetu huyu, mpaka sasa anaikaribia miaka 100.

Pamoja na kuwa tunasema ni kwa neema na kudra za mwenyezi Mungu lakini nina uhakika kuna mambo huwa anaepuka kuyafanya ama huyafanya kwa kiasi mpaka kuufikia umri huu.

Basi ni muda umefika mzee wetu aulizwe ili atupe mwangaza wa namna yeye anaishi. Atutajie kinagaubaga vitu anavyopendelea kuvifanya, chakula anachopendelea kula, na atuambie ni mambo gani hapendelei kuyafanya.

Badala ya kutegemea mambo ya vitabuni ambayo wakati mwingi huwa hayaendani na uhalisia ni vema tukachota maarifa kutoka kwenye kisima kinachotembea.

Wafuasi wa Prof. Janabi mpo?
Sio kwamba tumechelewa kuuliza, kwani ana uwezo wa kuyaeleza hayo, ikiwemo kumbukumbu?
 
Mungu amemjalia maisha marefu mzee wetu huyu, mpaka sasa anaikaribia miaka 100.

Pamoja na kuwa tunasema ni kwa neema na kudra za mwenyezi Mungu lakini nina uhakika kuna mambo huwa anaepuka kuyafanya ama huyafanya kwa kiasi mpaka kuufikia umri huu.

Basi ni muda umefika mzee wetu aulizwe ili atupe mwangaza wa namna yeye anaishi. Atutajie kinagaubaga vitu anavyopendelea kuvifanya, chakula anachopendelea kula, na atuambie ni mambo gani hapendelei kuyafanya.

Badala ya kutegemea mambo ya vitabuni ambayo wakati mwingi huwa hayaendani na uhalisia ni vema tukachota maarifa kutoka kwenye kisima kinachotembea.

Wafuasi wa Prof. Janabi mpo?
Hili swali alishajibu zamani sana, alisema siri ni kuoa wanawake wawili. Sasa wewe kama unataka mumeo aishi muda mrefu mtafutie mke mwenzio.
 
Mungu amemjalia maisha marefu mzee wetu huyu, mpaka sasa anaikaribia miaka 100.

Pamoja na kuwa tunasema ni kwa neema na kudra za mwenyezi Mungu lakini nina uhakika kuna mambo huwa anaepuka kuyafanya ama huyafanya kwa kiasi mpaka kuufikia umri huu.

Basi ni muda umefika mzee wetu aulizwe ili atupe mwangaza wa namna yeye anaishi. Atutajie kinagaubaga vitu anavyopendelea kuvifanya, chakula anachopendelea kula, na atuambie ni mambo gani hapendelei kuyafanya.

Badala ya kutegemea mambo ya vitabuni ambayo wakati mwingi huwa hayaendani na uhalisia ni vema tukachota maarifa kutoka kwenye kisima kinachotembea.

Wafuasi wa Prof. Janabi mpo?
Hivi kupi kuna faida? Kati ya kujifunza kwa walioshindwa au waliweza?
 
Hivi nyinyi mnafikiri kuishi miaka 100 ndio kufanikiwa? yaani binadamu tuna upeo Mdogo sana wa kujidanganya..
hivi mtu Kama Ali Hassan Mwinyi kwa umri huo alionao ana raha gani? chooni hawezi kwenda mwenyewe,nguo anavishwa,Ni maisha ya tabu tu ya kusumbua watu kukulea
mtu timamu na mwenye kujitambua angependa kufa akiwa bado na nguvu kuliko kuishi maisha ya fedheha na udhalili kisa tu umri mrefu!
Tabu gani hii kutawazwa na uliowazaa na matusi juu,huna nguvu ya kufanya mambo yako Ni kuamliwa tu na kufokewa
Pamoja na kwamba umeandika kwa kufokafoka, ila umesema sahihi sana. Bora nife wakati nina uwezo wa kwenda chooni mwenyewe kuliko uzee wa utoto. Ni fedheha kama unaona kinachoendelea halafu huwezi kujisaidia mwenyewe.
 
Back
Top Bottom