Mtu anaefaa kua mke vs mtu unaempenda.

Mtu anaefaa kua mke vs mtu unaempenda.

Tasia I

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2010
Posts
1,223
Reaction score
193
Wakuu wa janv,
Mimi nina kaswali ambako kwakweli hunitatiza.
Kabla sijauliza naomba niweke marital status yangu kua ni single, na
niongeze kua sina mtu yeyoye in target kwa sasa. Lakini niseme pia kua,
hua natamani siku moja niwe na mke na watoto na nilee familia yangu.
Swali lenyewe: Hivi tunatakiwa kuowa mtu unaempenda au mtu unaeona anafaa kua mke?
naamini sio kila unaempenda anaweza akawa mke, lakini pia sio kila anefaa kua mke utampenda.
Naombeni jibu.
 
kwanini umpende mtu asiyefaa kuwa mke?
Mimi49, kupenda ni hisia, huja popote na wakati wowote na ziko huru, tunatakiwa
kuzi kontrol kwa kutumia utashi pale tunapoona hazipo sahihi.
inawezekana ukavutiwa na mtu lakii ukagundua hana sifa unazotaka.
 
Mimi49, kupenda ni hisia, huja popote na wakati wowote na ziko huru, tunatakiwa
kuzi kontrol kwa kutumia utashi pale tunapoona hazipo sahihi.
inawezekana ukavutiwa na mtu lakii ukagundua hana sifa unazotaka.

...na kwanini umpende mtu ambaye hana sifa unazotaka?? hujui kuwa kuna urafiki (nafasi ya kufahamiana)...uchumba(booking process kama mnafaana) then ndoa??
 
Mimi 49 hii ipo sana hasa kwa sisi wanaume na wakati fulani ndio chanzo cha kukosa uaminifu. Ila cha msingi ni kuoa mtu unayempenda na anayefaa kuwa mke ingawa ni kitendawili kumpata wa sifa zote mbili.
kwanini umpende mtu asiyefaa kuwa mke?
 
Aaaaaaaaaah wapi! USIOGOPE MAISHA NA KUJIHAMI! We dume la mbegu OA UNAEMPENDA!!!!!!!!!! Hawa wanaofaa kuwa mke ni coz ya inecurity na kujihami ndo unachukua lower standard!

Come to think of it, if the gods smile upon you ukapata MFORTUNE unazani huyo anaefaa kuwa mke, maybe and i mean MAYBE ana sura ya mbuzi will you be comfortable kuendelea nae? I WOLDN'T FOR 1000000 YEARS!!!!!!!!!!!!

But dont forget the CRUEL reality, you may not be so lucky after all! Ukaishia kutoswa na hao baby face ukabakia mseja hadi uzeeni!

A MAN ONLY GETS WHAT GOD HAS ENTITLED HIM!!!!!!!! So dont worry kama umeandikiwa MKE DAWA YAO ujiandae tu kurizika! and vice versa may be true!!!!!!!

Either way life fu.cks us!
 
Mimi49, kupenda ni hisia, huja popote na wakati wowote na ziko huru, tunatakiwa
kuzi kontrol kwa kutumia utashi pale tunapoona hazipo sahihi.
inawezekana ukavutiwa na mtu lakii ukagundua hana sifa unazotaka.
Kumbe majibu yote unayo!
 
Nimeona kwann ndoa nying huvunjika siku hizi!
Kigezo cha kuoa/kuolewa kiwe anaefaa suala la kumpenda litakuja automatic coz atakufaa ktk hal yoyote ile kama mke/mme.

Nimependa mwazo ya DA SMILE na ukwel ndo huo.
 
Wakuu wa janv,
Mimi nina kaswali ambako kwakweli hunitatiza.
Kabla sijauliza naomba niweke marital status yangu kua ni single, na
niongeze kua sina mtu yeyoye in target kwa sasa. Lakini niseme pia kua,
hua natamani siku moja niwe na mke na watoto na nilee familia yangu.
Swali lenyewe: Hivi tunatakiwa kuowa mtu unaempenda au mtu unaeona anafaa kua mke?
naamini sio kila unaempenda anaweza akawa mke, lakini pia sio kila anefaa kua mke utampenda.
Naombeni jibu.
unaweza ukampata mtu unayempenda kwa dhat lakini akakuumiza kichwa na ukakosa amani ya maisha na vilevile ukajutia kuwa naye lakini ukimpata mwanamke anayefaa kuwa mke basi naamini vikwazo havitakuwa vingi katika maisha yako na utaenjoy maisha ya ndoa.....so unaweza kuwa na mwanamke usiyempenda lakini unaona kabisa anafaa kuwa mke na ukajifunza kumpenda.
 
Wakuu wa janv,
Mimi nina kaswali ambako kwakweli hunitatiza.
Kabla sijauliza naomba niweke marital status yangu kua ni single, na
niongeze kua sina mtu yeyoye in target kwa sasa. Lakini niseme pia kua,
hua natamani siku moja niwe na mke na watoto na nilee familia yangu.
Swali lenyewe: Hivi tunatakiwa kuowa mtu unaempenda au mtu unaeona anafaa kua mke?
naamini sio kila unaempenda anaweza akawa mke, lakini pia sio kila anefaa kua mke utampenda.
Naombeni jibu.

naamin kama ukimpata unaempenda kweli amini huyo ndio m2 kuoa kaka..
 
Better unaempenda for some extent ni rahisi kuvumilia mapungufu yake

Kuoa anaefaa ukaja gundua hafai kwa kiasi ulichoxpect lazima ujute na hili ndilo linalokumba waoaji wengi wa zama hizi.

Jifunze kwa wale waachaga warembo wao na kuoa sura ngumu(kwa kujidanganya ndio wife material) cha ajabu hata mwaka haukatiki utakuta wanaangaika na small house
 
Better unaempenda for some extent ni rahisi kuvumilia mapungufu yake

Kuoa anaefaa ukaja gundua hafai kwa kiasi ulichoxpect lazima ujute na hili ndilo linalokumba waoaji wengi wa zama hizi.

Jifunze kwa wale waachaga warembo wao na kuoa sura ngumu(kwa kujidanganya ndio wife material) cha ajabu hata mwaka haukatiki utakuta wanaangaika na small house


small house haikwepeki hata mtu akioa mrembo wa dunia

small house haihusiani hapa

mbona watu wana very beautifull wives then wanachukua small house wenye sura ngumu?

ah haya mambo ni magumu sana
 
Unaweza ukampenda mtu halafu asiwe na qualifications za wife material, halafu ikatokea ukameet na ambae hujampenda sana ila akaposses sifa za mke bora.
 
siku zote moyo una matamanio cha msingi angalia mtu unayempenda na anakupenda na pia ambaye utaweza mbadilisha baadhi ya tabia utakazo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom