Mimi ni graduate niliyeajiriwa ila sioni future kwenye ajira kila nikiangalia mbele naona giza tu. Nilijaribu vibiashara lakini sioni mafanikio yeyote mpaka sasa nimeona labda nyota yangu haipo kwenye biashara. Nimejichanga kwa sasa Nina milioni 7.5
Katika kutafakari nitachomokaje kwenye maisha nimepata mawazo matatu:
1. Nitumie milioni 6 kusoma masters kisha nitafute kadi ya chama CCM ili nibahatishe uteuzi.
2. Niende Veta nikasome ufundi wa magari niingie mtaani kutafuta shilingi
3. Nizamie Ulaya nikabebe box.
Mtu matured na mwenye uzoefu wa maisha karibu kwa mchango wako.
Ahsante.
Katika kutafakari nitachomokaje kwenye maisha nimepata mawazo matatu:
1. Nitumie milioni 6 kusoma masters kisha nitafute kadi ya chama CCM ili nibahatishe uteuzi.
2. Niende Veta nikasome ufundi wa magari niingie mtaani kutafuta shilingi
3. Nizamie Ulaya nikabebe box.
Mtu matured na mwenye uzoefu wa maisha karibu kwa mchango wako.
Ahsante.