Mtu akifa anaenda wapi?

Mtu akifa anaenda wapi?

Umetisha sanašŸ˜€šŸ˜€
Muhubiri 3:
1. Kila kitu kina wakati wake (Mstari 1–8)

Kuna majira ya kila jambo chini ya jua: kuzaliwa na kufa, kupanda na kung’oa, kulia na kucheka, vita na amani.

Hii inaonyesha kwamba maisha ya mwanadamu yapo chini ya ratiba na utawala wa Mungu.

2. Kazi na mpango wa Mungu (Mstari 9–15)

Mwandishi anasema Mungu ameweka ā€œuzima wa milele ndani ya mioyo ya wanadamuā€ (aya 11).

Hii ni kusema, mwanadamu ana kiu ya kuelewa mambo ya milele, lakini hawezi kuyavumbua yote kikamilifu.

Tunafundishwa kufurahia kazi zetu na kuona ni kipawa cha Mungu.

3. Hukumu na haki ya Mungu (Mstari 16–17)

Ingawa mara nyingi chini ya jua tunaona uovu na udhalimu hata mahali pa hukumu, bado Mungu ataamua haki.

Kuna majira na wakati wa kila kusudi, ikiwa ni pamoja na hukumu ya mwisho.

4. Hatima ya mwanadamu na wanyama (Mstari 18–21)

Kifo huwapata wanadamu na wanyama vile vile. Wote hufa, wote hurudi mavumbini.

Lakini kuna tofauti ya roho: roho ya mwanadamu huinuka juu kwa Mungu, ilhali ya mnyama hubaki chini (aya 21).

5. Mstari 22

Muhubiri anasema: ni bora mwanadamu afurahie kazi ya mikono yake, kwa kuwa hiyo ndiyo fungu lake alilopewa na Mungu.

Maisha ni mafupi na hayana uhakika, hivyo tumtumikie Mungu kwa furaha na hekima.

Hili andiko maana yake kwasasa:
Kila jambo lina wakati wake, lakini Mungu ndiye anayeweka maana kwenye majira ya maisha yetu.

Tufanye mema, tufurahie kazi za mikono yetu, na tumche Mungu, maana mwisho wa yote atatuhukumu kwa haki.
 
Sisomi utumbo
Ngoja nikufanulie:

3. Hukumu na haki ya Mungu (Mstari 16–17)

Ingawa mara nyingi chini ya jua tunaona uovu na udhalimu hata mahali pa hukumu, bado Mungu ataamua haki.

Kuna majira na wakati wa kila kusudi, ikiwa ni pamoja na hukumu ya mwisho.

4. Hatima ya mwanadamu na wanyama (Mstari 18–21)

Kifo huwapata wanadamu na wanyama vile vile. Wote hufa, wote hurudi mavumbini.

Lakini kuna tofauti ya roho: roho ya mwanadamu huinuka juu kwa Mungu, ilhali ya mnyama hubaki chini (aya 21).

5. Mstari 22

Muhubiri anasema: ni bora mwanadamu afurahie kazi ya mikono yake, kwa kuwa hiyo ndiyo fungu lake alilopewa na Mungu.

Maisha ni mafupi na hayana uhakika, hivyo tumtumikie Mungu kwa furaha na hekima.

Hili andiko maana yake kwasasa:
Kila jambo lina wakati wake, lakini Mungu ndiye anayeweka maana kwenye majira ya maisha yetu.

Tufanye mema, tufurahie kazi za mikono yetu, na tumche Mungu, maana mwisho wa yote atatuhukumu kwa haki.
 
Ngoja nikufanulie:

3. Hukumu na haki ya Mungu (Mstari 16–17)

Ingawa mara nyingi chini ya jua tunaona uovu na udhalimu hata mahali pa hukumu, bado Mungu ataamua haki.

Kuna majira na wakati wa kila kusudi, ikiwa ni pamoja na hukumu ya mwisho.

4. Hatima ya mwanadamu na wanyama (Mstari 18–21)

Kifo huwapata wanadamu na wanyama vile vile. Wote hufa, wote hurudi mavumbini.

Lakini kuna tofauti ya roho: roho ya mwanadamu huinuka juu kwa Mungu, ilhali ya mnyama hubaki chini (aya 21).

5. Mstari 22

Muhubiri anasema: ni bora mwanadamu afurahie kazi ya mikono yake, kwa kuwa hiyo ndiyo fungu lake alilopewa na Mungu.

Maisha ni mafupi na hayana uhakika, hivyo tumtumikie Mungu kwa furaha na hekima.

Hili andiko maana yake kwasasa:
Kila jambo lina wakati wake, lakini Mungu ndiye anayeweka maana kwenye majira ya maisha yetu.

Tufanye mema, tufurahie kazi za mikono yetu, na tumche Mungu, maana mwisho wa yote atatuhukumu kwa haki.
Ukiwa mlokole tu sijadili chochote na wewe , hivyo pia sitasoma.
 
Na kabla ya kuzaliwa ulikuwepo wapi?

Na kwanini sisi na wanyama tonatofautiana ufahamu?

Na kwanini ufe kama vile ulivyozaliwa bila ya utashi wako? Unajikuta tu umezaliwa.

Na kwanini wengine wapitie mateso hapa duniani na angalia wengine wanaishi vizuri?

Kama vile ilivyokuwa huwezi kujibu maswali hayo basi aliyekuumba alishakwambia kuwa ukifa unakwenda wapi na utalipwa kwa Yale uliyotatenda.

Kila hatua utakayo idiriki katika maisha yako iwe njema au iwe mbaya wewe ndio utakaye i experience.

Jiandae usiishi kwa mazoea hukuumbwa Bure Bure ufanye yako vyovyote ujiskiavyo alafu useme hakuna malipo.
Maswali yako ni ya kawaida sana, kama ilivyo kwa binadam hao viumbe vingine nao wana yao.

Wanyama huzaliwa pia na hufa.
Wanyama upitia mateso pia usidhani hili ni kwa binadamu tu, ni nature ya maisha ya kiumbe hai.

Kama ilivyo kwa wanadam kutofautiana uwezo nao ni hivyo hivyo, mfano mdogo kabisa unapoenda kumuwinda mnyama ukamkosa na silaha kwa mara ya kwanza ni kwanini huwa anakimbia kama hana uwezo wa kufikiri? Si angebaki afe

Wanyama wanaowinda huwa wananyata kwa sababu gani kama hawana uwezo wa kufikiri?

Kisayansi nayoyasema yanathibitishika ila hayo unayoyasema unaweza kuyathibitisha kiuhalisia ukiachana na theory?
 
Sio story ni kweli mkuu. Jaribuni kujifunza vitu msiishie kusoma elimu za Biology, Physics na Chemistry pekee. Hiyo elimu haitoshi kwa mwadamu kuwa na maarifa.
Ukiachana na maandiko we unadhani mtu akifa anaenda wapi?

Ukifa unazikwa na kuoza na ndio mwisho hakuna la ziada zaidi ya hilo.
 
Mtu akifa unaenda wapi ? Hili swali lenyewe limekaa kiwehuwehu tu bwashee.
Tuache porojo kidogo

Hii hofu ambayo binadamu kaikuza kupitia uzoefu wake kwa mda nadhani ni njema

Kwanini, hatuna sababu ya kujua wapi tunaenda lakini kwa kuchagu hofu hii kuliko hayawani wa mwituni kumetufanya binadamu kuwa jinsi tulivyo.!

Hebu fikiria kidogo, ikiwa binadamu kazaliwa asipopachagua na akakutana na Elimu ya kisekula bila hofu yeyote ile na akaamua kujitosheleza kwa tamaa yake unadhani nini kingetokea.!

Mfano, mtu kazaliwa marekani kahitimu harvard hana hofu ya lolote Wenzake wakamshauri ongezeko letu la watu hapa marekani linaathiri maeneo tunayoishi Baada ya muda tutakuwa hatuna eneo la kutosha la watu wote.! Na Afrika ikawa pendekezo lao unadhani nini kingetokea.!?
 
Tuache porojo kidogo

Hii hofu ambayo binadamu kaikuza kupitia uzoefu wake kwa mda nadhani ni njema

Kwanini, hatuna sababu ya kujua wapi tunaenda lakini kwa kuchagu hofu hii kuliko hayawani wa mwituni kumetufanya binadamu kuwa jinsi tulivyo.!

Hebu fikiria kidogo, ikiwa binadamu kazaliwa asipopachagua na akakutana na Elimu ya kisekula bila hofu yeyote ile na akaamua kujitosheleza kwa tamaa yake unadhani nini kingetokea.!

Mfano, mtu kazaliwa marekani kahitimu harvard hana hofu ya lolote Wenzake wakamshauri ongezeko letu la watu hapa marekani linaathiri maeneo tunayoishi Baada ya muda tutakuwa hatuna eneo la kutosha la watu wote.! Na Afrika ikawa pendekezo lao unadhani nini kingetokea.!?
Sijakuelewa una maanisha nini
 
Najiuliza kwani mtu akiwa amekufa ndio ikawa nitolee bila hiyo mbinguni na jehanam kuna hasara gani, kwanini watu wanatamini zaidi kuendelea kuishi baada ya kufa ? Kwani ukifa ukawa tu kama hukuzaliwa kuna tatizo gani?
Hakuna hasara bali kuna faida kubwa sana.
Siku binadamu wote tutakapojua kuwa hakuna cha Firdaus wala kuzunguka kiti cha enzi ndo siku chuki ya binadamu dhidi ya binadamu mwenzake itapungua.

Ndo siku binadam wengi watafurahia haya maisha to the fullest wakijua ni mafupi na ukifa hakuna mengine.
Maujinga mengi yataisha.
 
Hakuna hasara bali kuna faida kubwa sana.
Siku binadamu wote tutakapojua kuwa hakuna cha Firdaus wala kuzunguka kiti cha enzi ndo siku chuki ya binadamu dhidi ya binadamu mwenzake itapungua.

Ndo siku binadam wengi watafurahia haya maisha to the fullest wakijua ni mafupi na ukifa hakuna mengine.
Maujinga mengi yataisha.
Jamii nyingi za mataifa wasio endekeza hizi imani wana ishi kwa amani na upendo sana , hasa nchi za Scandinavian
 
Namaanisha hii si hofu tu kama ilivyozoeleka kikawaida

Ikiwa hofu inakufanya kuwa kiumbe bora basi ina ukweli ndani yake, au unaonaje.?
Haya hiyo hofu imesaidia kitu gani hapo mashariki ya kati?
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Kabisa na hakuna haja ya kujiuliza ukifa unaenda wapi na wakati ulipotoka yenyewe haupajui .

Yani mimi niweje roho inayodaiwa haifi halafu yote haya nisiyajue ?

Na kama ukifa unakua roho na sio mwili iweje yesu baada ya kufufuka alichomoka na mwili wake kaburini , au ule mwili uliliwa na fisi akachomoka kama roho?
Hamna mkristo wala muislam atakupa jibu la haya maswali.Watakuchanganya tu kwa quotes za vitabu vyao.

Kuna saa watu wa dini wanaongea vitu unajiuliza hivi huyu mtu yeye mwenyewe anaelewa anachonielewesha!
 
Hamna mkristo wala muislam atakupa jibu la haya maswali.Watakuchanganya tu kwa quotes za vitabu vyao.

Kuna saa watu wa dini wanaongea vitu unajiuliza hivi huyu mtu yeye mwenyewe anaelewa anachonielewesha!
Shangaa wewe🤭
 
Namaanisha hii si hofu tu kama ilivyozoeleka kikawaida

Ikiwa hofu inakufanya kuwa kiumbe bora basi ina ukweli ndani yake, au unaonaje.?
unazungumziaje waumini kuwa waovu na wasio waumini kutokua waovu -- unaonaje mkuu?
 
Wale nahisi kuna kizazi kiliwakinai Baada ya kuonesha kukataa Ufahamu, wana Dogma
Vita vipo ,mauaji kila kona , ukatili bado umejaa mpaka makanisani, ufisadi wa kutisha , na wanaofanya ndio wana hizo hofu za jehanam ,je imesaidia kitu gani ? Nchi ambazo hawaamni hizi mambo kwa kiasi kikubwa kuna utulivu mkubwa, unajua hilo?
 
Back
Top Bottom