Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,024
- 1,960
Habari za siku nyingi wakuu na members wore wa JF.
Ndugu wana JF wezangu tarehe 25 mwezi wa sita mwaka huu, wife alijifungua mtoto wa kilo 6 na mtoto akawa na tatizo la ugonjwa wa mdomo sungura.
Nashukuru Mungu hadi sasa mtoto anaendelea vizuri, nimeazisha thread hii kwa lengo la kuweza moja, kufahamishwa kama kuna tatizo mtoto atakalolipata badaye kutokana na kuzaliwa na kilo nyingi hivyo jambo ambalo siyo yakawida kwa elimu yangu na uzoefu wangu kwa watoto.
Pili niliambiwa zahanati kuwa mtoto akifikisha kilo kumi nimpeleke hospital kubwa ili kufanyiwa operation ya tatizo la mdomo sungura, kwa watu wanaofahamu hosptali nzuri na muda gani sahihi wakupeleka mwanagu wanijuze Tafadhali sana.
Na kama yupo mdau ambaye ashawahi kuwa na tatizo kama hili naomba, naomba sana sana tuwasiliane ili anijuze kuhusu utaratibu mzima na ngarama za zoezi nzima la operation.
Wakuu asanteni sana na poleni kwa mwandiko na kiswahili kibaya. Yote hii inasababiahwa na Mimi kuishia darasa la Saba.
Mwisho nisaidien mawazo yenu ni muhimu sana kwangu
Ndugu wana JF wezangu tarehe 25 mwezi wa sita mwaka huu, wife alijifungua mtoto wa kilo 6 na mtoto akawa na tatizo la ugonjwa wa mdomo sungura.
Nashukuru Mungu hadi sasa mtoto anaendelea vizuri, nimeazisha thread hii kwa lengo la kuweza moja, kufahamishwa kama kuna tatizo mtoto atakalolipata badaye kutokana na kuzaliwa na kilo nyingi hivyo jambo ambalo siyo yakawida kwa elimu yangu na uzoefu wangu kwa watoto.
Pili niliambiwa zahanati kuwa mtoto akifikisha kilo kumi nimpeleke hospital kubwa ili kufanyiwa operation ya tatizo la mdomo sungura, kwa watu wanaofahamu hosptali nzuri na muda gani sahihi wakupeleka mwanagu wanijuze Tafadhali sana.
Na kama yupo mdau ambaye ashawahi kuwa na tatizo kama hili naomba, naomba sana sana tuwasiliane ili anijuze kuhusu utaratibu mzima na ngarama za zoezi nzima la operation.
Wakuu asanteni sana na poleni kwa mwandiko na kiswahili kibaya. Yote hii inasababiahwa na Mimi kuishia darasa la Saba.
Mwisho nisaidien mawazo yenu ni muhimu sana kwangu