Tatizo la uume kusinyaa na kuwa kama wa mtoto mdogo

fazobonas

Member
Dec 28, 2023
46
85
Jamani, nina umri wa miaka 21, nina tatizo la uume kusinyaa na kuwa kama wa mtoto mdogo, na hata wakati wa tendo kabla sijaingiza ukeni huwa unasinyaa na hata ukiingia bado unasinyaa.

Nimezunguka sana kutafuta tiba lakini sijapata. Hivyo naomba msaada kwa mtu yeyote yule ambae amewahi kupona tatizo hili.

Maoni na ushauri unaruhusiwa pia.
 
Jamani, nina umri wa miaka 21, nina tatizo la uume kusinyaa na kuwa kama wa mtoto mdogo, na hata wakati wa tendo kabla sijaingiza ukeni huwa unasinyaa na hata ukiingia bado unasinyaa.

Nimezunguka sana kutafuta tiba lakini sijapata. Hivyo naomba msaada kwa mtu yeyote yule ambae amewahi kupona tatizo hili.

Maoni na ushauri unaruhusiwa pia.
Jitahidi ule matunda na mbegu zinazo boost hamu ya ngono, mboga za majani , wadudu wa baharini/ziwani, maji ya kutosha na ufanye mazoezi ya tumbo kwa wingi. Kutafuta pumzi kimbia .


Sikushauri kabisa ule karanga mbichi maana utakojoa hata kabla haijaingia
 
Jamani, nina umri wa miaka 21, nina tatizo la uume kusinyaa na kuwa kama wa mtoto mdogo, na hata wakati wa tendo kabla sijaingiza ukeni huwa unasinyaa na hata ukiingia bado unasinyaa.

Nimezunguka sana kutafuta tiba lakini sijapata. Hivyo naomba msaada kwa mtu yeyote yule ambae amewahi kupona tatizo hili.

Maoni na ushauri unaruhusiwa pia.
IMG-20221224-WA0004.jpg

Kwa mbaaali naona dalili
 
Back
Top Bottom