Haya tuone Warioba atafanya nini, atamtetea mhalifu au ataacha sheria ifate mkondo.
Waandishi wa habari, hii ndio habari ya kufichuwa ufisadi, kwani huu ni ufisadi wa wanene na vipi hata watoto zao wanavyojiona kuwa wakoo juu ya sheria. Akiachiliwa bila ya sheria kufata mkondo basi itakuwa ni rushwa, ama ya pesa ama ya influence.
Afanye mwanagu hayo, saa hizi manundu mwili mzima na pengine kisha pigwa hata risasi.
It takes two .... maana hapa wote wana makosa, polisi na Binti Warioba. Nadhani binti siyo kwamba alikuwa jeuri, bali aliogopa na ku-panic alipoona polisi amedandia gari sidhani kama alijua cha kufanya maana angetaka angeweza kufunga breki akamwangusha trafiki from boneti ya gari na akaondoka, lakini aliamua kujisalimisha kituo cha polisi. Hata mwanaume asingeshuka hapo kituoni maana angejua ni kuchezea makofi na ngumi, so ndiyo maana aliogopa kushuka hadi alipoona ni shwari.
Polisi pia hawakutakiwa kum-harass na kudandia bonnet kwani kama wanahisi ni mtuhumiwa au chochote wangeweza kumwandalia road block nzuri tu. Mi nadhani hapa kuna mambo mengine hatuyajui yaliyotokea maana si kawaida kwa polisi kudandia bonnet la gari.
Utafikiri Hollywood comedy!
...and a very cheap one, at that!!
Yeah, B-list movie!
- Habari kama hii inatakiwa kwanza kujua ukweli hasa wa kilichotokea, maana so far hakijasemwa kunaweza kuwa na scenario nyingi tu, kama huenda polisi wamekuwa wakimfuatilia toka alikotoka labda alikuwa anakunywa pombe, labda alikuwa anatumia drugs, labda alivunja sheria au Polisi wana yao tu makusudi kwa sababu ni mtoto wa Warioba.
- However, huyu msichana ana tabia mbaya sana ya kuruka ruka na waume wa watu, sasa inawezekana pia kuna mke mmoja huko somewhere ameamua kulipa kisasi kwa kumfanyizia na polisi.
Sasa tusubiri ukweli wote utoke, kama hamkushangaa, mimi hayanishangazi na huyu denish, hafai.
Wazee wa sauti ya umeme FMES!
Unasema tusubiri ukweli halafu wewe mwenyewe unaleta speculations na hadithi za wanaume wa watu wenye tabia mbaya ya kuruka ruka na June Warioba.
Hayo hayahusiki kwenye tukio la traffic kumsimamisha dereva, ni udaku.
- Kwani alipovunjwa mguu na mzee wa magari mpaka kutibiwa India ilikuwa ni traffic au waume wa watu? Unafikiri kama mtoto wa waziri mkuu mstaafu alienda kutibiwa na hela za kutoka wapi?
FMES!
Huyo "mzee wa magari" ni wewe ndio unamjua. Na hayo ya nani alimlipia matibabu India mtoto wa Waziri Mkuu mstaafu hayo wewe ndio unayajua.
Stori ya wanaume wenye tabia mbaya ya kuruka wake zao kwenda kumfuata June Warioba ni speculations zako wewe na udaku usiohusiana na traffic incident.
Usikatae speculations na hadithi za zisizo na uhakika wakati ndio wewe wa kwanza kuzileta hapa.
Dar es Salaam leo umenena mkuu yanayopaswa kusemwa, umepatwa na nini? aah! au kwa vile huyu ni mtoto wa Warioba ambaye yuko kundi la wapinga ufisadi?
Mkuu basi tengeneza tabia hiyohiyo ya kuuona ukweli pande zote
Sasa kama June anajirusha na Waume za watu...du!!
Wanaojirusha na waume za watu Dar wako wengi Tu!
Basi if not related ..may be tuwe na thread tofauti!
- Hivi watoto wote wa wakulima na walalahoi kesi zao zinaletwa hapa JF, kwa nini hii imeletwa? Ni kwa sababu ni mtoto wa waziri mkuu mstaafu sasa kama huyajui mambo yake ya mjini, tulia hapa upewe habari, unajua ni kwa nini alirudishwa kutoka US na serikali ya US bila kumaliza shule?
- Ungewaomba walioileta hii habari waiondoe kama hupendi ijadiliwe, lakini as long as ipo hapa ni fair game kumkoma nyani, tusichotaka ni uongo tu, au udaku, so far so good, haiwezekani akakamtwa bila sababu lazima kuna sababu na ni fair game ku-speculate through her record.
- Marehemu Ditopile kabla hajahukumiwa tulipata nafasi ya kumjua vizuri hapa JF on his record tukaambiwa kwamba amewahi kutishia watu wengi na bunduki in the past, na pia alishwahi kukamatwa na mke wa mtu, akatishia na bunduki his way out, mkuu hapa JF huwa ni kukata ishu tu na kila ishu ni fair game, tusichotaka ni uongo na ili kujua uongo basi unahitaji kuja na ukweli.
Huyu mtoto ni balaa tupu na ninajua kwua wanawake wengi wa mjini Dar leo watakuwa wanagonga gilasi tu!
Respect Bro!
FMES!
Asante Dar es salaam kwa kuona huu ndio ufisadi mkubwa, ila sio kina RA.
Mkuu, yaani katika thread ya Rostam uko mstari wa mbele kumtetea fisadi mkubwa kupita wote Rostamu alafu unathubutu kumwita Mzee Warioba fisadi kutokana na vitendo vya binti yake? HIi haijakaa sawa wewe umekuja na agenda hapa!