Haya tuone Warioba atafanya nini, atamtetea mhalifu au ataacha sheria ifate mkondo.
Waandishi wa habari, hii ndio habari ya kufichuwa ufisadi, kwani huu ni ufisadi wa wanene na vipi hata watoto zao wanavyojiona kuwa wakoo juu ya sheria. Akiachiliwa bila ya sheria kufata mkondo basi itakuwa ni rushwa, ama ya pesa ama ya influence.
Afanye mwanagu hayo, saa hizi manundu mwili mzima na pengine kisha pigwa hata risasi.