...duh, ha ha haa..Bubu nawe hasa mshabiki, loh!
Dont underestimate JF opinions, ...akija sema mumewe kamsamehe kuna wataomhukumu kuwa Mume Bwege, kama sio dada kumlisha mumewe 'kipapai!'!
Dada Maindainda, iwe siri yako hiyo na mumeo, wasikia sana? ...siri sirini mtavyooongea na kukubaliana, wala huyo mzazio usimwambie kilichojiri, labda kama mumeo kakusudia kumtoa roho ili akimbie mji!
Sio ukiuliza wangapi watakuwa tayari kumsamehe mwenzi wao na kuendelea kumlea mtoto kama ilivyokuwa mwanzo basi sidhani kama watafika hata asilimia 5!
Pole dada kwa yote. Kwanza hili sakata si rahisi kama linavyoonekana na wengine. Kama ulibakwa na huyo jamaa na ukamficha mumeo kwa miaka kadhaa kwa vyovyote wewe ni mkosaji. Ningekushauri tu ujukaze kike, na hiyo ibaki kuwa siri yako. Huyo unayedhani kuwa ni baba wa mtoto wewe achana naye. Hakuna mwanamme mwenye akili zake anayeweza kudai mtoto kutoka kwa mke wa mtu. Kisheria mtoto huyo ni wako mama. Ningekuwa mimi ningetangaza kubakwa maapema tangu siku uliyoisaliti ndoa yako. Haya yasingekukuta. Kwa kuwa uliamua kumtunzia siri mhalifu, hizi ni gharama zake. Endelea kula jiwe. Lakini kukupunguzia matatizo mshauri mwenzio mtoto aende boarding school. Angalau utakutana naye hapo kwako wakati wa likizo tu.
Kama unataka ndoa yako iendelee, usithubutu kumtamkia mumeo jambo hili. Si rahisi kusamehe usaliti wa ndoa na hasa kama huyo bwana mumeo anamjua.
Yani kaka hapa umelenga...very good idea. Maana na mimi niko kwenye ndoa sasa kama mwaka na nusu hivi... mwenzangu haonyeshi muelekeo wowote kama anahitaji tupate mtoto (may be bcoz he has already 2 children from the x-wife)! nimejaribu kutunga mimba hola...sijui kala dawa? Ni bora nitumie hii njia ya kubakwa sasa. Lol!
LOL!!!! Mwambie unataka mtoto ili ujue msimamo wake kwenye swala hilo uko wapi, kama yeye hataki tena mtoto mwingine maana tayari anao wawili basi uanze kutafuta wabakaji π wanakubaka mpaka mambo yajipe ndiyo unatangaza umebakwa na aliyekubaka alivaa kitu usoni wakati anakubaka hukuona sura yake π
Bubu eeeh, nilishaongea sana na mifano juu...ila haonyeshi hata dalili yoyote bwana...achanikabakwagee. Nasikia eti kuna sindano pia za kuzuia mayai ya kiume kufanya kazi hivi nikweli! asanteni sana wanajiefu kwa kutupa maarifa na muendelee na mwendo huu huu.
Bubu eeeh, nilishaongea sana na mifano juu...ila haonyeshi hata dalili yoyote bwana...achanikabakwagee. Nasikia eti kuna sindano pia za kuzuia mayai ya kiume kufanya kazi hivi nikweli! asanteni sana wanajiefu kwa kutupa maarifa na muendelee na mwendo huu huu.
Nilikuwa namtafuta Mchongoma maana sijamuona siku nyingi hapa ukumbini hivyo nikataka niwaulizie waungwana Mchongoma kapotelea wapi!? Katika upelelezi wangu nilioufanya hapa ukumbini nmegundua kwamba Mchongoma sasa kawa Mbu π Mbu, mbona hukutoa taarifa kwamba umebadilisha jina?
Mtegeshee bila kumwambia huyo mumeo,kama unajiamini unaweza kushika mimba wewe mtegee siku zako za hatari kwenye mzunguko. Kubakwa sidhani kama ni kitendo ambacho mwanamke anapenda kufanyiwa! Umenishtua kwakweli..
you know your husband better than all of us .. mwengine ukimwambia ukweli atakuchukia maisha it can kill him as well ... eeh its very painful
one mistake you did ni kumwambia that thieeeef kwamba you have his baby ... why did you do that for christs sake ... unakimbelembele kweli
Mi I suggest ... study the situation carefully reverse the order umwambie yule bazazi the child is not his and then kwa mume wako .... just swallow ... because you will distabilise and dismantle him kabisa.
Kila mtu ana madhambi ..... so go wisely on this
Ndugu yangu Msanii
Tatizo hapa ni the emotional battle that will ensue ... facing the situation ... how long the recepient will take to digest the situation ... the emotional trauma ... mengine ya sheria yatakuja later after mumewe recovering and accepting the situation
Maana anybody can be given any news lakini there is limitation this is what this lady is worried about ... the aftermath of the situation
I suggest maybe amlishe limbwata kwanza ... maana hapa hata kumface simba afadhali
Mama pole sana kwani napenda kukutia moyo uwe tu mkweli kwa mumeo. Mimi haya yalikuta miaka 18 iliyopita baada ya mamsapu wangu kufanya tendo kama lako na akazaa mtoto ambaye kwa kweli ni kijana mzuri sana na mwenye akili sana> Nimemsomesha na hata sasa yuko USA kwenye chuo kikuu huko. Hili pendo lilitokea baada ya mke wangu kunieleza ukweli na kunisihi sana nimfichie hii siri kama mwenzanke kwenye ndoa inayotambulika tulifanya hivyo and now the boy is 21 yrs old. Baadaye nilizunguza na Bilogical father wake kuhusu hili jambo na kuwa kijana anatumia sir yangu. Huyu bwana naye kanishukuru sana na kuniomba hata mtoto asiambiwe yaliyopita yasije yakamfanya akaumia roho. Hivyo kama mumeo ni mtu aliyekomaa kindoa naona hili halitakuwa jambo la ajaabu kwake na bila shaka atalipokea kwa moyo wa kutaka kukusaidia pia maana ni kitu ambacho uanakijutia hadi leo.