Monsignor
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 523
- 13
ujinga tuu na jazba zisizo na maana. Mwengine kaja na rabis yake hapa ananiita karamagi..hehehe.. Mwisho wasiku jazba hazitupeleki popote mtabaki kuongea vapour tuu.. Tuongelee jinsi ya kujenga Taifa imara sio kuwasimanga watoto wa watu especially ones with the brains that we need now and in the future. Christine is a smart young lady na baadae kama atakuwatayari kuwasaidia watanzania itakuwa jambo la kheri sana. Sijui mchukia fisadi na yule ambae nimekataa kumuita punda mtatusaidiaje zaidi ya kuongea MVUKE! hahahaha..aah aisee. Too funny.
Imetosha weye na umeeleweka kwamba siyo mtoto wa Karamagi na zaidi yuko huko kwa scholarship sasa kinachokufanya kupiga kelele huku ukitoa povu mdomoni ni nini? Halafu jamaa hajataja Karamagi popote pale kwenye bandiko lake wewe kwa kuwashwa kwako ndio umetaja. Karamagi akilalamika kuchafuliwa jina atalia na wewe siyo aliyesema fisadi fulani.