Mtoto wa Kike.

at Last kuna mtu (jina kapuni) kwenye hii sredi anafikiria vile ninavyofikiria. is it a coincidence?, only god knows!
 
Moskwito mpendwa, sijajua kama my fellow tablet ambaye ni adui yako mkuu, klorokwini amechangia hii sred...... ila kwa kauzoefu kangu kadogo, kuna tofauti kubwa sana kati ya kumiliki mtoto (bila kujali jinsia) na kumiliki mtoto na mama yake..........Mkataba na mama wa mtoto wako una gharama na kwensekwenses kubwa kuliko unavyodhani.......Kumbuka, kuoa ni mkataba bali kuzaa ni majukumu.....Moskwito....unaweza kuachana na mkeo lakini kamwe huwezi achana na mwanao.........Na hakuna dhambi mbaya kama kufanya majaribu au kubahatisha kuoa ilu upate mtoto......hatari sana.

Narudia tena, mheshimiwa mwambukiza malaria......kama thread yako nimeielewa vema, you are not a responsible husband but a "born again" father....usioe brother....utatesa wanao.

Mjukuu mmoja aniambie kama nimeeleweka. Damn Guinness Beer!
 
mimi nakubaliana na wewe aspirin..very strong message usioe kubahatisha mtoto,mtoto ni majaaliwa unayopewa na mwenyenzi mungu,unaweza ukapewa na asiwe na heri na wewe,unaweza ukawa na mke na hao watoto ulizaa na mama mwingine na ukawa mwenye furaha,lakini kuoa unajua ina heshima yake aspirin?unaomba tu mwenyenzi mungu akupe lililona heri na wewe
 
Sijui nilikua wapi nikamiss hii kitu!Mbu nafurahi kwamba umeondoa mawazo ya kuzaa tu na mtu ilimradi mtoto.Kuhusu kuoa ili upate mtoto na mke kua mwangalifu usije ukaingia kusiko.Usijaribu KUOA KWAAJILI YA MTOTO....TAKA MTOTO KWASABABU UMEPATA MTU UNAETAKA KUSHEA NAE PARENTAL JOY AND RESPONSBILITIES!
 
mimi nakubaliana na wewe aspirin..very strong message usioe kubahatisha mtoto,mtoto ni majaaliwa unayopewa na mwenyenzi mungu,unaweza ukapewa na asiwe na heri na wewe,unaweza ukawa na mke na hao watoto ulizaa na mama mwingine na ukawa mwenye furaha,lakini kuoa unajua ina heshima yake aspirin?unaomba tu mwenyenzi mungu akupe lililona heri na wewe

Mheshimiwa Ndito (Duh...we mmasai au?)

Kuoa inaweza kuwa heshima kama ndoa itakuwa ndoa ya kweli kwa maana yake halisi.....kuheshimiana, kuaminiana, kuvumiliana,kupendana, kuridhishana et el.

Lakini ndoa itakuwaje na heshima kama:
Baba anamtwanga mama makonde mbele ya watoto?
Mama anamegwa na rafiki wa mume wake?
Baba anamega house girl na mama akajua?
Mama anampasulia mipasho mume wake mpaka majirani wanashindwa kulala?

Hapana asee, sikubaliani eti kuoa ni heshima......Inaweza kuwa karaha, balaa na karaha pia..........:noidea:
 
Kwa hiyo miaka yote hiyo ulikuwa hugusi kabisa wanawake? ..namaanisha kudu nao..

...duh! haya maswali mengine haya, majibu yanahitaji;

wwtbam002.jpg


..."Calling a friend, 50:50, or Asking the Audience."

Madame T.
Kwa heshima na taadhima naomba nisi comment swali hilo.

- "I have the right to remain silent. Anything I type can and will be held against me in JF. I have the right to speak to Moderators. I understand these rights as they have been written in JF rules & regulations." -
 
Aisee Mbu pole sana kwa hiyo hali uliyonayo...Mshukuru Mola amekujalia hata hao vijana wawili mana kuna wengine hata mtoto mmoja kupatikana ni shida au hawapati kabisa..Ungekuwa na mabinti wawili wabda sasahivi ungekuwa unataka baby boy!! ila ridhika na pokea baraka zote zitokazo kwa Mola kwa mikono miwili!!
 
Aisee Mbu pole sana kwa hiyo hali uliyonayo...Mshukuru Mola amekujalia hata hao vijana wawili mana kuna wengine hata mtoto mmoja kupatikana ni shida au hawapati kabisa..Ungekuwa na mabinti wawili wabda sasahivi ungekuwa unataka baby boy!! ila ridhika na pokea baraka zote zitokazo kwa Mola kwa mikono miwili!!

...naam, kweli kabisa maneno yako.
Ni mapungufu yangu, kwani sijajaaliwa ukamilifu.
Baada ya kupata nasaha mbali mbali,
akili imenirudia na nishamlaani shetani.

Shukran BJ.
 
...naam, kweli kabisa maneno yako.
Ni mapungufu yangu, kwani sijajaaliwa ukamilifu.
Baada ya kupata nasaha mbali mbali,
akili imenirudia na nishamlaani shetani.

Shukran BJ.

I doubt mkuu....
I doubt kama mawazo/maoni ya watu hapa yanaweza kubadili 'desire' yako....
Binafsi nina hali kama ya kwako kiasi fulani...nina wavulana wawili (ila nipo pia na mama yao/mke wangu)...
Kuna wakati nahisi uhitaji wa katoto ka kike, ila tulishapanga kuzaa watoto wawili pekee....hiyo 'desire' ya kabinti inasakama nafsi yangu sana...japo nshaamua wawili wanatosha!
 
I doubt mkuu....
I doubt kama mawazo/maoni ya watu hapa yanaweza kubadili 'desire' yako....
Binafsi nina hali kama ya kwako kiasi fulani...nina wavulana wawili (ila nipo pia na mama yao/mke wangu)...
Kuna wakati nahisi uhitaji wa katoto ka kike, ila tulishapanga kuzaa watoto wawili pekee....hiyo 'desire' ya kabinti inasakama nafsi yangu sana...japo nshaamua wawili wanatosha!

Hapana mkuu RR,
Maoni na ushauri kwa kiwango kikubwa yamesaidia kupunguza ile tamaa ya Baby Girl at all costs.
Ndio maana nilikubaliana na wengi waliosema, ni ubinafsi kukidhi mahitaji yangu bila kujali welfare ya mtoto na mama'ke huko mbele ya safari.

Hapo kwa BJ nilikuwa namjibu ule ushweitani wa kuzaa nje ya ndoa.:pray:
 
umuasili mtoto ndio nini? Adoption?
Hiyo nayo ni Option ninayoifikiria, lakini natamani nichangie Genes zangu
kwa mwanamke anayefit 'my fantasy' ya kuwa mama wa binti wangu.

Hilo la kwanini sihitaji mke ngoja tu niliweke kwenye mabano (sihitaji kwa sasa.)

una gerentii gani atazaa mwanamke na siyo dume tena?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Thread ndio hii bana!
Nyingine uchakachuaji umezidi.

Hongereni sana wachangiaji wote - The Finest, Klorokwini,BAK, MJ1,AD,MPENDWA, BAK, FA, na wengine wote mliochangia kistaarabu bila kuingiza vijimambo visivyohusu.
 
Mbu
Na wachangiaji Woooooooote wa Thread HII, Hongereni sana, Nimejitahidi kusoma Michango yooote, kwa kweli imejaa busara sana.
Mbu kwanza nikupongeze kwa kuwa Single parent wa watoto wawili wa kiume kwa Miaka kumi, Si mchezo, Hongera sana.Lakini pia kwa msimamo wa kutoamua kuoa haraka mara baada ya Ku-divorce na EX wako.Inaonyesha ni jinsi gani ulivyo na Hekima.Lakini pia kukubali ushauri wa wachangiaji mbalimbali.Na kwa kuwa umri nao unasogea na Hata wewe umeona kuwa kuna umuhimu wa kumpata mtu wa kuishi naye ni jambo jema sana, Siwezi kukushauri kurudiana na Mkeo kwa kuwa hilo ni jambo lako Binafsi. Kama ulivyoamua kwamba utakubali matokeo yoyote baadaye hilo ni jambo jema sana. Mungu akujalie upate unachohitaji na uwe na furaha siku za maisha yako yote. Nimeguswa sana.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
una gerentii gani atazaa mwanamke na siyo dume tena?

...TM, shukran kwa swali la nyongeza ambalo nilishajibu hilo hapa;

...Rahisi sana. Ushawahisikia In Vitro Fertilization (IVF) Treatment, maishani mwako?
Huko kuna Gradient Method, Flow Cytometry, au Preimplantation Genetic Diagnosis (PGD)
kwenye uchambuzi wa Y-Chromosomes from X-Chromosomes.

Karibu.
 
Mheshimiwa Ndito (Duh...we mmasai au?)

Kuoa inaweza kuwa heshima kama ndoa itakuwa ndoa ya kweli kwa maana yake halisi.....kuheshimiana, kuaminiana, kuvumiliana,kupendana, kuridhishana et el.

Lakini ndoa itakuwaje na heshima kama:
Baba anamtwanga mama makonde mbele ya watoto?
Mama anamegwa na rafiki wa mume wake?
Baba anamega house girl na mama akajua?
Mama anampasulia mipasho mume wake mpaka majirani wanashindwa kulala?

Hapana asee, sikubaliani eti kuoa ni heshima......Inaweza kuwa karaha, balaa na karaha pia..........:noidea:



aspirin sorry for delay,mimi ni mmeru bwana hivyo wamasai nawajua vizuri si unajua ni majirnai na kwingine tumechanganyika...ni kweli ndoa inaheshima yake kama hayo ulosema hayatokuwepo...mara nyingi wanaume ndo wa kwanza kuzifungua zipu zao then now dys wanawake wamechoka na hizo abusing nao wanaamua kutoka nje hapo ndo inakua mtafutano..ndoa ina karaha na inahitaji uvumilivu pande zote mbili na kila mmoja aamue kurekebisha pale anapoona kweli hapa nimemkosea mwenza si kumtupia mwenzio lawama..mtu ukubali responsibility,wengine kwenye ndoa wanatoka nje matatizo yakizidi hivi kweli inasaidia?unarudi ndani ndo inakua worse maana ndo umeshaanzisha mahusiano nje unazidi kubomoa...aaa ndoa nzuri but ikifia hapo no point of retun watu wanajisahau wanabobea nje..
 
Back
Top Bottom