Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
...kuna nyakati hunijia wazo nitafute mw'mke anizalie mtoto wa kike, aniachie mtoto (aendelee na maisha yake.) Sihitaji mke:nono:, wala kujaribu mtoto mwingine na my Ex-Wife wangu, (mama wa wanangu wawili wa kiume.)
Nini faida/hasara za jambo hilo?
Nini faida/hasara za jambo hilo?