MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
kila la kheri Mbu...Mungu akujaalie mke mwema..hebu anza kuchombeza kwa MwanajamiiOne plz...
...Dada'ngu Nyamayao, kwa ufupi...nimeghairi wazo hili baada ya kupata maoni ya kutosha jana.
I will go for the 2nd Option...(Mke), then tutapojaaliwa mtoto, yeyote ...Awe wa kike/kiume/ mapacha haya.
We nyamayao..........MJ1 ndo ana watoto wa kike tumboni?? mwone vile.
hivi ni hili hili la hii thread au kuna jingine mbona nasoma kichina?
Haya nijuze za masiku maana siku hizi umepotea ka jasho la kuku mwari wewe............hajambo mtoto maana nasikia umejifungua mapacha
Umeamua uamuzi wa busara sana kaka yangu na mimi naamini mungu ameshasikia maombi yako na utapata mtoto wa kike. Usiudharau ushauri wa nyamayao kuhusu MJ1 tangaza nia bana jf tuselebuke[/QUOTE]
Umeamua uamuzi wa busara sana kaka yangu na mimi naamini mungu ameshasikia maombi yako na utapata mtoto wa kike. Usiudharau ushauri wa nyamayao kuhusu MJ1 tangaza nia bana jf tuselebuke
nadhani itahudhuriwa na members wote...hahaha..jokes aside, kaka Mbu...fanyia kazi ushauri wangu plz..[/QUOTE]