Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,613
- 17,638
I mean moja mkuu asanteMi nimeona moja tu
I mean moja mkuu asanteMi nimeona moja tu
Hongera sana kijana,hivi huyu ni Rashid au Khalfan!?Huwa ninawachanganya
Hivi amepata ajira au yupo "Training" kwa ajili ya kupata masaa?Maana kwa pesa ya baba yake,sio kazi kulipa "Etihad Flying School" ili apate masaa ya kuwa rubani kamili baada ya kuwa darasani.
Maana hata ukiangalia begani ana bar moja tu,ili uwe "Pilot in Command" hapo begani lazima uwe na "Four bars".Sasa huyu dogo atakuwa ametoka tu shule huko Marekani then "field" anafanyia Etihad na mzazi akawa analilipa shirika ili mtoto apate masaa(Rating Hours) then anarudi bongo tu kurusha Boeing za ATCL.
Au anaweza akawa kwenye shule ya marubani iliyo chini ya kampuni ya ndege ya Etihad.Wakuu kuinua dude kama Boeing 737-800,Boeing 777,Boeing 787 au Airbus 380 au ile mpya A350 siyo kwa bar moja begani.Utauwa watu dakika moja tu.
Kitu kingine wazazi tunachopaswa kujua,a pilot is just a mere driver.Urubani ni kama udereva tu,training yake ni miezi sita baada ya hapo unaanza sasa kuruka ili upate masaa ya kuweza kukupa uzoefu wa kurusha ndege,unaanza kupata leseni ya kuruka ukiwa solo,then ya kuruka na abiria na baadae ndege za kibiashara.
Tatizo ni ada ilivyo ghalama.Kitu kilicho kigumu ni kuwa Engineer wa ndege na sio rubani.Ndio maana zile ndege pale nyumbani terminala one,vijana wengi waliishia kidato cha nne,sababu baba zao wana pesa,wakaenda course South Africa na USA na sasa wanarusha.
Mzee Mwinyi ana mwanae rubani,sema ile sio familia ya facebook na Instagram,
Salama jabir au1. Ridhwani
2. Salama
3. Miraji
4. Khalfan
5. Khalfa
6. Rashid
7. Mwanaisha
8.
9.
Hua wapo tisa, wawili nimewasahau majina yao! Siku Obama kaja na watoto wake Tanzania, wakati wakuugwa pale JKIA! Jakaya alienda na watoto wake wote! Nahisi Obama aliuliza hawa wanao wote??
Kadhaa.... ndivyo ilivyokuwa ikitangazwa kila akiapishwaHivi Mheshimiwa jumla ana watoto wangapi?
Siwezi jua mkuu,ngoja wataalamu waje! Ila naona kama kijana bado sana,itakua anafanya field kwanza! Yaani kusoma kwa vitenda! Kwa hapo alipo kuruka na hata fast jet tu, sasa akipewa Boeing 777 au Airbus anaweza kuuwa watu huyu dogoduh hatari sana kwani urubani ni mwaka mmoja au ndio vyeti fake
Lumumba kazi kufukuzana na wapinzani tu, wenzenu wanawaza maendeleo ya familia zaoWa ufipa wako bize kufundishwa kuuza madawa
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Shida nini?msione fursa nyie miguu ishaanza kubana na kuachia
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Ha ha ha ha ha nouma sana!bado wengine awajatambulishwa
Hakushindi hata kwa ukucha.
Uliyemuona Feza ni huyo mwenye tshirt nyeupe wa mwisho, huyo rubani ndio huyo mwenye tsht nyeusi mwanzoFamilia ya Jakaya na Familia ya Shehe Mansoor ni marafiki walioshibana! So dogo anaweza kua pale halipi hata cent moja!
Huyu dogo nilimwona Feza ya pale kawe mara ya mwisho mwaka 2016 akiwa mwanafunzi, na mwenzake yule Chodo a.k.
a Khalfa Sasa nawaza kafikaje hadi kua rubani?? Anya way Fweza ndo sabuni ya roho!!
Tusipangiane!!.Huchelewi kujilengesha!!
Kama wewe yaniWw n zaid yake
Mi nishakariri kwamba mpaka uwe umesoma hadi six kisha ufaulu wako usipungue one ya point tano!Hongera sana kijana,hivi huyu ni Rashid au Khalfan!?Huwa ninawachanganya.
Hivi amepata ajira au yupo "Training" kwa ajili ya kupata masaa?Maana kwa pesa ya baba yake,sio kazi kulipa "Etihad Flying School" ili apate masaa ya kuwa rubani kamili baada ya kuwa darasani.
Maana hata ukiangalia begani ana bar moja tu,ili uwe "Pilot in Command" hapo begani lazima uwe na "Four bars".Sasa huyu dogo atakuwa ametoka tu shule huko Marekani then "field" anafanyia Etihad na mzazi akawa analilipa shirika ili mtoto apate masaa(Rating Hours) then anarudi bongo tu kurusha Boeing za ATCL.
Au anaweza akawa kwenye shule ya marubani iliyo chini ya kampuni ya ndege ya Etihad.Wakuu kuinua dude kama Boeing 737-800,Boeing 777,Boeing 787 au Airbus 380 au ile mpya A350 siyo kwa bar moja begani.Utauwa watu dakika moja tu.
Kitu kingine wazazi tunachopaswa kujua,a pilot is just a mere driver.Urubani ni kama udereva tu,training yake ni miezi sita baada ya hapo unaanza sasa kuruka ili upate masaa ya kuweza kukupa uzoefu wa kurusha ndege,unaanza kupata leseni ya kuruka ukiwa solo,then ya kuruka na abiria na baadae ndege za kibiashara.
Tatizo ni ada ilivyo ghalama.Kitu kilicho kigumu ni kuwa Engineer wa ndege na sio rubani.Ndio maana zile ndege pale nyumbani terminala one,vijana wengi waliishia kidato cha nne,sababu baba zao wana pesa,wakaenda course South Africa na USA na sasa wanarusha.
Mzee Mwinyi ana mwanae rubani,sema ile sio familia ya facebook na Instagram,
Mzuri Wa sura!Mzuri kwenye kuendesha ndege au umemtaman in other way
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app