Mtoto wa JK aula Etihad Airways

Mtoto wa JK aula Etihad Airways

Mi nishakariri kwamba mpaka uwe umesoma hadi six kisha ufaulu wako usipungue one ya point tano!
Kumbe hata form four unaenda!!!

Sent from my TECNO F5 using JamiiForums mobile app
Sio kweli
 
View attachment 538554
Moja ya darasa la wanafunzi wa urubani wa Chuo cha Etihad....

View attachment 538553
Moja kati ya ndege zao za mafunzo wakiwa chuoni.

View attachment 538552 Huyu kijana wa JK sidhani hata kama atakuwa amefikia level ya kama huyu kijana ya kuwa "Solo Pilot".Na ukiangalia begani kwa wote wawili,wana "bar" moja kuashiria bado wapo "darasani" au wapo tu chuoni kusoma na si kwamba wameajiliwa(Nipo tayari kusahihishwa ndani ya mjadala kama kaajiliwa)


Hongera sana kijana,hivi huyu ni Rashid au Khalfan!?Huwa ninawachanganya.
Hivi amepata ajira au yupo "Training" kwa ajili ya kupata masaa?Maana kwa pesa ya baba yake,sio kazi kulipa "Etihad Flying School" ili apate masaa ya kuwa rubani kamili baada ya kuwa darasani.

Maana hata ukiangalia begani ana bar moja tu,ili uwe "Pilot in Command" hapo begani lazima uwe na "Four bars".Sasa huyu dogo atakuwa ametoka tu shule huko Marekani then "field" anafanyia Etihad na mzazi akawa analilipa shirika ili mtoto apate masaa(Rating Hours) then anarudi bongo tu kurusha Boeing za ATCL.

Au anaweza akawa kwenye shule ya marubani iliyo chini ya kampuni ya ndege ya Etihad.Wakuu kuinua dude kama Boeing 737-800,Boeing 777,Boeing 787 au Airbus 380 au ile mpya A350 siyo kwa bar moja begani.Utauwa watu dakika moja tu.

Kitu kingine wazazi tunachopaswa kujua,a pilot is just a mere driver.Urubani ni kama udereva tu,training yake ni miezi sita baada ya hapo unaanza sasa kuruka ili upate masaa ya kuweza kukupa uzoefu wa kurusha ndege,unaanza kupata leseni ya kuruka ukiwa solo,then ya kuruka na abiria na baadae ndege za kibiashara.

Tatizo ni ada ilivyo ghalama.Kitu kilicho kigumu ni kuwa Engineer wa ndege na sio rubani.Ndio maana zile ndege pale nyumbani terminala one,vijana wengi waliishia kidato cha nne,sababu baba zao wana pesa,wakaenda course South Africa na USA na sasa wanarusha.

Mzee Mwinyi ana mwanae rubani,sema ile sio familia ya facebook na Instagram.

NB:Isionekane nina wivu
Cc miss chagga
 
Hongera zake.

Urubani ni kama udereva wa ndege tu kwa nchi zenye ndege za kutosha kiasi cha ndege kuwa kifaa cha usafiri tu.

Sema kwetu huko, ndege ni kitu cha ajabu bado, kuwa rubani unaonekana "umeula".

Kuna kitabu nilisoma miaka ya kwanza ya 2000S jinsi marubani wapya wanavyopata shida kwa kuwa na mishahara midogo na ratiba mbaya za kazi Marekani.

Ila Tanzania, kazi ya urubani ina deal sana kwa sababu ya kupitisha magendo.
 
wa magu cjui alienda wapi na bashite yake kule yudom hahahhaha na ukali wote ule bado mtoto kaambulia bashite kweli ukali c dawa wa jk wamepewa good time zakutosha na wako vizuri kichwani

Sent from my LG-H500 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom