MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 19,288
- 39,974
Kabla ya kuwa na mtoto hakikisha una mikakati na mipango thabiti kifedha kuweza kumhudumia mtoto. Kumbuka mtoto toka anazaliwa unawajibika kwake maishani mwake. Hata ukitangulia kufa atakutumia kama mzimu wake umsaidie. Kumleta mtoto duniani na kushindwa kumhudumia ni kinyume na haki za binadamu.
Inakera sana kuona mtoto wa miezi kadhaa kashaanza kuvishwa mitumba. Kuweni serious ndugu. Wengine vipato vidogo ila analazimisha kuwa na watoto wengi. Sio sawa hiyo. Hakikisha kabla hujamwagia ndani umejiridhisha utaweza kumudu mahitaji yake.
Inakera sana kuona mtoto wa miezi kadhaa kashaanza kuvishwa mitumba. Kuweni serious ndugu. Wengine vipato vidogo ila analazimisha kuwa na watoto wengi. Sio sawa hiyo. Hakikisha kabla hujamwagia ndani umejiridhisha utaweza kumudu mahitaji yake.