Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,348
- 176,144
Tunawachekea sana hawa viumbe ndio maana wanapata viburi.Mmh kosa la mtu mwingine, ila bado unatakiwa ujinyenyekeze ili usije kupoteza ndoa yako aiseee. Hii neema isitufikie tu kwa kweli
Tunawachekea sana hawa viumbe ndio maana wanapata viburi.Mmh kosa la mtu mwingine, ila bado unatakiwa ujinyenyekeze ili usije kupoteza ndoa yako aiseee. Hii neema isitufikie tu kwa kweli
Uko controlled kivipi!! Mtu alochepuka zaidi ya mwaka anaucontroll vipi!!Huko ulikofika ni reality lakini hatuombei, UKIMWI uko controlled siku hizi cha kuogopa ni HPV.
Nimecheka sana mkuu, usije kuwa umeacha point 5 ulaya, hao ndio wakina Obama bwana.Sky Eclat umenikumbusha siku moja, miaka mingi imepita, nilikuwa super market nafanya shopping with house mates, kwenye same aisle akaja msichana wa kizungu na katoto .5 kale katoto kalivyoniona kakanikimbilia 'daddy daddy' duh nilibaki nachekacheka sijui nifanye nini.
Yule msichana akamuwahi mwanae na ku apologize, nikamuuliza nafanana na baba yake? Akaniambia kidogo ila hamuoni sana baba yake so anaweza kumvaa mtu mweusi yeyote, lakini sisi tulikuwa watatu akanichagua mimi.
Je kama ningekuwa na gf/mke ingekuwaje? Ingekuwa kama hii story yako?
Na stori ilioendelea na wale mates wangu ni kuwa si bure haiwezekani kale katoto kakung'ang'anie wewe tu..Nimecheka sana mkuu, usije kuwa umeacha point 5 ulaya, hao ndio wakina Obama bwana.
Let say hata yeye hakujua kama ameathirika. Chances are high bwana tusipeane moyo.Well wanaotumia dawa vizuri hawawezi kuambukiza wengine.
Hili naomba nisilitilie maanani kamwe.Believe me, UKIMWI si janga kwa wanaopata matibabu mazuri.
Nilisoma jarida moja la afya, Marekani wamama wenye UKIMWI wanapewa dawa na wanaweza kunyonyesha watoto wao, kwa wenzetu sasa hivi huu ugonjwa hauwapi pressure kama kwetu. Anaetumia dawa anaweza kuishi miaka hata 40 ijayo.Hili naomba nisilitilie maanani kamwe.
Tusikuombee while tunaendekeza uzinzi!!!. Ukimwi wa kawaida siku hizi ila akiwa nao ndugu yako, mie Mungu aniepushe tu. Haimake sense niweke rehani afya yangu kwa ajili ya starehe za mtu mwingineHuko ulikofika ni reality lakini hatuombei, UKIMWI uko controlled siku hizi cha kuogopa ni HPV.
Teh ukicheka na nyani, jiandae kuvua mabuaTunawachekea sana hawa viumbe ndio maana wanapata viburi.
teh teh tehHili naomba nisilitilie maanani kamwe.
duh hapo mwanaume ajishushe akiri kosa maisha yaendelee.. ila walikosea walitakiwa wawe na mawasiliano in advance wasijekugongana duh.. mke halali anawakati mgumu
Kabisa mkuu ya nini kujipa pressure ufe mapema Akha, hukohuko na uzao wa mchepuko hata kijiko hawapati.Yes. Yaani mi asitegemee nikikuta mtoto kafanana naye sijui daddy ntamuuliza huyu nani? maana nshajua ni mtuye napiga kimya najiongeza tu sihangaiki na mambo ya kijinga atajua mwenyewe ataleaje nakomaa na watoto tu documents za vitu ni majinabya watoto akizaa 30 atajiju mi sihusiki kwa lolote nao.
Kah.... Mungu anakuona lakinTulia wewe... Sisi ndio wanaume...
Kama una hasira hama dunia.
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Kwakweli UKIMWI ni wa kawaida akiwa nao mwingine.Tusikuombee while tunaendekeza uzinzi!!!. Ukimwi wa kawaida siku hizi ila akiwa nao ndugu yako, mie Mungu aniepushe tu. Haimake sense niweke rehani afya yangu kwa ajili ya starehe za mtu mwingine
Ishajulika asimame kama babaAnatakiwa asimame kama mwanaume, akukubali majukumu yake na atimize wajibu wake.