Mtoto alipoharibu

Mtoto alipoharibu

umeleta nusu story malazia ilkuwaje mara tu mtoto alapo mkumbatia baba..vipi mke wa ndo.alisemaje?
Mbona niliendelea hapo juu, mama pressure ilipanda, ilibidi Peter apeleke familia nyumbani, mama baada ya kutulia alitafuta namba ya shost kutoka kwenye simu ya mume wake, alimpigia na kumfahamisha maumivu yake.
 
Mke hakuwa katika hali ya kulizwa pale, ilibidi kumtuliza mke, Peter aondoe familia, wamefika nyumbani mke alipata namba ya simu ya shost kutoka kwenye simu ya mumewe na kumpigia. Alimueleza aelewe inavyouma akiwa kama mwanamke aelewe kuwa shost anavunja ndoa yake.
sister pole na yaliyokupata mwisho wa mwaka,Kiualisia hata wewe uliogopa kidogo kukutana na mke mwenzio,ila nawapenda watu kama nyie maana mnasaidia sana ,Kiukweli wewe ni kipepeo
 
sister pole na yaliyokupata mwisho wa mwaka,Kiualisia hata wewe uliogopa kidogo kukutana na mke mwenzio,ila nawapenda watu kama nyie maana mnasaidia sana ,Kiukweli wewe ni kipepeo
Mimi hayajanipata mkuu, haya ni majanga ya shost, mimi hapa ni poster master wa hii habari tu.
 
Kwkuwa mimi nidady yake ndiomaana kapita watu wote kaja kuniita mimi dady, hakuna jibu lingine zaidi yahilo.
 
ivi peter angemwambia yes huyu ni mtoto wangu ingelikuwaje,Angeumia then life inakuwa sawa
 
Habari za leo wapendwa,

Jamani leo shost mwingine amepata majanga, huyu niliwahi kufanya nae kazi sehemu flani lakini bado tunamawasiliano.

Kisa chenyewe ni kuwa, shost alipokuwa 30+ aligundulika na fibroids, kwakuwa hakuwa na mume wala mtoto, alikuwa desperate kupata angalau mtoto akihofia baada ya matatibabu anaweza akose kabisa.

Sijui makubaliano yalivyokuwa lakini alikutana na kijana Peter ambae ni engineer, Peter ana mke na mabinti wawili. Shost amebahatika kupata mtoto wa kiume, Peter amechanganyikiwa kwa furaha. Peter aliahidi kumtunza mama na mtoto, aliwapangishia nyumba nzima lakini mbali kabisa na nyumbani kwake, mfano iwe Gongo la Mboto na Mbweni.

Peter alihakikisha mara mbili kwa wiki alikuwa kwa shost akimuogesha mtoto, kumsomea bedtime stories mpaka mtoto akilala ndiyo anaondoka kwenda kwake. Mtoto alimfahamu baba yake na mara nyingi aliuliza kwanini baba hakai na sisi, si fahamu ni jibu gani wazazi walimpatia.

Mke wa Peter hakuwa na fahamu yeyote kwa haya yote yanayotekea. Kasheshe imekuja kipindi hiki cha sikukuu, shost alikwenda kumnunulia mtoto mahitaji ya sikukuu Mlimani City na kugongana uso kwa uso na Peter akiwa na mkewe na watoto wao.

Katoto ka shost masikini kamemkimbilia Peter daddy, jamani Peter aliishiwa nguvu, mke amekuja juu, inakuwaje mtoto apite watu wote aje akuite wewe daddy?
hapo kazi ipo, the man has to humble to hios wife & telling her the truth.
 
Word mkuu.

Yes. Yaani mi asitegemee nikikuta mtoto kafanana naye sijui daddy ntamuuliza huyu nani? maana nshajua ni mtuye napiga kimya najiongeza tu sihangaiki na mambo ya kijinga atajua mwenyewe ataleaje nakomaa na watoto tu documents za vitu ni majinabya watoto akizaa 30 atajiju mi sihusiki kwa lolote nao.
 
Hata kama... Kama unamichepuko milimani city siyo sehemu salama hata kidogo... Utakutana hata na house girl wako wakati alikuaga anarudi kijijini wiki moja kusalimia wazazi...
Hahahahahahaa
 
nakupa kisa mfanano na stori yako kisa cha kweli.

kuna jamaa mmoja katavi huko (mwaka 2001) nae aliwahi itwa baba na mtoto flani (mwanamke alikuwa kaolewa). mume akapata mashaka iweje mtoto wake amuite mtu mwingine baba, jamaa akamtaiti yule aliyeitwa baba.

ilitokea taflani iliyo pelekea kifo cha yule aliyeitwa baba na mtoto mdogo. sikujua kesi hii iliishia wapi

ila yule bwana namkumbuka alikuwa ndugu wa afisa tawala kipindi hicho, sehemu ilikuwa maeneo ya wauza mitumba zamani soko kuu.ujinga wa wauza mitumba wakashangilia na kupambisha mpaka jamaa akauawa.
 
basi najiweka kwenye viatu vya mwanaume

nawachukua mpaka kwenye lile banda la juice tunakaa halafu naweka kila kitu hadharani kwa sababu kuna vitu vya kuficha lakini siyo hilo. ni wakati wa kuvuna mbivu au mbichi
Hapo umechemka, mwite mchepuko mbele ya wife mtambulishe mengine mkirudi nyumbani akikataa kutambulishwa aga mtoto rudini nyumbani maana shopping imeishia hapo huko sasa mkayamalize. Jua si wife tu atakeyeumia hata mchepuko maana wote ni wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom