Angry Bird
JF-Expert Member
- May 3, 2016
- 514
- 487
Usanii kipaji mkuu, ukichanganya na panic usishangae mchepuko kujieleza pasipo kuulizwa swali.Mbona hapo kama yule kimada angekuwa na akili ya fasta ilikuwa ni ishu ndogo tu,
Wakati dogo anamkimbilia dady, yule bibie alitakiwa aende, kuanzisha story, shem vip? Mtoto kawamisi baba zake jamani, hamji kumtelembelea , so ingepata pa kumaliziwa.