Mtoto alipoharibu

Mtoto alipoharibu

Halafu sisi kazi tuliyonayo ndio hiyo kuzaa shukuru tu hukuzaliwa nje ya ndoa .Maana huwezi kumlaumu baba kwa kukuzaa
Ninachoamini mkuu ni kuwa hakuna one formula kweny maisha, huyu baby boy anaweza kuja kumzika Peter.
 
Ninachoamini mkuu ni kuwa hakuna one formula kweny maisha, huyu baby boy anaweza kuja kumzika Peter.
Kuna Jamaa yangu ni mwenyekiti Wa serikali za mitaa sehemu sasa amezaa watoto wengi ila mdogo wake hana hata mtoto sasa amechukua mtoto mmoja katika wale toka akiwa mdogo wala hajui kama yule mwenye watoto wengi ndio baba hivyo analaumu kwamba baba mkubwa anazaa hivyo.

Kumbe kaka sio kuzaa hovyo yeye asingekuwepo.
 
duh hapo mwanaume ajishushe akiri kosa maisha yaendelee.. ila walikosea walitakiwa wawe na mawasiliano in advance wasijekugongana duh.. mke halali anawakati mgumu
Kosa lipi tena miss chagga? Kuwa na mtoto ni kosa?
 
Wanaume na wanawake wote wanacheat. Sema kiwango kinatofautiana , hujawahi sikia mwanamke anacheat hadi anamletea mume mimba ya nje??

Ishu iko hivi.

Mwanaume aliye vurugwa na kusumbuliwa kimapenzi, anaamua kuwa muhuni player anakutana na binti mzuri, anamtenda . Binti anaumia, anaamua kuwa player na kujali furaha yake, anapata man mpole anaejali future, binti anamuona mshamba.

Anamtenda, jamaaa akipiga hesabu kaumia mara mingi, anaona cha kuangaika nini, bora niwe mpigaji, anakutana na watu wengi, mademu wahuni na wasio wahuni, anaumiza watu n.k

Mzunguko ndio unakuwa hivi. Ukimuuliza man why upo hivi, reason ni binti, binti akiulizwa anasema katendwa sana na men, SO nani wa kulaumiwa???
Yo responsible for yo own actions, dont blame them on any1.
 
Shida ni kama mtoto kafanana na daddy ...
Yeah, shida ipo.

Ila kwa situation iliyo na kukiwa na fast response, na kulingana na majibu ya mwanamama alivyo act , mkeo anaweza vunga na kukuuliza baadae endapo ukaamua kutoa utambulisho mzuri.

Shem; Huyu ni mke wangu kipenzi ,fulani. Na these are my kids.

Honestly hapo unaweza zuia au kumfanya mke asifikirie wala kuwaza sana au kuwa atentive kuchunguza kids, tena ukiwa umekakumbatia na ka ndio una kofia unakavalisha kabisaaaa, vaaaa kofia ya baba.....
 
Yeah, shida ipo.

Ila kwa situation iliyo na kukiwa na fast response, na kulingana na majibu ya mwanamama alivyo act , mkeo anaweza vunga na kukuuliza baadae endapo ukaamua kutoa utambulisho mzuri.

Shem; Huyu ni mke wangu kipenzi ,fulani. Na these are my kids.

Honestly hapo unaweza zuia au kumfanya mke asifikirie wala kuwaza sana au kuwa atentive kuchunguza kids, tena ukiwa umekakumbatia na ka ndio una kofia unakavalisha kabisaaaa, vaaaa kofia ya baba.....
Maamuzi ya hapa yanahitaji busara ya pande zote, mke akiwa na hasira za mkizi anaweza kupoteza ndoa yake, Peter amepata baby boy ambae hakumtegemea.
 
Lakini wanaume wana siri sana, fikiria zile siku mbili Peter anazochelewa kurudi nyumbani labda alisema kuna vikao kazini kila let say J3 na Ijumaa.
Wanawake nao ni sumu, check majority ya wanaolia humu. Wanazinguliwa sana aiseee.

Ila kwa situation kama hiii, bora ku buy sometime dogo akiwa kwa age fulani, then mengine yafuate..

Ila kujifany kupeleka maneno mapema kila kitu kitavurugikaa hatari
 
Ningekuwa mke wa Peter ningesema dogo aletwe nyumbani, mama yake atakuwa anakuja kumsalimia.
 
Huyo rafiki yako amweke huyo dogo mbali na mke wa Peter kwani reaction yake kwa mtoto inaweza isiwe nzuri.

Hongera [HASHTAG]#sky eclat[/HASHTAG] kwa sababu hii story imekuwa short and clear sio zile za mwaka jana zilikuwa ndefu kama CV ya professor mwenye noble prize. Au ndio mwaka mpya mambo mapya. Ila collection ya threads zako za hii topic zinaweza kufanya a very good comic book with important underlying messages.
 
Ya mwenyewe alikua anawaza kutimiza msemo wa kitanda hakizai haram,

Atamficha mpaka lini, kwani hapo bi mkubwa hawezi sepa kwao
Ishu ni ku buy sometimes huweze jenga mazingira na hali ya kumjuza mkeo.

Tena unaandaa trip just two of you, sehem mnakaa wiki, treat her like a Queen, make her happier than before then unaanza ku apologise and never mention kuwa ulikuwa una date, jus ilitokea tu kama kona kitu ndani.

Kuna some story, shuld remain untold. Tell her mke nime mess up, help me to deal with it . Nina damu yangu nje kwa ujinga wangu na uzembe imetokea, nimekosea sana,. I need ur suport nipo ready kwa adhabu bt help me to deal na hiii hali, i think ishu zitakaaa poa.

Mtawekeana condition, vilio bt tumeumbwa kusahau utapeta kama kawa. Bt kosa lisirudiwe mara mbili
 
Maamuzi ya hapa yanahitaji busara ya pande zote, mke akiwa na hasira za mkizi anaweza kupoteza ndoa yake, Peter amepata baby boy ambae hakumtegemea.
Daah kweli kuwa mke ni wito. Yani wewe ndo umekosewa, ila bado unatakiwa ujifanye tu mjinga ili usipoteze ndoa yako, aiseee. Sio mume ndo alitakiwa ajishushe na kuonyesha Kuwa anajuta kwa alichokifanya?
Ningekuwa mke wa Peter ningesema dogo aletwe nyumbani, mama yake atakuwa anakuja kumsalimia.
Mmmh sijui nina hii neema kweli? Jitu lijihangaishe huko kwa starehe zake, mie Nanny wake nikusanyiwe tu watoto (Nawaza tu)
 
Yo responsible for yo own actions, dont blame them on any1.
Actions an reaction r equal......then how can you blame man katika kila kitu then.

Ukichunguza katika kila usaliti, kila mtu kachangia bt mmoja tu alienda beyond ndio anaonekanaga
 
Maamuzi ya hapa yanahitaji busara ya pande zote, mke akiwa na hasira za mkizi anaweza kupoteza ndoa yake, Peter amepata baby boy ambae hakumtegemea.
Yeah ila ishu ni kubuy time kuweza ku present vitu kwa kiwango ambacho hakita leta maumivu makubwa
 
Daah kweli kuwa mke ni wito. Yani wewe ndo umekosewa, ila bado unatakiwa ujifanye tu mjinga ili usipoteze ndoa yako, aiseee. Sio mume ndo alitakiwa ajishushe na kuonyesha Kuwa anajuta kwa alichokifanya?

Mmmh sijui nina hii neema kweli? Jitu lijihangaishe huko kwa starehe zake, mie Nanny wake nikusanyiwe tu watoto (Nawaza tu)
Kwasababu hapa ukimuacha aende kumtembelea mtoto ataletwa wa pili.
 
Kwasababu hapa ukimuacha aende kumtembelea mtoto ataletwa wa pili.
Usitafute justification hapo, kumbuka kuchepuka is a choice so you can ought not to. Kwahiyo ukiamua kuchepuka usitafute wa kumlaumu,its all on you.
 
Ningekuwa mke wa Peter ningesema dogo aletwe nyumbani, mama yake atakuwa anakuja kumsalimia.
Negative, ata ningekuwa mimi ndio mchizi, hiii sio best option kwa kid wa age hiyo. Kid atalelewa best akiwa kwa mama yake kwa age hiyo

Pia, tusiwe selfish sana. U think mama wa kid angekubal?? Humchukue mumeo and her kid pia (si atabaki mpweke kinoma).

Hapa kid akae kwa mama yake, bt condition za majukumu wakubaliane.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom