Mtoto alipoharibu

Mtoto alipoharibu

Daaah.. Yaan hapo nimevaa viatu vya mshkaji nawaza kwa sauti wakati jamaa anaitwa na baby boy daddy!! Hivi alipata hata nguvu za kumnyanyua mtoto kweli? Aisee kwangu nadhani mtoto angekuwa mzito kuliko gunia la viazi
 
Kasheshe imekuja kipindi hiki cha sikukuu, shost alikwenda kumnunulia mtoto mahitaji ya sikukuu Mlimani City na kugongana uso kwa uso na Peter akiwa na mkewe na watoto wao.


Katoto ka shost masikini kamemkimbilia Peter daddy, jamani Peter aliishiwa nguvu, mke amekuja juu, inakuwaje mtoto apite watu wote aje akuite wewe daddy?


Hahhaaha kwa umaliziaji huu nashawishika kwamba muendelezo wa huu UBUYU ni mtamu sana
Nitarudi kusoma next episode na ndipo nitatoa maoni yangu
 
Yapi hayo mkuu?
Akae na mkewe, amueleze yanayoendelea ampe muda mama afanye maamuzi ni lini atamuona mtoto, au ataamua hataki kumuoana lakini aelewe yupo na anakua.
 
duh hapo mwanaume ajishushe akiri kosa maisha yaendelee.. ila walikosea walitakiwa wawe na mawasiliano in advance wasijekugongana duh.. mke halali anawakati mgumu
Akiri kosa gani hapo,

Cha msingi akunjr ndita na kukubali kila kitu
 
Lakini wanaume wana siri sana, fikiria zile siku mbili Peter anazochelewa kurudi nyumbani labda alisema kuna vikao kazini kila let say J3 na Ijumaa.
 
Swala dogo tu hilo unamueleza wife ukweli basi tena hapo kuna sababu amwambie mkewe kua nilitamani mtoto wa kiume
 
Mbona hapo kama yule kimada angekuwa na akili ya fasta ilikuwa ni ishu ndogo tu,

Wakati dogo anamkimbilia dady, yule bibie alitakiwa aende, kuanzisha story, shem vip? Mtoto kawamisi baba zake jamani, hamji kumtelembelea , so ingepata pa kumaliziwa.
Ya mwenyewe alikua anawaza kutimiza msemo wa kitanda hakizai haram,

Atamficha mpaka lini, kwani hapo bi mkubwa hawezi sepa kwao
 
Swala dogo tu hilo unamueleza wife ukweli basi tena hapo kuna sababu amwambie mkewe kua nilitamani mtoto wa kiume
Honestly Peter hakupanga kuwa na affair, alimsaidia shost ambae alikuwa desperate kupata mtoto, mtoto amepatikana wa kiume ndiyo dira na ramani zilipobadilika.
 
PABAYA HAWA WATOTO WA NJE KUNA SEHEM WANAVURUGA WANGEJUWA WANGETULIA TU WAZAZI WAO TUNAPAMBANA
 
Sky na shosti zake again.

Huyo shosti nae hakuona wanaume wengine hadi mume wa mwenzie!!

Hivi nyie wanaume kuchepuka chepuka na kuzaa zaa nje ya ndoa zenu mnaona fahari!!!
Halafu sisi kazi tuliyonayo ndio hiyo kuzaa shukuru tu hukuzaliwa nje ya ndoa .Maana huwezi kumlaumu baba kwa kukuzaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom