Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
- Thread starter
- #61
Hilo nalo wazo maana elimu ya sasa matatizo tu
yuko sahihi, elimu siku hizi si ufunguo wa maisha na tena imegeuka na kuwa kufuli la maisha. mtu mwenye digrii hana ujuzi wowote wa kupambana na mazingira yake. zaidi zaidi elimu imemfungia afikirie kufanya vitu alivyosomea/kariri tu. sasa hapo si inakuwa kufuli la maisha?
dogo asisomeeee, achukue elimu ya kitaa.