structuralist
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,231
- 905
- Thread starter
- #21
Upo sahihi kabisa. Hata kwa sasa,(mida hii) naangalia ITV "hawavumi lakini wamo" huyo binti anayehojiwa kapiga suruali ilochanwa magotini. Namna hii pia kupata sapoti itakuwa ngumuHii fashion na inipite tu,naonaga kama ni uhuni flani hivi?
Siwezi kabisa kuvaa suruali ya kuchanika.