Msemakweli Daima
Member
- Jul 16, 2012
- 55
- 43
Na hiyo Maishaforum yenu mliyoanzisha nyinyi Magamba haitawasaidia kitu.
Ben unaelezwa weeee hauelewi, kwa kifupi jina lako na nyota yako njema umeififisha kwa njaa na matamanio yako ya muda, wewe sio wewenote this: unatengeneza historia humu, soon utaulizwatusikie wenye akilinadhani waraka wa chacha wangwe umeusomahivi ni nani aliyekuroga?? njaa?? prestige?? you will loose everythingUsuluhishi gani na watovu wa nidhamu?Wasaliti wanaandika habari na kuihariri wao wenyewe.Habari hii itoshe kupuuzwa tu
hili gazeti lilikuwa kwenye bookmarks yangu kwa habari hii nimelifuta.
Nasema na nitaendelea kusema kuwa hakuna mtu wa kumfukuza zitto.
Usuluhishi gani na watovu wa nidhamu?
Wasaliti wanaandika habari na kuihariri wao wenyewe.
Habari hii itoshe kupuuzwa tu
Tuweni makini na mpasuko huu wa makundi mawili haya! 1.) kundi la zitto,
2)kundi la Dr. silaa.
hawa wote ni viongozi wetu ambao tunawategemea kutuongoza wanaCDM jambo la msingi ni kutafuta mbinu za kuwakutanisha wote hawa ili tutafute suluhu kabla ya uchaguzi mwakani tukiwa pamoja kushinda ni halali
Ben unaelezwa weeee hauelewi, kwa kifupi jina lako na nyota yako njema umeififisha kwa njaa na matamanio yako ya muda, wewe sio wewenote this: unatengeneza historia humu, soon utaulizwatusikie wenye akilinadhani waraka wa chacha wangwe umeusomahivi ni nani aliyekuroga?? njaa?? prestige?? you will loose everything
Usuluhishi gani na watovu wa nidhamu?
Wasaliti wanaandika habari na kuihariri wao wenyewe.
Habari hii itoshe kupuuzwa tu
Mkuu nani ambaye anaweza kumfukuza zito chadema?
Nasema na nitaendelea kusema kuwa hakuna mtu wa kumfukuza zitto.
Usuluhishi gani na watovu wa nidhamu?
Wasaliti wanaandika habari na kuihariri wao wenyewe.
Habari hii itoshe kupuuzwa tu
Dah, kama Sugu na Lema ndio washauri wa Mbowe basi hakuna muujiza unaokiua Chadema...
bold: hivi maamuzi ndani ya CDM hufanywa na mtu?
Nasema na nitaendelea kusema kuwa hakuna mtu wa kumfukuza zitto.
Huyu profesa naye si msomi kama Dr. Cdm kuweni makini na watu hawa. Mkijidangaja kurudi nyuma katika maumuzi yenu mmekwisha.
Wasaliti hawa hakika hawatafanya makosa mara ya pili. Chuki watakazo pandikiza kwa mara pili ya kuwaondoa madarakani hazitakiacha chama hiki salama.
Hata waTz wanaotaka mabadiliko hawata waelewa kama mtageuka nyuma na kukubali kuwa nguzo ya chumvi.
Watu hawa hawana uungwana hata chembe, matendo na matamko yao yana thibitisha hivyo. Sasa unafanyaje suluhu na mtu anaye kuhujumu na asiye na uungwana kabisa.