Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 54,962
- 54,074
Kweli maajabu
Huu sio muujiza wa Mungu, ni mizimu ya hayo maeneo, Mungu ausimamishe huo mti ili iweje? Ni sarakasi za wachawiKama ni kweli hiyo habari, basi huo utakuwa ni muujiza wa hali ya juu na hapo mahali panafaa kujengwa mnara wa makumbusho, ili watalii wa ndani na nje ya nchi wawe wanamiminika mahali hapo kuushuhudia huo muujiza wa hali ya juu.
Mungu ni mkuu kuliko kitu chochote na huo muujiza ameufanya ili binadamu watambue uwezo wake wa kutenda miujiza ili waendelee kumuabudu na kumtukuza.
Mimi nimetumiwa mpaka clip yake kwenye whatsapp
Habar ata mm nimeisikia kwenye taarifa ya habari Tbc fm ila imenishangaza sana
Hata mie ninayo hiyo ckip ila nimeshindwa kupload.
Cha ajabu wanauharibu wa nini? Imani zingine bwana View attachment 194173
Watu waTabora, Shinyanga na Mwanza wanaamini mti ukihusishwa na tukio lolote basi unageuka kuwa dawa, mf. Mtu akijinyonga kwenye mti, huo mti utagombaniwa kama mpira wa kona, au mti ukipigwa na radi baada ya siku chache utakwisha kwa kukatwakatwa kwa ajili ya dawa, hivyo hata huu mti baada ya siku chache hautakuwepo. Mtazamo wangu ni je, nguvu iliyotumika kuusimamisha haitawadhuru watumiaji wa hiyo dawa?
Hata woga hawana, wataanza kuuza kama dawa ya maradhi sugu, yetu macho
Eti Emmanuel Okwi karudi toka UGANDA nasikia FUFA walimzuia!?
Kwa ushirikina wabongo mnatisha!