Mti ulioanguka zamani wasimama ghafla

Mti ulioanguka zamani wasimama ghafla

kama ni TBC inapotezea mchakato wa katiba kwani wamekosa majibu ni vipi marehemu Shida alipiga kura, halafu ni kivipi Zakhia Meghji amepiga kura Zanzibar, sasa wanapotezea kwa ushirikina wao. Elimu ni muhimu sana kwa watanzania wasiendelee kudanganywa na hawa majangili.

Habari
Ndugu wewe umenena vyema
Watanzania tunapaswa kuwa makini
Hawa wavimba matumba wanataka kuzihamishia akili zetu kwenye mambo ambayo ni nonsense.
Sawa mti umesimama then what?
 
Habari hii imetangazwa leo asubuhi na local radio inaitwa cg fm.kwa kuwa nipo tabora nafuatilia habari hii na kuleta hapa ukweli.ila ni kweli imetangazwa na redio yetu ya ndani
Kama ni kweli hiyo habari, basi huo utakuwa ni muujiza wa hali ya juu na hapo mahali panafaa kujengwa mnara wa makumbusho, ili watalii wa ndani na nje ya nchi wawe wanamiminika mahali hapo kuushuhudia huo muujiza wa hali ya juu.

Mungu ni mkuu kuliko kitu chochote na huo muujiza ameufanya ili binadamu watambue uwezo wake wa kutenda miujiza ili waendelee kumuabudu na kumtukuza.
 
... SOCIOLOGISTTZ kweli kabisa wana jaribu potosha umma na storI zao za misukule mara noah nyeusi mara mti huo umefufuka....wanataka kuwa saulisha watu kuhusu mavundo yao
 
Last edited by a moderator:
Mti aina ya msufi ulioanguka miaka mitatu iliyopita, na baadae kuungua na moto

Wewe na hao Tbc mnaujua vizuri lakini mti aina ya msufi? Huo mti ukianguka na kukaa miaka mitatu na kuungua moto, hata majivu pia yanaungua moto. Shtukeni msufi hauna resistance kabisa kwenye moto. Ni njia ya kuwapoteza kutoka katika agenda za msingi za taifa.
 
Watu wameshuhudia kwa macho mti ukisimama wenyewe kwa mlio mkubwa sana. Ingekuwa nchi za wenzetu tukio lingeingia kwenye guines record, lakini kwa sisi tunaoishi dunia iliyosahaulika, ngoja tusimuliane wenyewe kwa wenyewe. Ila linasisimua
Mkuu, kama mawazo ya mtoa taarifa hii yanajikita kwenye USHIRIKINA tutaendelea kweli? Hawa ndio wanaothamini vya nje na kuona vya kwetu ni ushirikina. Majanga.
 
Habari
Ndugu wewe umenena vyema
Watanzania tunapaswa kuwa makini
Hawa wavimba matumba wanataka kuzihamishia akili zetu kwenye mambo ambayo ni nonsense.
Sawa mti umesimama then what?

Mtu akiwa mgonjwa akiugusa maradhi yote yanatoka.... na inaongeza nguvu za kiume.
 
nyie kweli ndio wehu,mmeambiwa mti umesimama tena baada ya kuangu,badala ya kujadili hilo mnaingizia yasio kuwepo katiba mpya imetoka wapi hapa halafu mnawaita watz wehu.
 
Uyui Kubwa sana hebu tuambie sehemu husika kisha tuwaulize wenyeji, pili ulikuwa unanyenyuka taratibu au fasta? kwa jinsi niwajuavyo wakazi wa Tabora mti hauwezi kuanguka na usigeuzwe kuni kwa kipindi cha miaka mitatu unless uniambie uliangukia karibu na jeshi la Anga njia ya kwenda kakola,
nitakuwa wa mwisho kuamini huu upuuzi
Watu wa eneo hilo inaelekea kwa ushirikina hawajambo, badala ya kutumia elimu na akili wao ni hisia za kishirikina.
 
daaa nimeiona hiyo video sasa cjui ni kweli au laa hata biological haiwezekan
 
Nasikia magamba yake yanatibu magonjwa yote mpaka Ukimwi.. Watanzania changamkieni tiba
 
Back
Top Bottom