nabiidaniel
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 2,087
- 2,853
Mti aina ya msufi ulioanguka miaka mitatu iliyopita, na baadae kuungua na moto wilayani Uyui mkoani Tabora, leo mchana katika hali ya maajabu umesimama wenyewe huku baadhi ya wananchi wakishuhudia.
Baadhi ya wananchi wameurukia ili kupata angalau gamba lake kwa imani za kishirikina.
Baadhi ya wananchi wameurukia ili kupata angalau gamba lake kwa imani za kishirikina.