Mtendaji wa Kijiji cha Hydom amshindilia makonde mwanakijiji. Asimamishwa kazi kupisha uchunguzi

Taarifa zinaonesha kwamba Mh Mtendaji anaitwa Adella na ni Mtendaji wa kijiji cha Hydom kilichopo Mbulu , mkoani Manyara.

Cha kushangaza ni kwamba Mwananchi aliyedundwa ndiye ameshtakiwa mahakamani kwa kumshambulia Mtendaji.

Nachukua nafasi hii kuwashukuru Wazalendo waliorekodi tukio hili la kishenzi na kulirusha mitandaoni
View attachment 1681189

ASIMAMISHWA KAZI

DED wa Mbulu, Hudson Kamoga amesema kuwa amemsimamisha kazi mtendaji huyo ili kupisha uchunguzi kubainisha kilichopelekea mpaka mtendaji huyo kumshambulia mwanakijiji huyo.

View attachment 1681405
Safi sana Adella. Tunaishukuru serikali ya awamu ya tano kwa kutuletea watendaji wachapakazi kama Bibie Adella.

Adella ameona akitafuta bakora amchape mwananchi anachelewa sana akaamua atumie magumi kumsulubisha huyu mwananchi mnyonge. Hakika sote tutaisoma namba mpaka tuseme "ccm nambari one"
 
Taarifa zinaonesha kwamba Mh Mtendaji anaitwa Adella na ni Mtendaji wa kijiji cha Hydom kilichopo Mbulu , mkoani Manyara.

Cha kushangaza ni kwamba Mwananchi aliyedundwa ndiye ameshtakiwa mahakamani kwa kumshambulia Mtendaji.

Nachukua nafasi hii kuwashukuru Wazalendo waliorekodi tukio hili la kishenzi na kulirusha mitandaoni
View attachment 1681189

ASIMAMISHWA KAZI

DED wa Mbulu, Hudson Kamoga amesema kuwa amemsimamisha kazi mtendaji huyo ili kupisha uchunguzi kubainisha kilichopelekea mpaka mtendaji huyo kumshambulia mwanakijiji huyo.

View attachment 1681405
Mbona wengine wanawatembezea viboko hadharan raia hamsemi
 
Taarifa zinaonesha kwamba Mh Mtendaji anaitwa Adella na ni Mtendaji wa kijiji cha Hydom kilichopo Mbulu , mkoani Manyara.

Cha kushangaza ni kwamba Mwananchi aliyedundwa ndiye ameshtakiwa mahakamani kwa kumshambulia Mtendaji.

Nachukua nafasi hii kuwashukuru Wazalendo waliorekodi tukio hili la kishenzi na kulirusha mitandaoni
View attachment 1681189

ASIMAMISHWA KAZI

DED wa Mbulu, Hudson Kamoga amesema kuwa amemsimamisha kazi mtendaji huyo ili kupisha uchunguzi kubainisha kilichopelekea mpaka mtendaji huyo kumshambulia mwanakijiji huyo.

View attachment 1681405
Kimada wa RC Mnyeti huyo
 
Taarifa zinaonesha kwamba Mh Mtendaji anaitwa Adella na ni Mtendaji wa kijiji cha Hydom kilichopo Mbulu , mkoani Manyara.

Cha kushangaza ni kwamba Mwananchi aliyedundwa ndiye ameshtakiwa mahakamani kwa kumshambulia Mtendaji.

Nachukua nafasi hii kuwashukuru Wazalendo waliorekodi tukio hili la kishenzi na kulirusha mitandaoni
View attachment 1681189

ASIMAMISHWA KAZI

DED wa Mbulu, Hudson Kamoga amesema kuwa amemsimamisha kazi mtendaji huyo ili kupisha uchunguzi kubainisha kilichopelekea mpaka mtendaji huyo kumshambulia mwanakijiji huyo.

View attachment 1681405
Huyo pia ni kufuata na kumpa kipigo, KWA nini amfanyie hivi mwanakijiji
 
Huu ni unyanyasaji na udhalilishaji mkubwa kwa wananchi.

Huyu mtendaji anatakiwa kushikiliwa na vyombo husika, achukulie hatua stahiki na muajiri wake kadri ya mkataba wa ajira,
Na achukuliwe hatua za kisheria kadri ya taratibu za vyombo vya afya, usalama wa raia na mahakama

Pamoja na yote hayo wasisahau kumpima akili huyu anaweza kuwa na tatizo
Mtendaji alikiuka utaratibu uliokubalika wa viboko,badala yake akatumia ngumi. Aadhibiwe tu hamna namna.
 
Mhe. Magufuli angalia watumishi wako walivyo na stress pamoja na hasira za jirani kutokana na Machungu ya kutoongezewa Mishahara pamoja na madaraja. Hatimaye Hasira zao zote wanahamishia kwa Wanakijiji wanaowaongoza.

Mambo haya hayakuwahi kujitokeza miaka ya nyuma ambapo JK alikuwa akiwapa nyongeza zao kila mwaka. Watumishi wa Umma walikuwa wamejaa nyuso za bashasha na furaha kila siku, sio kama nyakati hizi ambapo wamejaa na hasira inafikia kipindi ukicheka mbele yao wanahisi unawacheka wao😂😂😂😂
 
Huu ni unyanyasaji na udhalilishaji mkubwa kwa wananchi.

Huyu mtendaji anatakiwa kushikiliwa na vyombo husika, achukulie hatua stahiki na muajiri wake kadri ya mkataba wa ajira,
Na achukuliwe hatua za kisheria kadri ya taratibu za vyombo vya afya, usalama wa raia na mahakama

Pamoja na yote hayo wasisahau kumpima akili huyu anaweza kuwa na tatizo
Kwakweli alichokifanya si kitendo cha kiungwana,lazima atakuwa na matatizo ya akili
 
Huo utaratibu wa viboko umekubalika wapi?
Utaratibu huu ni wa KITAIFA.waziri au naibu waziri anatenda kulingana na maamuzi ya baraza la mawaziri.Umesikia mahali popote wenye mamlaka ya uteuzi wakikemea watu kuchapwa au kuchapa viboko.
 
Back
Top Bottom